Elections 2010 Usanii wa JK - amteua kijana aliemaliza chuo kuwa DC

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....
 

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,165
Kwani kuna tatizo gani mbona Mbunge wa Mbozi Mashariki bwana D.Shilinde naye amemaliza chuo mwaka huu, dogo yule Kigoma (Mkosamali) ndiyo kwanza anaingia final yr?
 

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Kwani kuna tatizo gani mbona Mbunge wa Mbozi Mashariki bwana D.Shilinde naye amemaliza chuo mwaka huu, dogo yule Kigoma (Mkosamali) ndiyo kwanza anaingia final yr?
Hao uliowataja ndugu yangu wamegombea na wananchi wenyewe wamewachagua tofauti na mtu wa kuteuliwa kiuswahiba na JK hoja yako haiingi kwenye hii tuhuma
 

Nyambala

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
4,465
1,165
Hao uliowataja ndugu yangu wamegombea na wananchi wenyewe wamewachagua tofauti na mtu wa kuteuliwa kiuswahiba na JK hoja yako haiingi kwenye hii tuhuma

Kwa hiyo hapo kwenye kuteua JK amevunja katiba ya nchi? Au kuna vigezo gani ambavyo vinahitajika mtu kupewa ukuu wa wilaya??????
 

kalagabaho

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,465
5,828
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....

hata Nyerere alimteua salim Ahmed Salim Kuwa Balozi akiwa na miaka 18 tuu! huna hoja1 kwanza mtu mwenyewe na Cv yake huijui kwanini umuhukumu kuwa hana uwezo? mtachanganyikiwa sana mwaka huu!
 

kalagabaho

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,465
5,828
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....

kijana mmoja, wilaya moja, miaaka kati ya 30-32! kwa hiyo hicho chanzo chako cha uhahikia ndio kimekupa taarifa isiyo na uhakika si ndio? nimekuelewa1
 

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
22,945
8,837
afadhali achague hao kuliko ile mimama inayojichubua imetapakaa mawilayani ikitinda nyusi tu... hata wewe ukiwa kwenye limelight waweza hojiwa hadi mkao wako ch00ni

Tumpe rais nafasi afanye kazi
 

Gottee

R I P
Sep 7, 2008
174
1
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....
Kwa Mkuu wa Wilaya ana kazi gani maana zaidi ya kuwapokea Salama Kikweta, Riziwani, Makamba, Miraji, Khalfan na Januari! Nilisahau na kusindikiza MWENGE
 

ifolako

Member
Nov 8, 2010
98
0
Humu ndani kuna watu wana wivu wa kijinga na hawatapata maendeleo kamwe iwapo wataendekeza majungu na mapipa!Mwezio kapata ulaji mpe hongera wewe unaanza eti mdogo,eti kasoma nje duh,WATU WABAYA SANA.JE UNGENIFAHAMI MIMI NI NANI NADHANI UNGEHAMA HAPA JF!
ACHA WIVU FANYA KAZI UOKOE FAMILIA YAKO
 

andrewk

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
3,102
484
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....

Atakuwa chaguo la Riziwan, tuliambiwa kuna vijana waliotembeza form za JK wataula, bado wako kama 30 hiviiiii
 

andrewk

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
3,102
484
Humu ndani kuna watu wana wivu wa kijinga na hawatapata maendeleo kamwe iwapo wataendekeza majungu na mapipa!Mwezio kapata ulaji mpe hongera wewe unaanza eti mdogo,eti kasoma nje duh,WATU WABAYA SANA.JE UNGENIFAHAMI MIMI NI NANI NADHANI UNGEHAMA HAPA JF!
ACHA WIVU FANYA KAZI UOKOE FAMILIA YAKO

Hakuna mwenye wivu hapo, tatizo ni taratibu za uteuziiiii
 

Shkh Yahya

Senior Member
Oct 1, 2010
100
5
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....

Majungu, roho mbaya na chuki..ulictaka uchaguliwe wewe?
 

faithful

JF-Expert Member
Aug 10, 2010
378
32
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....

acha wivu wa kike wewe ulitaka ateuliwe babu yako kijijini ndio uone amemteua mwenye umri sahihi?
 

pmwasyoke

JF-Expert Member
May 27, 2010
4,399
2,515
Kama uzee ndiyo tija mbona wilaya nyingi na mikoa mingi kumekuwa na wakuu wa umri mkubwa - lakini bado kuna umaskini wa kutupwa?
 

faithful

JF-Expert Member
Aug 10, 2010
378
32
afadhali achague hao kuliko ile mimama inayojichubua imetapakaa mawilayani ikitinda nyusi tu... hata wewe ukiwa kwenye limelight waweza hojiwa hadi mkao wako ch00ni

Tumpe rais nafasi afanye kazi

mimama iliyojichubua?????sijawahi ona mkuu wa wilaya aina hiyo!
 

chobu

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
309
26
Mimi sioni tatizo kuteuliwa kijana mdogo, hata kama kasoma nje... La msingi hapa ni kazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Kinombo

JF-Expert Member
Feb 24, 2007
332
34
hata nyerere alimteua salim ahmed salim kuwa balozi akiwa na miaka 18 tuu! Huna hoja1 kwanza mtu mwenyewe na cv yake huijui kwanini umuhukumu kuwa hana uwezo? Mtachanganyikiwa sana mwaka huu!
hivi sasa hakuna waziri kiongozi zanzibar
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom