Ushangiliaji wa ki-Vuvuzela... Je, ni haki kwa wazungu kuupinga huu ushangiliaji?

Wacheza wa Brazil wamesema ikiwa watashindwa ni kwasababu ya sauti ya mavuvuzela ,wamedai kuwa yatawakosesha raha na kuwapa wakati mgumu wa kufikiria cha kupanga na kuweza kutoa uwamuzi mzuri baina yab wachezaji.
 
C Ronaldo amesema makelelea ya Vuvuzela yanamyima mchezaji umakini
 
Wacheza wa Brazil wamesema ikiwa watashindwa ni kwasababu ya sauti ya mavuvuzela ,wamedai kuwa yatawakosesha raha na kuwapa wakati mgumu wa kufikiria cha kupanga na kuweza kutoa uwamuzi mzuri baina yab wachezaji.
dah yale madudu yanakera sana, bora wayapige marufuku ai seee
 
Licha ya makelele, baadhi ya washabiki wanaogopa magonjwa yanayoambukizwa kwa mate, kwani wapulizaji wa mavuvuzela humwaga mate mengi
 
Mi naipenda sana ile style ya ushangiliaji kwa sababu ni unique.
Inapatikana Africa tu.
 
Mi naipenda sana ile style ya ushangiliaji kwa sababu ni unique.
Inapatikana Africa tu.

ndio mkuu ni unique afrika tu,,,ila yanapoteza usikivu kwa sie tu tunaowatch tv/radio
sasa sipati picha apo uwanjani yaweje,labda ingepangwa siku chache tu za mechi wayatumie mayb when SA is playing!!maana wao ndo wameyazoea
aisee yana kelel zinatoa umakini/usikivu kabisaaaaa
vya ukweli tuseme kweli!
 
ndio mkuu ni unique afrika tu,,,ila yanapoteza usikivu kwa sie tu tunaowatch tv/radio
sasa sipati picha apo uwanjani yaweje,labda ingepangwa siku chache tu za mechi wayatumie mayb when SA is playing!!maana wao ndo wameyazoea
aisee yana kelel zinatoa umakini/usikivu kabisaaaaa
vya ukweli tuseme kweli!

Nunua VUVUZELA FILTERS....zinapatikana tu kwa sasa!
 
I wish huu ushangiliaji uwe wa kutumia kifaa kama vuvuzela au mdomo pekee ungekuwa unaendana na tukio. Tatizo nionalo mimi vuvuzela zinapigwa toka mpira unaanza hadi unaisha hujui kama hapo wanashangilia goli, au wamefurahishwa na uchezaji au wanamzomea mchezaji kwa uzembe.

All in all bila kujali uzungu au uswahili ushangiliaji usio na mpango unaondoka radha ya mchezo.
 
My foot babaako!!![/SIZE][/QUOTE]

De novo vipi tena?plizzzz
 
Inaboa kwa kweli hasa ukiwa nao live uwanjani, mechi yao vs Mexico sikufaidi hata wengine walikuwa bize kupiga vuvuzela kuliko kuangalia mechi, yani waliposawazisha Mexico ikawa utulivu kidogo.

Yani wengi watalalamika mwaka huu inaboa vuvuzela inaumiza masikio, Blatter kamuheshimu Mandela na anawajua angekataza wangegoma kuja uwanjani, mana weusi wa bondeni siasa zimewajaa sana kiasi wanaona kila kitu wao ndio wapo sawa.

Noja wakitoka utaona peupe, mana wapo radhi waone marudio isidingo na generation kuliko Brazil vs Ureno live, kuna sehemu wanaonyesha public lakini wanafungua na kujaa siku Bafanabafana ikicheza tu, wakitolewa viwanja vitakuwa vyeupe.

Ni ulimbukeni na wengi ni sifa tu kushindana kuyapiga, si unajua sifa za kijinga
 
kwakweli mimi sioni raha yoyote na huu ushangiliaji wa vuvuzela kelele mtindo mmoja utafikiri nyuki au mbu .nyie mnaosema ule ni utamaduni wa kiafrika basi ni waongo kweli .tunataka natural flavour ya ushangiliaji .the company who made vuvuzela tried to make it look like african culture but to be honest is more like a financially gain.
BARN THE vuvuzela now.
 
Vuvuzela here to stay. Khe khe khe hao nyuki na mizinga hadi iiishe baada ya mashindano khe khe khe eeee. Nafikiri wengi wetu hatukujua maana ya Vuvuzela kabla ya hii world cup.

BTW wakati wa mechi ya Uholanzi niliona wazungu wana vuvuzela na wanazitumia kwa ustadi kabisa.

Na hapa chini Je?

_48063726_aussies_getty.jpg
 
Duh ! kumbe iyo vuvuzela ina mlio kama wa sauti ya Tembo ,na pia wachunguzi wa mambo au maneno wamezema ilo neno VUVUZELA pia ayjulikani limeanzia wapi.

esnvgm.jpg

apo dogo huna la kumueleza,wala hakuelewi.

They are the raucous, ear-splitting trumpets which give the World Cup in South Africa its unique sound, but be warned: vuvuzelas are about to be unleashed on a street near you.:frusty:
 

Attachments

  • story8c2c071507305996e18a778d86ab7b83.jpg
    story8c2c071507305996e18a778d86ab7b83.jpg
    26.3 KB · Views: 37
inasemekana maana ya VUVUZELA ni PIGA KELELE.....mabaya sana....kero tupu
 
So you’ve started watching the World Cup in South Africa, you’re enjoying the games, but the thing that’s spoiling it for many are those vuvuzelas. Until FIFA gets around to banning them, there is another way of reducing the sound on your television. Dr Sean Marlow, lecturer in DCU’s School of Engineering, tells us how.

Marlow Method A
[for TV with a good sound equaliser]

Step 1: enter the sound settings for your TV, find the equaliser.

Step 2: drop the 233Hz [or closest] channel (which Samsung TVs have, second from left), and raise the adjacent levels.

Step 3: save as a custom setup (if you can).

Repeat for 466, 932 and 1864Hz

We gave it a try on a Samsung TV, and while it doesn’t remove the vuvuzela noise completely, it does tone it down. It also takes some of the depth out of the commentary, as voices sound less rounded and full bodied, perhaps no bad thing.

The settings should work on most TVs where you can make changes to the sound levels in this way, but if they don’t on your television you do have another option.

Marlow Method B:

Play the sound through your PC sound card. Run the free program Audacity and set up notch [cancellation] filters at frequencies 233, 466, 932 and 1864Hz



vuvu.jpg

 
Wakoma hii naona ndio imeshatoka na itaenea dunia nzima bila ya wasiwasi wowote ule,kwa kasi na nguvu ,maana kila ukichukia ndipo mambo yanapozidi ,wasauzi wanasema eti ni njia ya kuongezea ushindi timu unayoishangilia ,habari nilizonazo ambazo zimenifikia zinasema kuwa tayari yameshatua Uingereza na yanauzika kwa kasi !!!
 
Back
Top Bottom