Ushauri: Hii inaweza kuwa plan B ya makongamano yanayodhaminiwa na SAUTI YA WATANZANIA yanayozuiwa na mamlaka

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,869
Leo ndio ilikuwa iwe siku ya mkutano/kongamano la kwanza kati ya matatu kabla ya maandamano yasiyo na kikomo kwa ufadhii wa SAUTI YA WATANZANIA chini ya uratibu wa Wakili Msomi Mwabukusi, Balozi mstaafu Dr. Slaa, mwanaharakati Mdude CHADEMA na timu yao yote

Habari zilizopatikana kutoka Mwanza ni kwamba kongamano hakijafanyika mpaka sasa, polisi wametanda hoteli waliyofikia waratibu na wengine wanarandaranda mitaani

Kwa dalili hizi za leo ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kuzima hayo makongamano na hatimaye maandamano tarajiwa..!

Timu ya waratibu iliyopo pamoja na uthubutu mkubwa waliyo nayo lakini wanahitaji nguvu nyingine kubwa zaidi iliyoko well organized ili kuweza kutimiza lengo ama azma yao inayosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanganyika wanaojitambua

Tayari CHADEMA wana platform kubwa, mtandao na vibali vya mikutano mikubwa ya hadhara.. Pamoja na timu kubwa zenye kila kitu

Ushauri wangu: Waratibu hawa waasitishe kwa muda wafanye mawasiliano na CHADEMA wayajenge kisha wakaribishwe kwenye mikutano ya CHADEMA popote itakapokuwa.. Kwakuwa watakuwepo kama wageni basi watapangiwa utaratibu mzuri wa kuweza kufanikisha yale maono yao ambayo hayatofautiani na ya CHADEMA

Ni katika kukaribishwa huko ndio kunaweza kutengenezwa mkakati wa pamoja wa kuliamsha dude maeneo matatu ama matano kwa pamoja kwa ajili ya maandamano yasiyokoma..

Kwa uzoefu na mtandao na mbinu za CHADEMA hili jambo litakuwa kama kumsukuma mlevi! Wakitaka kukomaa wenyewe watachoka na kuishiwa pumzi mapema sana wakati tunawahitaji sana kwenye hii vita
 
BREAKING: Tumepokea taarifa kutoka ndani ya TISS kwamba, Kongamano la Sauti ya watanzania limeingiliwa, na halitafanyika tena leo. Waliolipa fedha za ukumbi wameambiwa wakazichukue. Pia, chanzo kinataarifu OPERESHENI ya Chadema +255 ipo hatarini kuzuiwa. Msiache hoja ya DP World.
20231004_141952.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndio ilikuwa iwe siku ya mkutano/kongamano la kwanza kati ya matatu kabla ya maandamano yasiyo na kikomo kwa ufadhii wa SAUTI YA WATANZANIA chini ya uratibu wa Wakili Msomi Mwabukusi, Balozi mstaafu Dr. Slaa, mwanaharakati Mdude CHADEMA na timu yao yote

Habari zilizopatikana kutoka Mwanza ni kwamba kongamano hakijafanyika mpaka sasa, polisi wametanda hoteli waliyofikia waratibu na wengine wanarandaranda mitaani

Kwa dalili hizi za leo ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kuzima hayo makongamano na hatimaye maandamano tarajiwa..!

Timu ya waratibu iliyopo pamoja na uthubutu mkubwa waliyo nayo lakini wanahitaji nguvu nyingine kubwa zaidi iliyoko well organized ili kuweza kutimiza lengo ama azma yao inayosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanganyika wanaojitambua

Tayari CHADEMA wana platform kubwa, mtandao na vibali vya mikutano mikubwa ya hadhara.. Pamoja na timu kubwa zenye kila kitu

Ushauri wangu: Waratibu hawa waasitishe kwa muda wafanye mawasiliano na CHADEMA wayajenge kisha wakaribishwe kwenye mikutano ya CHADEMA popote itakapokuwa.. Kwakuwa watakuwepo kama wageni basi watapangiwa utaratibu mzuri wa kuweza kufanikisha yale maono yao ambayo hayatofautiani na ya CHADEMA

Ni katika kukaribishwa huko ndio kunaweza kutengenezwa mkakati wa pamoja wa kuliamsha dude maeneo matatu ama matano kwa pamoja kwa ajili ya maandamano yasiyokoma..

Kwa uzoefu na mtandao na mbinu za CHADEMA hili jambo litakuwa kama kumsukuma mlevi! Wakitaka kukomaa wenyewe watachoka na kuishiwa pumzi mapema sana wakati tunawahitaji sana kwenye hii vita

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuzuia kongamano ni ukiukwaji katiba. Kwanini huoni tuungane kukataa ukiukwaji mkubwa huu katiba sasa?
 
Leo ndio ilikuwa iwe siku ya mkutano/kongamano la kwanza kati ya matatu kabla ya maandamano yasiyo na kikomo kwa ufadhii wa SAUTI YA WATANZANIA chini ya uratibu wa Wakili Msomi Mwabukusi, Balozi mstaafu Dr. Slaa, mwanaharakati Mdude CHADEMA na timu yao yote

Habari zilizopatikana kutoka Mwanza ni kwamba kongamano hakijafanyika mpaka sasa, polisi wametanda hoteli waliyofikia waratibu na wengine wanarandaranda mitaani

Kwa dalili hizi za leo ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kuzima hayo makongamano na hatimaye maandamano tarajiwa..!

Timu ya waratibu iliyopo pamoja na uthubutu mkubwa waliyo nayo lakini wanahitaji nguvu nyingine kubwa zaidi iliyoko well organized ili kuweza kutimiza lengo ama azma yao inayosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanganyika wanaojitambua

Tayari CHADEMA wana platform kubwa, mtandao na vibali vya mikutano mikubwa ya hadhara.. Pamoja na timu kubwa zenye kila kitu

Ushauri wangu: Waratibu hawa waasitishe kwa muda wafanye mawasiliano na CHADEMA wayajenge kisha wakaribishwe kwenye mikutano ya CHADEMA popote itakapokuwa.. Kwakuwa watakuwepo kama wageni basi watapangiwa utaratibu mzuri wa kuweza kufanikisha yale maono yao ambayo hayatofautiani na ya CHADEMA

Ni katika kukaribishwa huko ndio kunaweza kutengenezwa mkakati wa pamoja wa kuliamsha dude maeneo matatu ama matano kwa pamoja kwa ajili ya maandamano yasiyokoma..

Kwa uzoefu na mtandao na mbinu za CHADEMA hili jambo litakuwa kama kumsukuma mlevi! Wakitaka kukomaa wenyewe watachoka na kuishiwa pumzi mapema sana wakati tunawahitaji sana kwenye hii vita

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
BREAKING: Tumepokea taarifa kutoka ndani ya TISS kwamba, Kongamano la Sauti ya watanzania limeingiliwa, na halitafanyika tena leo. Waliolipa fedha za ukumbi wameambiwa wakazichukue. Pia, chanzo kinataarifu OPERESHENI ya Chadema +255 ipo hatarini kuzuiwa. Msiache hoja ya DP World.View attachment 2771597

Sent using Jamii Forums mobile app

Aluta continua:

Screenshot_20231004-104017.png


Utapatikana ukumbi polisi. Hata kama ni selo.
 
Leo ndio ilikuwa iwe siku ya mkutano/kongamano la kwanza kati ya matatu kabla ya maandamano yasiyo na kikomo kwa ufadhii wa SAUTI YA WATANZANIA chini ya uratibu wa Wakili Msomi Mwabukusi, Balozi mstaafu Dr. Slaa, mwanaharakati Mdude CHADEMA na timu yao yote

Habari zilizopatikana kutoka Mwanza ni kwamba kongamano hakijafanyika mpaka sasa, polisi wametanda hoteli waliyofikia waratibu na wengine wanarandaranda mitaani

Kwa dalili hizi za leo ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kuzima hayo makongamano na hatimaye maandamano tarajiwa..!

Timu ya waratibu iliyopo pamoja na uthubutu mkubwa waliyo nayo lakini wanahitaji nguvu nyingine kubwa zaidi iliyoko well organized ili kuweza kutimiza lengo ama azma yao inayosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanganyika wanaojitambua

Tayari CHADEMA wana platform kubwa, mtandao na vibali vya mikutano mikubwa ya hadhara.. Pamoja na timu kubwa zenye kila kitu

Ushauri wangu: Waratibu hawa waasitishe kwa muda wafanye mawasiliano na CHADEMA wayajenge kisha wakaribishwe kwenye mikutano ya CHADEMA popote itakapokuwa.. Kwakuwa watakuwepo kama wageni basi watapangiwa utaratibu mzuri wa kuweza kufanikisha yale maono yao ambayo hayatofautiani na ya CHADEMA

Ni katika kukaribishwa huko ndio kunaweza kutengenezwa mkakati wa pamoja wa kuliamsha dude maeneo matatu ama matano kwa pamoja kwa ajili ya maandamano yasiyokoma..

Kwa uzoefu na mtandao na mbinu za CHADEMA hili jambo litakuwa kama kumsukuma mlevi! Wakitaka kukomaa wenyewe watachoka na kuishiwa pumzi mapema sana wakati tunawahitaji sana kwenye hii vita
Mbona Nguvu kubwa inayotumika kuyaandaa hayo makongamano huizungumzii?
 
Naona kikwazo ni Mbowe na Slaa, kila mtu anavuta kwake.

Hotuba ya Mbowe pale Zanzibar, kwa nje inavutia lkn ndani mwake ilikuwa na hila.

Kama ana nia thabiti angempigia Slaa badala ya kujibu hadharani.

Pili Slaa naye huwa amejaa jazba za Kiiraq, alianza kuropoka mapema
 
Naona kikwazo ni Mbowe na Slaa, kila mtu anavuta kwake.

Hotuba ya Mbowe pale Zanzibar, kwa nje inavutia lkn ndani mwake ilikuwa na hila.

Kama ana nia thabiti angempigia Slaa badala ya kujibu hadharani.

Pili Slaa naye huwa amejaa jazba za Kiiraq, alianza kuropoka mapema
Slaa haaminiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndio ilikuwa iwe siku ya mkutano/kongamano la kwanza kati ya matatu kabla ya maandamano yasiyo na kikomo kwa ufadhii wa SAUTI YA WATANZANIA chini ya uratibu wa Wakili Msomi Mwabukusi, Balozi mstaafu Dr. Slaa, mwanaharakati Mdude CHADEMA na timu yao yote

Habari zilizopatikana kutoka Mwanza ni kwamba kongamano hakijafanyika mpaka sasa, polisi wametanda hoteli waliyofikia waratibu na wengine wanarandaranda mitaani

Kwa dalili hizi za leo ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kuzima hayo makongamano na hatimaye maandamano tarajiwa..!

Timu ya waratibu iliyopo pamoja na uthubutu mkubwa waliyo nayo lakini wanahitaji nguvu nyingine kubwa zaidi iliyoko well organized ili kuweza kutimiza lengo ama azma yao inayosubiriwa kwa hamu kubwa na Watanganyika wanaojitambua

Tayari CHADEMA wana platform kubwa, mtandao na vibali vya mikutano mikubwa ya hadhara.. Pamoja na timu kubwa zenye kila kitu

Ushauri wangu: Waratibu hawa waasitishe kwa muda wafanye mawasiliano na CHADEMA wayajenge kisha wakaribishwe kwenye mikutano ya CHADEMA popote itakapokuwa.. Kwakuwa watakuwepo kama wageni basi watapangiwa utaratibu mzuri wa kuweza kufanikisha yale maono yao ambayo hayatofautiani na ya CHADEMA

Ni katika kukaribishwa huko ndio kunaweza kutengenezwa mkakati wa pamoja wa kuliamsha dude maeneo matatu ama matano kwa pamoja kwa ajili ya maandamano yasiyokoma..

Kwa uzoefu na mtandao na mbinu za CHADEMA hili jambo litakuwa kama kumsukuma mlevi! Wakitaka kukomaa wenyewe watachoka na kuishiwa pumzi mapema sana wakati tunawahitaji sana kwenye hii vita
I second the idea
 
Back
Top Bottom