Nani anayeona Dk. Slaa ni kiboko ya Magufuli?
Kumbe kama Slaa hafai, kwa nini mnamsifia kwa sifa za kinafiki na kutaka awe mgombea wa UKAWA? Biashara imebuma! Mgombea wa UKAWA amekwisha kupatikana, ni Lowassa. PERIOD!!!!!!
Nani anayeona Dk. Slaa ni kiboko ya Magufuli?