MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,085
- 35,393
Hahaha watakana hadi Vivuli vyaoUnasema hujawahi kuwa nani? Mkuu unakoelekea utaongea mambo ya kujidhalilisha bora upumzishe kwanza akili.
Hahaha watakana hadi Vivuli vyaoUnasema hujawahi kuwa nani? Mkuu unakoelekea utaongea mambo ya kujidhalilisha bora upumzishe kwanza akili.
Nifuatilie post zangu za 2015,2016 utajua mimi nilikuwa Chama gani
"Pamoja na kuwa na kadi ya CCM"
Masnitch wa CCM
"Pamoja na kuwa na kadi ya CCM"

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Lord denning nimekumbuka habari ya petroBahati mbaya sijawai hata kuwa mwanachama wa Chadema. Nilitokea kuikubali chadema kutokana na itikadi yake pamoja na kuwa na kadi ya ccm
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaaaUnasema hujawahi kuwa nani? Mkuu unakoelekea utaongea mambo ya kujidhalilisha bora upumzishe kwanza akili.
Hujui sera ya Chadema??? Kwa iyo unapambana na Chama ambacho sera zake huzijui?Chadema wana sera?
Leo unawakana??Mimi ni mpenzi wa Chadema, sio mwanachama wa Chadema. Mimi ni mfuasi wa sera za Chadema na sio mwanachama wa Chadema. Mwanachama wa Chadema ni mtu mwenye kadi ya Chadema anayolipia. Mie Sina kadi ya Chadema na wala sijawai kuwa nayo





Fuatilia post zangu za 2015 na 2016 utajua Mimi ni naniLeo unawakana??
Haki ya nani
Sawaa mkuuNifuatilie post zangu za 2015,2016 utajua mimi nilikuwa Chama gani
Huyu jamaa namkumbuka vizuri sana kuna uzi nilishakutana naye kabla ya uchaguzi









Sijawakana. Mimi ni mfuasi na mpenzi wa Chadema. Sio mwanachama wa Chadema.Leo unawakana??
Haki ya nani
Alivyoambiwa muandamane mliandamana?* Ni kweli anaijua siasa au mkumbo tu??
*Ana uhakika yuko dhamira moja na anaowaamini??
*Siasa na harakati zinakaaje pamoja??
*Je tunawajua vizuri hao tunaowaamini???
*Ni kweli tulikuwa tunawaza vyema kwamba huu ndio wakati wa ukombozi?
Asalaam mabibi na mabwana,niko mbele yenu kuwakumbusha hayo machache juu.mimi mwenyewe sina majibu,niliishajiuliza nikaona ni heri nigeukie mambo yangu binafsi maana ninachokiona si halisi kilivyo.
Kila mmoja na atafakari na kuchukua hatu,ataijua kweli nayo itamuweka viwanja huru.asanteni.
Aisee hiki chama kila mtu muongo muongo tu😀😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Lord denning nimekumbuka habari ya petro
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaaa
BUSH BIN LADEN watu washaanza kukimbiana hapo
Wewe ni ndugu yake "Ni yeye"Fuatilia post zangu za 2015 na 2016 utajua Mimi ni nani




Kama hili Swala limekuja vibaya kwako me nashaur pumzika tuu mkuu wanguFuatilia post zangu za 2015 na 2016 utajua Mimi ni nani
Kwa iyo unaamini kina Mdee kuapa kuwa wabunge ndo suala la Icc limekufa??? Utasubiri sana!!Huyu jamaa namkumbuka vizuri sana kuna uzi nilishakutana naye kabla ya uchaguzi
Baada ya uchaguzi naona nyimbo zake za ICC utadhani hao ICC Wanaenda kutunyonga..leo Anasemaje![]()
Nipumzike nini??Kama hili Swala limekuja vibaya kwako me nashaur pumzika tuu mkuu wangu
Shule mimi sijaenda WeweSijawakana. Mimi ni mfuasi na mpenzi wa Chadema. Sio mwanachama wa Chadema.
Naaamini umeenda shule na una uelewa wa kujua tofauti
ushasahau uliniita kilaza..Sasa kilaza ataelewa vipi??Hadi mimi nimeshangaaSawaa mkuu
ila imekua mpole gafla kaka




Serikali ni pana sana mkuuKwa iyo unaamini kina Mdee kuapa kuwa wabunge ndo suala la Icc limekufa??? Utasubiri sana!!