The King of Jews
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 478
- 109
Wanaume ni mbwa!!!???....yaani hadi mimi ni mbwa???!!!....
Sawa mkuuuu
Sitaki kukushauri, ila ingekua mimi ningetafuta watu 4 wa kazi, walioshiba. Nae wamfanye alichonifanya. Wajisevie kiboga na pesa nawapatia
Wanaume ni mbwa!!!???....yaani hadi mimi ni mbwa???!!!....
Mimi kama Mimi nisingemuua ila ningemfanya kitu ambacho asingesahau na kuteseka kama mimi .pole sana mydia
Finally the dots are connecting thoroughly,:mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph: all by themselves.
Ishia hapo hapo,Huyo Baba yako mkubwa ndiye m.b.w.a,tafadhali sana usitujumlishe na ambao hatumo.
Samehe
7x70
Sitaki uone kama nimesoma hapa, napita tu.
kuna wengine
makosa yao yanazidi 490 vipi hao msamaha bado kwao upo au