Ushauri: CCM Tengua Magufuli weka Dr.Slaa

Ushauri: CCM Tengua Magufuli weka Dr.Slaa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,950
Reaction score
134,021
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.
 
Dr. Slaa is the next Prime Minister,why should he move from CHADEMA TO CCM? sasa kwa nini mkumbuke shuka wakati kumekucha. Sasa kama unatwambia Kitengo kimpe Bilioni nyingi ajitoe hapo sasa unatoa ujumbe gani? Nadhani Tuendelee kuwaombea tu ili hao wa Kitengo watambue wajibu wao sio "Imposition of Leadership to the Republic"
 
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.
Unadhani ccm viongozi wake ni wajinga kama wale wa chadema?
 
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.
Mkuu kwani vipi, Dr. anataka kufungasha virago?
 
Ngoma bado mbichi ndo kwanza imeanza
 
Hivi ni kwanini CCM isijitoe tu mapema isingizie imeonewa, walau watakwepa aibu ya kuangushwa kama kamasi llilolooza.., em' wajiangalie upya juu ya hili.
 
Mkuu hyo michecheto wanafanyaga chadema lakn sio ccm.

Ccm itahangaika na Dr. Slaa wa nn wakat uwezo wa kuingia ikulu ni 90% sasa wahangaike ili iweje?

Wale wasio na uhakika wa nguvu ya pesa,dola na watu ndio wanatapatapa kununuliwa.

Tutulie tu tusubir oct hapo ndio tutajua nani mwanaume na nan mwanamke wa kupiga kelele za kutaka kupiga mme wake wakat uwezo wa kupigana hana
 
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.


Sasa wakimpa Mhe. Slaa nchi nzima si itakuwa CHADEMA tu?



Dr Slaa hawezi kuhama CHADEMA kamwe!!
 
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.

Dr. Slaa kwa sasa anachukua pesa za CCM then anarudi Chadema akiwa na fedha...
 
Mbwembwe mwisho dodoma saiz mmepasuka ktkt ukawa vumilieni hadi watoe matokeo ya kura za wabunge then wahamie kwetu walio katwa wote na waape mahakaman then wakatwe mishahara wabunge wote wa ccm watakao chaguliwa kwa tkt ya 50%kama azabu ya manyaso walio wapa wananchi kwa kuwatesa miaka52
 
Chadema,wameyumba,wapo skina dr wametwanga hadi hapo kilipo,lskini mtu anatoka huko straight kuutaka urais jamani,viongozi wa chadema mnafanya hayo ili kuimarisha nafasi zenu za ubunge,msana mnajua masalia ya el majimboni yatakuja kuunga mkono.lakini suala la el kuchukua gomu zs uraisi na akakiptishwa ni aibu kwa nchi za inje,nshogu wenzetu wstsona hayuna commitment na kuwaletea watu maendeleo.ni usanii.juzi mtu anasutwa kuwa ni mwizi,leo anaitwa awe raisi,tendo hilo halipo kabisa ughaibuni,watatuona wahuni,na sielewi mnasumbuliwa,
 
Unadhani ccm viongozi wake ni wajinga kama wale wa chadema?

Ni wajinga tu huoni wanavyohaha na EL. Mtuy mwenye akili hawezi kusababisha disaster kama hii kwa sababu ya kujidai kuwa chama kina hati miliki ya nchi. Ni ujinga ujinga wa kupindukia. Hata mimi kama mwanachama wa sisemu nitaonekana mjinga nikichagua sisemu.
 
Chadema,wameyumba,wapo skina dr wametwanga hadi hapo kilipo,lskini mtu anatoka huko straight kuutaka urais jamani,viongozi wa chadema mnafanya hayo ili kuimarisha nafasi zenu za ubunge,msana mnajua masalia ya el majimboni yatakuja kuunga mkono.lakini suala la el kuchukua gomu zs uraisi na akakiptishwa ni aibu kwa nchi za inje,nshogu wenzetu wstsona hayuna commitment na kuwaletea watu maendeleo.ni usanii.juzi mtu anasutwa kuwa ni mwizi,leo anaitwa awe raisi,tendo hilo halipo kabisa ughaibuni,watatuona wahuni,na sielewi mnasumbuliwa,

Duu kwani ulishindwa kuandika tararibu na kwa kituo? Haraka yote hiyo ya nini? Japo post yako ni ya kipuuzi ifanyie editing basi isomeke vema....! At least itendee haki lugha adhimu ya kiswahili
 
Hakika chama kinayumba.Wiki ijayo inaweza kuwa balaa zaidi.Kwa kuwa CCM wamekuwa na mapenzi sana Dr.Slaa na Inasemekana Dr.Slaa kitengo kimemuahidi bilioni nyingi ajitowe Chadema.Mimi sioni haja ya yote hayo na kuharibu hela.Kwa kuwa mnaona Dr.Slaa ni kiboko ya Lowasa,sasa nashauri tengueni uteuzi wa Magufuli na mpeni Dr.Slaa upeperushaji wa bendera ya CCM.

Issue ni uadilifu, tunu za uongozi na hekima. Mh EL ni kichaka cha kuficha dhambi zao wanaCCM.
Je CCM wanamhitaji Dr W Slaa alie na hizo sifa?
Hapo ndy utata walionao hao wanaCCM.
 
Back
Top Bottom