The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 1,118
- 2,228
Habari za muda huu wana jamvi
Je ni sahihi kwa hiki kilichofanyika uwanjani?
Ule utani wa jadi uko wapi?
Ushabiki utaenda kutugawa muda si mrefu tutaanza kuona watu wakipigana mapanga na kuuwana kisa ushabiki wa timu hizi mbili.
Wasemaji wa hizi timu kuna namna wanasababisha haya mambo kutokea , nimesikitika juzi kuona video ya CEO wa Simba Sc akitoa kauli za vitisho kwa watani zao kuhusu kuja uwanjani mbele ya press conference kabisa.
Hii si sawa kabisa mamlaka za aoka fumbueni macho., hali inaenda kuwa mbaya.
Je ni sahihi kwa hiki kilichofanyika uwanjani?
Ule utani wa jadi uko wapi?
Ushabiki utaenda kutugawa muda si mrefu tutaanza kuona watu wakipigana mapanga na kuuwana kisa ushabiki wa timu hizi mbili.
Wasemaji wa hizi timu kuna namna wanasababisha haya mambo kutokea , nimesikitika juzi kuona video ya CEO wa Simba Sc akitoa kauli za vitisho kwa watani zao kuhusu kuja uwanjani mbele ya press conference kabisa.
Hii si sawa kabisa mamlaka za aoka fumbueni macho., hali inaenda kuwa mbaya.