kagumyamuheto
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 286
- 2
Akili za baadhi ya wana jf zimepinda. Nani kawaroga??? Then mirembe ndio hospitali stahiki
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....
hata Nyerere alimteua salim Ahmed Salim Kuwa Balozi akiwa na miaka 18 tuu! huna hoja1 kwanza mtu mwenyewe na Cv yake huijui kwanini umuhukumu kuwa hana uwezo? mtachanganyikiwa sana mwaka huu!
Kama sikosei SAS aliteuliwa NA JKN kama balozi wa misri akiwa na umri wa miaka 18.SALIM AHMED SALIM.....ALITEULIWA NA NYERERE akiwa na MIAKA 24
Humu ndani kuna watu wana wivu wa kijinga na hawatapata maendeleo kamwe iwapo wataendekeza majungu na mapipa!Mwezio kapata ulaji mpe hongera wewe unaanza eti mdogo,eti kasoma nje duh,WATU WABAYA SANA.JE UNGENIFAHAMI MIMI NI NANI NADHANI UNGEHAMA HAPA JF!
ACHA WIVU FANYA KAZI UOKOE FAMILIA YAKO
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....
Kama sikosei SAS aliteuliwa NA JKN kama balozi wa misri akiwa na umri wa miaka 18.
afadhali achague hao kuliko ile mimama inayojichubua imetapakaa mawilayani ikitinda nyusi tu... hata wewe ukiwa kwenye limelight waweza hojiwa hadi mkao wako ch00ni
Tumpe rais nafasi afanye kazi
Na 'mijianaume' huwa inafanya nini? Sina uhakika kama takwimu zako ni sahihi. HAo wanawake ni wengi kiasi hicho wilayani? Au tatizo ni kutinda?afadhali achague hao kuliko ile mimama inayojichubua imetapakaa mawilayani ikitinda nyusi tu... hata wewe ukiwa kwenye limelight waweza hojiwa hadi mkao wako ch00ni
Tumpe rais nafasi afanye kazi
Kuana habari nimeipata toka chanzo cha uhakika Ikulu JK mbali amemteua kijana mmoja kuwa mkuu wa wilaya moja huko Nyanda za juu kusini. Huyu kijana ana miaaka kati ya 30-32 na amaemaliza chuo kikuu nje ya nchi miezi 6 iliyopita hivyo kuleta maswali ni jinsi gani atakuwa na uwezo wa kuongoza wilaya. Habari za kina kuhusu uteuzi huu wa kiswahiba kama ilivyo ada ya JK kufuata....
afadhali achague hao kuliko ile mimama inayojichubua imetapakaa mawilayani ikitinda nyusi tu... hata wewe ukiwa kwenye limelight waweza hojiwa hadi mkao wako ch00ni
Tumpe rais nafasi afanye kazi
tatizo ni umri,kusoma ulaya,kuteuliwa, kuchaguliwa au wivu???????????