Used ATM pamoja na Safe Vinauzwa

Used ATM pamoja na Safe Vinauzwa

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
628
Nina ATM 30 zilizokwishatumika zinauzwa.

baadhi zinafanya kazi lakini nyingine hazifanyi kazi (for spares)

ATM zote sina safe zenye funguo na combination lock.

naziuza kwa bid, mwenye bid nzuri ndio mnunuzi, hakuna minimum price.

Simu 0754-730813, ATM zipo mikocheni, Dar Es Salaam

Picha ya baadhi ya ATM hapo chini

atm 1.jpg
atm 3.jpg
atm 2.jpg
 
mmmh mkuu hizo ATM kwa sie watu binafsi tutaziweka wapi tolea maelezo ili tujue faida
 
mmmh mkuu hizo ATM kwa sie watu binafsi tutaziweka wapi tolea maelezo ili tujue faida

kama una nafasi, unaweka kisha unaingia mkataba na benki, angalizo tu ni kwamba hizi ATM haziwezi kuunganishwa na mmastercard na visacard na ndio sababu nikazing'oa

matumizi mengine ni kuchukua safe (zote zina safe), hii unaweza kuitumia dukani, au hotelini au popote unapotaka kuhifadhi pesa au documents muhimu.

Note: Sina minimum price, mwenye bid nzuri ndiye ntayemuuzia
 
Hapa kuna kitu nataka kujifunza.
Ni kweli unaweza kuingia mkataba na Bank kwa kuwa na Private ATM?
Na mfano eneo gani kwa jiji la Dar kuna mtu anafanyakazi hiyo ya ATM Point
 
Mkuu sasa mbona wewe usiingie mkataba na hizo bank ukapata hela? halafu kitendo cha kuuza kwa bei yoyote napata wasiwasi
 
Duh sijapataona mtu binafsi anamiriki ATM
 
aisee jaman wanaJF achen vituko watu tunakazi nyingi ofisini DAH!!!!!!
 
Haya mambo ya kuokota okota vitu ughaibuni,ndiyo matokeo yake hay😵na sasa mtu kaokota ATM mbovu alafu anaziuza kwa mafungu.Kapime kama screpa mkuu.

mpya kabisa nilinunua, zimefanya kazi miaka mitano na zaidi, nimezitoa kwa sababu

1. nyingine zimekufanya, kwa hiyo zitafaa tu kwa spare na kama mtu anataka kutumia safe yake
2. nyingine hazifawezi kuunganishwa na visa/mastercard, na mimi ninaanza ku-process transactions za visa
 
Back
Top Bottom