Ushangiliaji wa Konate umeleta gumzo kwenye mitandao ya kijamii

Ushangiliaji wa Konate umeleta gumzo kwenye mitandao ya kijamii

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,310
Reaction score
4,205
Mpira unaletaga huzuni na kukata tamaa timu yako inaposhindwa. Pia mpira unaleta furaha na kuchangamsha.

Video hapo chini inamuonesha Mlinzi wa timu ya taifa ya Ufaransa na Liverpool Ibrahima Konate akishangilia goli la Ekitike ambalo baadaye lilikataliwa.

Kilichowafurahisha wengi kwenye mitandao ya kijamii ni jinsi alivyoshangilia kwa kupiga sarakasi zembe.

Licha ya goli hili kukataliwa Liverpool waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila dhidi ya Nottingham Forest lililofungwa na Mccalister dakika za nyongeza.



hydroxo

adriz de mbusii
 
Konate bana ila ni mtu poa sana. Sijui kwanini hawa mabeki wa ufaransa ushangiliaji wao ni ajabu. Hata Saliba Arsenal hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom