Ushauri: Jini linataka limuoe

Ushauri: Jini linataka limuoe

Kama upo dar es salaam...nenda temeke mwisho...waambie wakuchomee kilo moja ya kitimoto...weka na pilipili kwa mbaali...mwagizie pepsi ya baridi....mpe apige msosi...atapata faida mara mbili...jini kwaheri na kushiba pia
 
Mpelekeni makanisa ya kilokole ataombewa mpaka jini litoke lenyewe na halitarudi tena
Wanaombea wasichokiona? Wanajuaje hilo ni jini sio degedege? Kama hawalioni jini watajuaje limekimbia? Au limekaa pembeni maombi yakiisha limetangulia home
 
usiwe na shaka lipo suluhisho mshana jr na nyani ngabu ndio sukuhisho
 
Baada ya muda fulani mleta mada ataleta mrejesho ya kuwa alimpeleka binti kanisa fulani na hilo "jinni" likatolewa kama mchezo.

Huu ni utapeli tu hakuna zaidi.
 
Baada ya muda fulani mleta mada ataleta mrejesho ya kuwa alimpeleka binti kanisa fulani na hilo "jinni" likatolewa kama mchezo.

Huu ni utapeli tu hakuna zaidi.
kwani hujui majini huwa yanatolewa kanisani...Ila ukienda kwa kina sheikh Kipozeo wanakuongezea majini mengine ili waendelee kupiga stori na jinni la kwanza.....blal fkn wahed
 
Ani PM wala sina haja ya kumwona sura yake ila atakapofunguka, sharti ni moja tu, aje humujf kutoa ushuhuda jinsi nilivyo msaidia akapona. Wapo wengi sana mkuu wenye shida hii
sawa mkuu
 
Nani kukudanganya jini linatolewa kwa wapiga deal wa makanisani?
 
Baada ya muda fulani mleta mada ataleta mrejesho ya kuwa alimpeleka binti kanisa fulani na hilo "jinni" likatolewa kama mchezo.

Huu ni utapeli tu hakuna zaidi.
Baada ya muda fulani mleta mada ataleta mrejesho ya kuwa alimpeleka binti kanisa fulani na hilo "jinni" likatolewa kama mchezo.

Huu ni utapeli tu hakuna zaidi.
dada faidha,nilicholeta kwenya jamvi ni ukweli mtupu,sina sababu ya kuleta uongo au utapeli kama unavyosema,itanisaidia nini??ni kitu halisi ,huyo binti namfaham vizuri na niongeacho nakielewa vizuri,hadi kwa mganga alienda but mganga alimwambia hataweza kupona,hadi baadhi ya makanisa ya kiroho wamemwambia hatapona,sio kila mtu nitapeli,
respect
 
mchumba anaye
Sijamaanisha mchumba wa mapambo mkuu!.... Je huwa wanakula tunda la katikati??.... Jini huwa hapendi kushare tunda, kama wanakula tunda la katikati jini litakimbia lenyewe!!
 
Sijamaanisha mchumba wa mapambo mkuu!.... Je huwa wanakula tunda la katikati??.... Jini huwa hapendi kushare tunda, kama wanakula tunda la katikati jini litakimbia lenyewe!!
hahaha,honestly that girl anae boyfriend,ila sidhani kama jini atakimbia kwa sababu hiyo
 
hahaha,honestly that girl anae boyfriend,ila sidhani kama jini atakimbia kwa sababu hiyo
Jini kukimbia kwa sababu hiyo ni fact ambayo iko wazi mkuu!!... Fuatilia kuhusu hilo, jini kamwe huwa hashei!
 
Avute bangi tu na kitimoto kwa sana jini litatoka nduki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom