Ushauri: CHADEMA muogopeni Mungu juu ya Edward Lowassa

Ushauri: CHADEMA muogopeni Mungu juu ya Edward Lowassa

Reucherau

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
756
Reaction score
1,740
Kutokana na muonekano wa kiafya wa muheshimiwa Lowassa nashauri kusitisha kampeni kwa ngazi ya uraisi. Apate muda wa matibabu. Siasa zisipotezee utu wetu! Uhai na thamani ya maisha ya mwanadamu ni zaidi ya siasa.

Kwa jinsi alivyokuwa pale Zanzibar leo kiukweli huyu mtu kama CHADEMA mtaendelea kumpeleka kwenye kampeni mnapata dhambi kwa Mungu serious! Sitishe kampeni kwanza zifanyike taratibu za kihospitali.

Wagombea ubunge wanaweza kuwa wanaendelea kumnadi kipindi ambacho hatokuwepo katika kampeni zao za kila siku.Kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, JK aliumwa na akalitangazia taifa.

CHADEMA pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please!

Naomba nisitafsiriwe vibaya
 
Reucherau

Wazo lako ni zuri na inaonesha ni kweli umelileta kwa ajili ya humanitarian grounds. Lakini pia inaonesha ni jinsi gani unamahaba na mheshimiwa Lowasa. Hata hivyo ningependa kukufahamjsha ya kwamba huoni kipindi hichi cha campaign kinamsaidia vizuri mheshimiwa Lowassa kujijenga kiafya hasa kutokana na mazoezi anayoyapata? Hivi ni kweli hana daktari wake wa kamshauri kuhusu afya yake? Mimi nadhani mwacheni Rais Lowasa aendelee na campaign zake na kama akishindwa basi atatujulisha mwenyewe ama daktari wake atatueleza. nadhani umeelewa
 
Last edited by a moderator:
Lowassa ni mzimaaa wa afya... anatembea kwa chopa... na pia ktk kampeni haongei muda mrefu... dak 10 zinatosha.. anamwaga sera tu basi....!!!

Hali yake sio mbaya kama unavyosema...!! Sema labda awe analala vya kutosha baada ya siku nzima ya kampeni... sbb ana chopa... asitembee sana kwa gari muda mrefu...!!! labda useme hivyo...!!!

Ila hadi sasa ana UHAKIKA WA KUSHINDA SANAAAA... SO YUKO VIZURI...!!! ACHA kushtua watu hapa...!!!
 
Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahau jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo anapiga "CCM Oyee" jukwaa la chadomo.

Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amri Abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).

Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.

Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.
 
Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahu jina la kewe, anasahau kama yupo chadomo, anpiga "CCM Oyee".

Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amro abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).

Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.

Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.

Umemaliza? kunywa maziwa kikombe kimoja ukalale kulala na sumu kali kama yako ni hatari kwa afya.
Vote4Lowassa to Remove Sisiemu
 
✌🏻✌🏻✌🏻 ✌🏻✌🏻✌🏻Lowassa
 
Ata Mohamed Buhari Yule wa Nigeria walisema hivi hivi mwisho wa siku kampeni zikaisha akaibuka kidedea
 
[h=2]
icon1.png
Ushauri: Chadema muogopeni mungu juu ya muheshimiwa lowassa[/h] Kutokana na muonekano wa kiafya wa muheshimiwa lowassa nashauri kusitisha kampeni kwa ngazi ya uraisi. Apate muda wa matibabu. Siasa zisipotezee utu wetu! Uhai na thamani ya maisha ya mwanadamu ni zaidi ya siasa. Kwa jinsi alivyokuwa pale zanzibar leo kiukweli huyu mtu kama chadema mtaendelea kumpeleka kwenye kampeni mnapata dhambi kwa mungu serious! Sitishe kampeni kwanza zifanyike taratibu za kihospitali. Wagombea ubunge wanaweza kuwa wanaendelea kumnadi kipindi ambacho haatokuwepo katika kampeni zao za kila siku.
Kuumwa sio jambo mwanadamu analojitakia, jk aliumwa na akalitangazia taifa, chadema pokeeni ushauri wangu, from humanitarian grounds please!
Naomba nisitafsiriwe vibaya

Hatumuogopi "mungu", tunamuogopa "Mungu"...
 
Umemaliza? kunywa maziwa kikombe kimoja ukalale kulala na sumu kali kama yako ni hatari kwa afya.
Vote4Lowassa to Remove Sisiemu

Kijana unajidanganya.

Usiache mbachao kwa msala upitao.

Au wewe ni wa KKKT?
 
Wao wanadai wamesha amua... Hawashaurikh.
 
Tukumbushane kidogo tu:
JK alipoanguka jangwani jukwaani mbele ya camera za dunia hakuwa anaumwa? Jk alipolazwa operesheni kubwa tezi jike mbona hapumziki? Huyu lowassa ambaye hajaanguka, hajalazwa, hajulikani anaumwa nini nyie wasema anaumwa? Anaumwa nini?
 
Nyongeza:
Tangu lini shetani (ccm) akampenda malaika wa Mungu(chadema/ukawa/lowassa)?
 
Namalizia kwa kusema:
Pumbaf zenyu magamba mazafantaz firigisi mkia wa ng'ombe mbuzi nyie shwain!
 
Babu mgonjwa na ugonjwa wake hafai kuchaguliwa kuwa Rais, anasahau jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo anapiga "CCM Oyee" jukwaa la chadomo.

Pale Arusha alisahau jina la Rais wa Kwanza wa Zanzibar akamuita Amri Abedi. (nililisema hilo siku hiyo hiyo tena bado yupo CCM).

Huyu mamvi kuanzia yupo CCM mimi nilisema hafai kuwa Rais kwa afya yake na nnaendelea kulisema hilo.

Lakini wapumbavu na malofa hawawezi kuliona hilo.
Kwa kitendo cha kusema ccm hoyee kwenye jukwaa la chadema.kwa watu wenye kujitambua lowassa asingepewa hata uenyekiti wa mtaa
 
Back
Top Bottom