Used ATM pamoja na Safe Vinauzwa

Used ATM pamoja na Safe Vinauzwa

hahahahahahaha!!!! aiseeee hiii kali
 
Mkuu humu wana JF wengi wana matatizo ya kuelewa, na pia wamezoea kufanya vitu vilivyozoeleka na wengi kwahiyo ukileta vitu vya tofauti na walivyozoea lazima wakushangae...mfano unataka ulete water vending machine lazima watu wakushangae yani...hivi ungevitafutia soko mikoani aiseee kuna sehemu zingine wilaya nzima ATM moja tu..bank 2 wilaya nzima tatizo wengi hawana exposure ningekua na uwezo ningechukua moja hapo aisee...
 
Ninahitaji ATM mashine mbili moja ya mke wangu na nyingine yangu mwenyewe kwa matumizi ya nyumbani
Nina ATM 30 zilizokwishatumika zinauzwa.

baadhi zinafanya kazi lakini nyingine hazifanyi kazi (for spares)

ATM zote sina safe zenye funguo na combination lock.

naziuza kwa bid, mwenye bid nzuri ndio mnunuzi, hakuna minimum price.

Simu 0754-730813, ATM zipo mikocheni, Dar Es Salaam

Picha ya baadhi ya ATM hapo chini

View attachment 214776
View attachment 214777
View attachment 214778
 
mkuu kwa ushauri labda ungetoa maelezo ya kina ili wateja waelewe coz cdhan kama hvyo kwa ufupi hueleweki ata ww its clear kua huelewi kwa kina matumizi ya hizo mashine
 
Mm nilizani Atm card mmh kazi kweli kumbe madude hayo sasa ya nn hayo kwa mtu binafsi
 
Haya mambo ya kuokota okota vitu ughaibuni,ndiyo matokeo yake hay😵na sasa mtu kaokota ATM mbovu alafu anaziuza kwa mafungu.Kapime kama screpa mkuu.

Kama hawezi ingia ubia na benki, basi ili angalau arudishe gharama zake, nashauri akaziuze pale gerezani kama scrapper au katika kiwanda cha nondo mikocheni. Ni ushasuri tu, ila yeye atakuwa anaelewa kwa nini kaleta huu mzigo wenye utata!!
 
Jamani nenda kamuuzie mama tibaijuka moja au mawili aweke mpunga then awe anafokoa ado ado
 
Uswe ukipata muda ungonge ku PM
 
Last edited by a moderator:
Kama hawezi ingia ubia na benki, basi ili angalau arudishe gharama zake, nashauri akaziuze pale gerezani kama scrapper au katika kiwanda cha nondo mikocheni. Ni ushasuri tu, ila yeye atakuwa anaelewa kwa nini kaleta huu mzigo wenye utata!!

mazuri kwa kufugia kuku
 
Aiisee, yani nilikua sijui kama benki zinakodisha ATM, mkuu umeshafunga hizo zenye visa? Swali la nyongeza naomba kuliza % au nikiwango gani benki wanakulipa ukiwakodisha ATM machine?
 
Samahani. Ukiweka nyumbani kama safe nikitaka kutoa hela ndio naingiza digit 4 inatoa hela au vipi?
 
We Uswege toa elimu basi kwa mapana namna tunavyoweza nufaika na huo mzigo mbona unadonoa tu?
 
kwa hyo ukiwa nayo nyumbani bado utahitaj na kadi ili kufanya muhamala au?.,dah hii kali mkuu..!!
 
Back
Top Bottom