Wake zetu hutusaidia sana wakati tunapokwama au mambo hayaendi vizuri..View attachment 2939884
Mke wangu amepata kazi mshahara wake ni mkubwa zaidi yangu na mkataba wake unasema atakuwa anatembelea gari ya kampuni wakati mimi sina hata gari. Nataka kumkataza asikubali hiyo kazi, je niko sahihi?
ya mchanaChai
Ni mwanaume mjinga tu na mpumbavu ndiye atafanya hivyo unavyotaka kufanya.Nataka kumkataza asikubali hiyo kazi, je niko sahihi?
Pesa ya Mwanamke ata akijinunulia nguo na vitu vyake vya urembo amekusaidia pakubwa .Kama watakuwa wanasaidiana katika kuhudumiwa familia 50/50 amruhusu.
Na kama mahitaji yake atakuwa anajitimizia mwenyewe amruhusu.
Naunga mkono .Chai
Haina maana kuishi na mtu wa namna hiyo na mwenye fikra hizo.Pesa ya Mwanamke ata akijinunulia nguo na vitu vyake vya urembo amekusaidia pakubwa .
Hata kama ni chai ndio usitoe ushauri?Chai
Kabisa mkuu ,mimi ni mwafrica naona fahari kumtunza mwanamke , huu ni utaratibu wetu tangu kale.Haina maana kuishi na mtu wa namna hiyo na mwenye fikra hizo.
Na kama huyo mwanamke anaye mzungumzia mleta mada ana fikra hizo basi hilo ni tatizo.
Nawe una fikra za namna hiyo ?
Huo ni utaratibu wa baadhi ya nyie waafrika wa aina yako ila sio wote.Kabisa mkuu ,mimi ni mwafrica naona fahari kumtunza mwanamke , huu ni utaratibu wetu tangu kale.
Sio vibaya pia kwa sababu kila mtu anakanuni yake ya maisha.Huo ni utaratibu wa baadhi ya nyie waafrika wa aina yako ila sio wote.