'Ushauri best' uliowahi kupewa......

Anza kwanza kutuambia wa kwako halafu ndo tuendelee

Yaani wewe unataka tu wengine waseme wewe aahhh

Sema kwanza wewe

mimi ushauri best niliowahi kuupata nilipata kwenye kitabu kimoja
kinaitwa 'what they dont teach you at Harvard Bussiness school...'

sijui nieleze nini but kila kilichoandikwa humo nilikuwa nakiamini asilimia mia moja
na niliona kama mwandishi kazungumza yaliyo kichwani mwangu....kilinipa
confidence ambayo imenisaidia sana so far
 
"mbu....maisha ni vile wewe mwenyewe utavyoyachukulia" - wazazi.

the_best_bodyarrt_ever_01.jpg
 
I feel you, i real feel you.

Ni ngumu zana kupoteza mtu ambaye ulikuwa na uwezo wa ku-poor your heart to him/her maana hawa watu hawapatikani mara nyingi in a life time.
They are very few.
Nilimpoteza rafiki wa aina hiyo hadi leo namkumbuka sana kuna wakati unatamani kupiga hata simu yake but when reality hits your face you just end up in tears.

Pole sana, I feel you here.

I can understand you. Ila mimi yakinisonga nilikuwa namwambia my sister wangu alipass away recently nitamkumbuka sana!
 
umeona sasa?Christine unamkumbuka now na pengine at that moment hukuona kuwa ni jambo utakalokumbuka
years later.....hiki ndo nilichotaka......unge share na sisi hata words aisee
labda alikwambia 'In life its all about confidence' na hujasahau mpaka leo

Not exactly those words; but it about shouting out usikike. In that days; nilikuwa nafanya kitu (study) ambacho mimi niliona ni cha kawaida sana. To her, n later to the rest of the (my field world) it was something. So at end of the day l got recognized twice. So what l learnt ni grasp any opportunist which comes ur way; pia ni nzuri kubelieve in urself na follow any course, ukifanya kwa Moyo na passion lazima utafanya wonders!
 
Not exactly those words; but it about shouting out usikike. In that days; nilikuwa nafanya kitu (study) ambacho mimi niliona ni cha kawaida sana. To her, n later to the rest of the (my field world) it was something. So at end of the day l got recognized twice. So what l learnt ni grasp any opportunist which comes ur way; pia ni nzuri kubelieve in urself na follow any course, ukifanya kwa Moyo na passion lazima utafanya wonders!

thanx kwa ku share na sisi hapa
 
mimi ushauri best niliowahi kuupata nilipata kwenye kitabu kimoja
kinaitwa 'what they dont teach you at Harvard Bussiness school...'

sijui nieleze nini but kila kilichoandikwa humo nilikuwa nakiamini asilimia mia moja
na niliona kama mwandishi kazungumza yaliyo kichwani mwangu....kilinipa
confidence ambayo imenisaidia sana so far

Mpaka uulizwe???

Haya nimekusikia ngoja nirudi na ushuhuda wangu after a short break
 
Thanks Kongosho, yaani life is not the same. Ukisikia pengo lisilozibika, ndilo hilo!
 
"mbu....maisha ni vile wewe mwenyewe utavyoyachukulia" - wazazi.

the_best_bodyarrt_ever_01.jpg


life is how you make it.......na mimi pia nimekutana na ushauri wa aina hiii
na umenisaidia aisee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
sikubaliani nawe, huwezi kuishi dunia hii usiombe ushauri hata kiduchu siku zooote za maisha yako.

hii topic imeeleweka pande mbili. Kuna kupeana madili kama kongosho alivyosema na kaunga akielezea tena na kuna kutaka ushauri yaani kumfata mtu na kumweleza a,b,c...z then akwambie nini cha kufanya kutokana na situation yako. Kwa kupeana madili hiyo ni safi ingawa binafsi ndio nakuwa mwamuzi wa mwisho. Kwa kumfata mtu ni ngumu kwangu na iwapo nitamfata nakuwa tayari ninalo nililoliamua au nakuwa nahitaji maelezo ya ziada na si yeye(mshauri) aniambie fanya hiki au nitamfata kwa namna ya kumpa info rmation tu ya kile nilichokiamua.
 
pole kaunga.
Off topic: nafurahi kukuona, uliadimika kidogo.

I had some family issues; thanks. But nilikuwa napitipitia humu, ila nimemiss majibizano yako na Nyani Ngabu, huwa yananifanya niwe na smile all the time.
 
cammon, at this juncture upotezwe?
You have ur six senses zinakuongoza, ila mtu akikupa aidea tu inatosha sana au encouraging words like your on the right track.
Kuna saa unafanya kitu afu katikati unakata tamaa na kuanza kupoteza mwelekeo akipatikana mtu wa kukushauri na kukupa moyo ni faraja.

Naamin nobody will do what am supposed to do, ni wajibu wangu na ukiachive inakupa inner satisfaction.

Mi nakumbuka niliambiwa maneno haya

Cheap is expensive, fanya unachokifanya sababu una uwezo wa kukifanya. Si kila mtu ana uwezo wa kufanya unachokifanya, its an opportunity its ur choice to grab it or leave it.

But again matapeli wa ushauri ni wengi pia. Anakupoteza makusudi; so bora ujue what u want in life kwanza ndio uhangaike na how!
 
The Boss,i don't know if your thread was about me or may be was just a coincidence but what i can say it is about life and experience that goes with it.About ten years ago wakati nafikiria habari za kuoa nilikuwa na kaka wa rafiki yangu katika mazungumzo tu akawa anatoa experience ya rafikiake kwamba alioa kutoka kwenye familia ambayo baba na mama walikuwa wameachana by then ndoa zilikuwa sio kama generation yetu hii yaani ndoa kuvunjika ni kama fashion.

Huyo rafiki wa kaka wa rafikiangu ndoa yake haikuchukua hata miaka mitatu ikawa imevunjika na katika regrets zake alisema kwamba hawezi kumshauri mtu kwenda kuoa kwenye familia kama hiyo. That was then,baada ya kuongea na kaka wa rafiki yangu hiyo issue ilipita miaka kadha,sasa wakati natafuta my ideal woman nilikuwa na my high school sweatheart lakini maongezi ya kaka wa rafikiangu yalikuwa yanakuja mara kwa mara kwani huyu my high school sweetheart wazazi wake tulikuwa tunaishi kitongoji kimoja waliachana katika mazingira ya kusikitisha kwamba mama aliamua kumpokea yesu, lakini to the extreme yaani hata comitment za familia kama mama akaziacha,baba akamuuliza simple question kwamba either ndoa au ulokole.

Mama alichagua yesu na akaondoka nyumbani japo baadae alitaka kurudi,anyway niachie hapo upande ule.Sasa mimi hayo maneno yale ya kaka wa rafikiangu japo yaliniumiza kichwa lakini hatimaye nilijipa moyo kwamba was isolated incident.Nikaoa my high school sweetheart,ten years later with two kids,my wife left me sadly living with a guy used to be our driver.It is not fiction guys,it my true life's experience
 
The Boss,i don't know if your thread was about me or may be was just a coincidence but what i can say it is about life and experience that goes with it.About ten years ago wakati nafikiria habari za kuoa nilikuwa na kaka wa rafiki yangu katika mazungumzo tu akawa anatoa experience ya rafikiake kwamba alioa kutoka kwenye familia ambayo baba na mama walikuwa wameachana by then ndoa zilikuwa sio kama generation yetu hii yaani ndoa kuvunjika ni kama fashion.Huyo rafiki wa kaka wa rafikiangu ndoa yake haikuchukua hata miaka mitatu ikawa imevunjika na katika regrets zake alisema kwamba hawezi kumshauri mtu kwenda kuoa kwenye familia kama hiyo. That was then,baada ya kuongea na kaka wa rafiki yangu hiyo issue ilipita miaka kadha,sasa wakati natafuta my ideal woman nilikuwa na my high school sweatheart lakini maongezi ya kaka wa rafikiangu yalikuwa yanakuja mara kwa mara kwani huyu my high school sweetheart wazazi wake tulikuwa tunaishi kitongoji kimoja waliachana katika mazingira ya kusikitisha kwamba mama aliamua kumpokea yesu,lakini to the extreme yaani hata comitment za familia kama mama akaziacha,baba akamuuliza simple question kwamba either ndoa au ulokole.Mama alichagua yesu na akaondoka nyumbani japo baadae alitaka kurudi,anyway niachie hapo upande ule.Sasa mimi hayo maneno yale ya kaka wa rafikiangu japo yaliniumiza kichwa lakini hatimaye nilijipa moyo kwamba was isolated incident.Nikaoa my high school sweetheart,ten years later with two kids,my wife left me sadly living with a guy used to be our driver.It is not fiction guys,it my true life's experience

aisee pole saaana.....
pole kwa kweli........nimewahi sikia hadithi nyingi mno za mke kuokoka na kuvunja ndoa...
but ya kwako ya dereva inauma aisee pole
 
Love is the only force capable of transforming an enemy to a friend....!By Bob Marley......R.I.P,namkubali sana huyu mtu!
 
Sikumbuki a particular advice nilio pewa, ila nakumbuka general words that people tell me (not necessarly as I write them here but the main idea is here), ambazo nimezifanya kua motto ya maisha sasa hivi:

  1. Mama yangu anapenda sana kunambia :Barbie (she calls me barbie because I am her little doll) your thought are your limit. be careful of what you think of as you might get it. what you think about you bring about. Na nilipo elewa what she meant by this maisha yangu yamekua very, very easy to live and to accept.
  2. Mume wangu tells me often: we amua tu Baby. ni swala la kuamua tu. And he is right too... Na nikikumbuka haya maneno naona hakuna kitakacho nishinda maishani. lol
I take this oportunity to thank them both... :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Sikumbuki a particular advice nilio pewa, ila nakumbuka general words that people tell me (not necessarly as I write them here but the main idea is here), ambazo nimezifanya kua motto ya maisha sasa hivi:

  1. Mama yangu anapenda sana kunambia :Barbie (she calls me barbie because I am her little doll) your thought are your limit. be careful of what you think of as you might get it. what you think about you bring about. Na nilipo elewa what she meant by this maisha yangu yamekua very, very easy to live and to accept.
  2. Mume wangu tells me often: we amua tu Baby. ni swala la kuamua tu. And he is right too... Na nikikumbuka haya maneno naona hakuna kitakacho nishinda maishani. lol
I take this oportunity to thank them both... :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

ni kama wote wanakuambia sky is the limit
 
The Boss,i don't know if your thread was about me or may be was just a coincidence but what i can say it is about life and experience that goes with it.About ten years ago wakati nafikiria habari za kuoa nilikuwa na kaka wa rafiki yangu katika mazungumzo tu akawa anatoa experience ya rafikiake kwamba alioa kutoka kwenye familia ambayo baba na mama walikuwa wameachana by then ndoa zilikuwa sio kama generation yetu hii yaani ndoa kuvunjika ni kama fashion.Huyo rafiki wa kaka wa rafikiangu ndoa yake haikuchukua hata miaka mitatu ikawa imevunjika na katika regrets zake alisema kwamba hawezi kumshauri mtu kwenda kuoa kwenye familia kama hiyo. That was then,baada ya kuongea na kaka wa rafiki yangu hiyo issue ilipita miaka kadha,sasa wakati natafuta my ideal woman nilikuwa na my high school sweatheart lakini maongezi ya kaka wa rafikiangu yalikuwa yanakuja mara kwa mara kwani huyu my high school sweetheart wazazi wake tulikuwa tunaishi kitongoji kimoja waliachana katika mazingira ya kusikitisha kwamba mama aliamua kumpokea yesu,lakini to the extreme yaani hata comitment za familia kama mama akaziacha,baba akamuuliza simple question kwamba either ndoa au ulokole.Mama alichagua yesu na akaondoka nyumbani japo baadae alitaka kurudi,anyway niachie hapo upande ule.Sasa mimi hayo maneno yale ya kaka wa rafikiangu japo yaliniumiza kichwa lakini hatimaye nilijipa moyo kwamba was isolated incident.Nikaoa my high school sweetheart,ten years later with two kids,my wife left me sadly living with a guy used to be our driver.It is not fiction guys,it my true life's experience
Pole kwa yaliyokukuta.
Ila sidhani kama ni kweli kwamba watoto wanaotoka kwenye ndoa zilizovunjika nao hawataweza kudumu kwenye ndoa unless hawajaridhika na ndoa zao kwa namna moja ama nyingine.Na inaonekana kabisa mwenzako hakua ameridhika na ndoa yenu/wewe.
 
ni kama wote wanakuambia sky is the limit
almost yes... Ni kama I have some potential that I am affraid to unleash and I need to be reminded. I am a very shy person... lol
Ila ya mume wangu it is more about situation that I see as unresolvable, ananambia hivo kwa maana ya : ukiamua kuchukulia poa itauma at first but later utaona poa tu. whereas my mum ni more like: even if you think you can't decide just do it and you will be able to solve it... does it make sense?
 
Back
Top Bottom