Ushauri: chakula gani kinafaa mbwa umri miezi 2-3

Ushauri: chakula gani kinafaa mbwa umri miezi 2-3

Andre02150

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2010
Posts
332
Reaction score
129
Naomba ushauri nasaha juu ya chakula cha mbwa (German Shepherd) mwenye umri wa miezi 2-3. Nitashukuru pia ukinielekeza duka lenye bei rafiki kwa hapa Dar
 
Chukua mapumba, changanya na dagaa halafu chemsha ukiwa mzito kama uji mpe
 
Mkaangie karanga, mpe asali mbichi ya nyuki wadogo ili awe mkali zaidi. Mpe Blue Band awe mrefu zaidi, usisahau vitumbua.

Pia wanapenda sana Dagaa wa Kigoma, kacholi, usisahau kumtwangia au kumsagia vitunguu saum, ndizi lain za moshi.

Pia wanapenda supu ya pweza.
20171124_222357.png
 
Mpe bangi ili aweze kula sana.halafu mkaangie ndizi na mayai ya bata.kisha mpe uji wa muhogo uchanganye na mchele halafu ndani yake uweke maziwa ya tembo ambayo yana madini mengi.napia kama inawezekana mpe supu ya bamia na nyanya chungu itamjenga akupende na akikuona anatabasamu.ushauri wangu ni huo tu.
 
haha ; nilikua nampa mbwa wangu uji wa ulezi mchanganyiko na dagaa
 
Weka Oda YA malapu lapu buchani unachemsha na kuweka Unga kidogo Sana,,, siku nyingine Mpe uji uliochanganya na dagaaa.......
NB kufuga mbwa ni Sawa na kuongeza familia nyingine usichukulie simple simple..... Iki ndicho kipindi kizuri cha kununua mahindi walau gunia Mbili unaweka stoo unakuwa unachota kidogo unasaga, usimpikie mbwa Pumba... Kama kuna machalii wa bodaboda umezoeana nao ingia Nae mkataba awe anakufuatia nyama malapu malapu machinjon... Jirani zangu wanaibiwa flat screen , simu na vifaa vya magari japo kuna fence Ila mm ninao mbwa wananitosha hakuna kibaka anaedhubutu kiruka fance....
 
Weka Oda YA malapu lapu buchani unachemsha na kuweka Unga kidogo Sana,,, siku nyingine Mpe uji uliochanganya na dagaaa.......
NB kufuga mbwa ni Sawa na kuongeza familia nyingine usichukulie simple simple..... Iki ndicho kipindi kizuri cha kununua mahindi walau gunia Mbili unaweka stoo unakuwa unachota kidogo unasaga, usimpikie mbwa Pumba... Kama kuna machalii wa bodaboda umezoeana nao ingia Nae mkataba awe anakufuatia nyama malapu malapu machinjon... Jirani zangu wanaibiwa flat screen , simu na vifaa vya magari japo kuna fence Ila mm ninao mbwa wananitosha hakuna kibaka anaedhubutu kiruka fance....
Tena malapulapu weekend tanaka mpaka J5, siku nyingine dagaa.
 
Tena malapulapu weekend tanaka mpaka J5, siku nyingine dagaa.
Tatizo dagaa imepanda bei Sana ukinunua kilo ndani siku saba imeisha labda uwafanyie mbwa diet YA msosi Ila kama unataka wale hadi wanye Kwenye banda siku Tano imeisha... Mimi kuna chalii ananiletea malapulapu ndoo ndogo pamoja na usafiri Nampa 12000..... Unagawa unaweka Kwenye fridge vimfuko vidogo maisha yanasonga
 
Tatizo dagaa imepanda bei Sana ukinunua kilo ndani siku saba imeisha labda uwafanyie mbwa diet YA msosi Ila kama unataka wale hadi wanye Kwenye banda siku Tano imeisha... Mimi kuna chalii ananiletea malapulapu ndoo ndogo pamoja na usafiri Nampa 12000..... Unagawa unaweka Kwenye fridge vimfuko vidogo maisha yanasonga
Nilimaanisha weekend ukimtuma kijana unabadilisha na dagaa litakaa sana. Kutumia mbwa ni gharama imaongelea kama 30,000 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom