Nawe ka boost ya Ali kibaNinaweka kama kumbukumbu tu !!
Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fakeKwahiyo cha ajabu ni nini haswa? Kwamba wamefanya uhalifu gani na nani alikatazwa kufanya hivyo wafanyavyo wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking?Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fake
Viwes fake zipo nyingi youtube kama hujuiFake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking?