gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,219
- Thread starter
- #41
nimemuuliza now hapa,amenijibu kuwa huwa wanafanyaJini kukimbia kwa sababu hiyo ni fact ambayo iko wazi mkuu!!... Fuatilia kuhusu hilo, jini kamwe huwa hashei!
nimemuuliza now hapa,amenijibu kuwa huwa wanafanyaJini kukimbia kwa sababu hiyo ni fact ambayo iko wazi mkuu!!... Fuatilia kuhusu hilo, jini kamwe huwa hashei!
Basi hamna jini hapo mkuu!!nimemuuliza now hapa,amenijibu kuwa huwa wanafanya
paka huyu binti amenifata,nina uzoefu mzuri sana na haya madude mkuu,nimempeleka church,mda mwingine limepanda tukiwa wawili tu,ila now ,najua ninachokiongea broBasi hamna jini hapo mkuu!!
dada faidha,nilicholeta kwenya jamvi ni ukweli mtupu,sina sababu ya kuleta uongo au utapeli kama unavyosema,itanisaidia nini??ni kitu halisi ,huyo binti namfaham vizuri na niongeacho nakielewa vizuri,hadi kwa mganga alienda but mganga alimwambia hataweza kupona,hadi baadhi ya makanisa ya kiroho wamemwambia hatapona,sio kila mtu nitapeli,
respect
inaaana hujawahi ona au sikia mtu mwenye tatizo kama hilo??haya bhana,me naomba mungu huyu binti aweze kupona,anayopitia me nayafaham..Ngoja kwanza tuone hii movie itaishaje.
Mwenzangu weee! majini ya sikuizi yana Hashuo yana demand vitu na pesa ya kununulia hawatoi tafrani moja kwa zote..Jini anamtaka mwanafunzi haogopi miaka 30 kifungoni
huyo mtoto anamchumba?daaa umesema yupo shule?hapo napo kuna tatizomchumba anaye
Mimi nayatafuta ili niyakuke ila sipati hata moja hivi nyie mnayapataje maana nimazuri kweli