God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,067
.........
Punguza chubwichubwi mapenzi ni ufundi sio nje ndani halafu huyo anakushangaa sio kwamba ankuangalia kwa hasira kwakuwa naye ni gogo
Halafu kuna baadhi ya maingilio hayafai makotiNakushauri husitumie condom dini imekataza
siku hizi unanogaPunguza chubwichubwi mapenzi ni ufundi sio nje ndani halafu huyo anakushangaa sio kwamba ankuangalia kwa hasira kwakuwa naye ni gogo
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39]siku hizi unanoga
Najuaga wewe ni uchawi tu kumbe hadi mapenzi?Punguza chubwichubwi mapenzi ni ufundi sio nje ndani halafu huyo anakushangaa sio kwamba ankuangalia kwa hasira kwakuwa naye ni gogo
Mshana haya maneno sio yako brazaaa, any way nunua vpimo vya HIV muwe mnapima kabla ya kugegedana condom ni sawa na kusex na rambo,no passion no sweetnessKila nikifanya mapenzi na condomu sikuojoi/sipati bao mapema naweza fanya hata zaid ya dakika 40 sioni kitu inafikia stage naona kama najitesa.
Mwanamke huwa ananiangalia kwa hasira hadi naona kero, unakuta uke umeshakua mkavu kabisa lakin abdala bado anakodoa tuu.
Kwa kweli condom inapunguza ladha ya tendo.
Hali ikoje kwenu ndugu?
Naogopa ukimwi, nishaurini nitatue vipi hili tatizo, bado sijaoa najipanga pia ngono siwezi acha na punyeto hainisaidii.
Sometimes it's not me[emoji2] [emoji2]Mshana haya maneno sio yako brazaaa, any way nunua vpimo vya HIV muwe mnapima kabla ya kugegedana condom ni sawa na kusex na rambo,no passion no sweetness
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Najuaga wewe ni uchawi tu kumbe hadi mapenzi?
na ukimwi jee?Nakushauri husitumie condom dini imekataza