Mapenzi na ulevi ni raha sana!!

Mapenzi na ulevi ni raha sana!!

Jana nipata gemu kisa ulev tulilewa wote na demu mmoja hivi ila leo asubuhi tumejikuta tukiwa wote uchi.ndio tukagundua kuwa jana tulizagamuana.ila dah pombe raha jamani.
Walevi Bwana mna akili zenu wenyewe, sema nyote akili zinafanana.

Umelewa mpaka saa Saba usiku, hata kutembea Tu unatumia yumba, ukiingia kitandani unawanga usingizi kama umekufa lakini ukiamka naye unajidai umekula mzigo vibaya mno🤣🤣

How?
 
Back
Top Bottom