Elections 2010 Usanii wa JK - amteua kijana aliemaliza chuo kuwa DC

Acha ateue bwana kwani kuteua wakuu wa wilaya si ni jukumu la rais! Wewe una uhakika kwamba huyo kijana ana uswahiba na JK au Ridhiwani au unaropoka tu!
 
Acha ateue bwana kwani kuteua wakuu wa wilaya si ni jukumu la rais! Wewe una uhakika kwamba huyo kijana ana uswahiba na JK au Ridhiwani au unaropoka tu!
 
Humu ndani kuna watu wana wivu wa kijinga na hawatapata maendeleo kamwe iwapo wataendekeza majungu na mapipa!Mwezio kapata ulaji mpe hongera wewe unaanza eti mdogo,eti kasoma nje duh,WATU WABAYA SANA.JE UNGENIFAHAMI MIMI NI NANI NADHANI UNGEHAMA HAPA JF!
ACHA WIVU FANYA KAZI UOKOE FAMILIA YAKO
Yaani humu tukifikia kuona uteuzi ni ulazji, basi ujue direction tunayoenda sio yenyewe, Ukuu wa wilaya ni cheo cha kisiasa, inahitaji mtu ambaye awali alishafanya kazi ya kusimamia sera ya chama kilichomuweka, kama he's out from the blue watu bado wana haki ya kuhoji.
 
Kwani hao wazee walipatia wapi uzoefu...

Uongozi ni kipaji kama jamaa ana kipaji then that is fine..
 
Mtoa mada ameconflate vitu viwili. La inexperiency, umri na uswahiba. Hilo la kwanza linaweza lisiwe na shida sana kama mteuliwa ni mchapa kazi. La pili ndio challenge Kubwa na ambalo ushahidi ni vigumu kuupata.
 
Kwa hiyo hapo kwenye kuteua JK amevunja katiba ya nchi? Au kuna vigezo gani ambavyo vinahitajika mtu kupewa ukuu wa wilaya??????

Katiba alianza kuuvunja tangu kujipeleka pale White House yetu Magogoni hivyo kila tendo linalofuatia ni VOID AB INITIO.
 
this aint serious at all...i cant imagine jf imefikia stage hii ya ufikiriaji,tumediscuss mada page nne alaf mada yenyewe haiko hata specific,eti jk amemchagua kijana FULANI wa miaka FULANI kuwa mkuu wa wilaya FULANI....
Guys lets talk abt facts cz we don even know who de person is lakin tayari tushajaza page nne wit blah blaaaaazzzz
 
Hebu toa maelezo zaidi labda tutaona ubaya wa mkwere alichokifanya. Vinginevyo he did something good maana amechagua kijana halafu ana elimu. Hope hiyo Wilaya itasonga mbele.
 
Age ant nothing but number. It doesnt matter, huyu bw mdogo mbona anaweza kuongoza wilayaya vizuri kabisa
 
Mada nyengine bwana! Umri mdogo, kusoma nje na uswahiba hausiani hata kidogo na utendaji. Muhimu awe mtendaji, na ikiwa hivyo hata hilo la uswahiba linakuwa sio noma. Umri wake mdogo na kusoma nje vinaweza kumfanya awe mbunifu na kuwa chachu ya utendaji wake na maendeleo kwa jumla, has tukitilia maanani kuwa wengi walio chama tawala waliolelewa hapa ndani wana mawazo mgando.
 
Yaani humu tukifikia kuona uteuzi ni ulazji, basi ujue direction tunayoenda sio yenyewe, Ukuu wa wilaya ni cheo cha kisiasa, inahitaji mtu ambaye awali alishafanya kazi ya kusimamia sera ya chama kilichomuweka, kama he's out from the blue watu bado wana haki ya kuhoji.
Siku hizi kuna matawi ya CCM mengi tu nje ya nchi mfano UK, USA, India, na Russia. Sasa huenda huyo kijana ni kada wa siku nyingi wa CCM, haijalishi kama amekuwa nje ya nchi kwa muda gani, alichoangalia yeye nadhani ni mchango wake kwa CCM kama Kada. Na hasa ukizingatia nafasi ya mkuu wa wilaya ni ya kisiasa zaidi kuliko kiserikali.
 
Acha ateue bwana kwani kuteua wakuu wa wilaya si ni jukumu la rais! Wewe una uhakika kwamba huyo kijana ana uswahiba na JK au Ridhiwani au unaropoka tu!
Wewe ndio unaropoka!Rais kama Rais hawezi kuteua mtu ambaye hamfahamu!Unafikiri kafanya sandakalawe.........Hata kama sio swahiba wake kuna mtu kampigia pande!Si unaelewa msemo wa wakoloni wako "Huna haki ya kuongea bila kufanya utafiti".Kwa sababu mi sijafanya utafiti wa DC wakoloni wako wanesema 'No comments'
 
Mada nyengine bwana! Umri mdogo, kusoma nje na uswahiba hausiani hata kidogo na utendaji. Muhimu awe mtendaji, na ikiwa hivyo hata hilo la uswahiba linakuwa sio noma. Umri wake mdogo na kusoma nje vinaweza kumfanya awe mbunifu na kuwa chachu ya utendaji wake na maendeleo kwa jumla, has tukitilia maanani kuwa wengi walio chama tawala waliolelewa hapa ndani wana mawazo mgando.

Aha!NdIo MAaNa HaTuEnDeLeI kUmBe TaTiZo "MaWaZo MgAnDo"Kutoka chama.....Nani kasema ukitaje!
 
Acha ateue bwana kwani kuteua wakuu wa wilaya si ni jukumu la rais! Wewe una uhakika kwamba huyo kijana ana uswahiba na JK au Ridhiwani au unaropoka tu!
Wewe ndio unaropoka!Rais kama Rais hawezi kuteua mtu ambaye hamfahamu!Unafikiri kafanya sandakalawe.........Hata kama sio swahiba wake kuna mtu kampigia pande!Si unaelewa msemo wa wakoloni wako "Huna haki ya kuongea bila kufanya utafiti".Kwa sababu mi sijafanya utafiti wa DC wakoloni wako wanesema 'No comments'
 
Kama wamegombea na wananchi walio wengi wamewakubali pamoja na umri wao mdogo ni ajabu gani Rais kuteua kijana aliyetoka chuo kuwa mkuu wa wilaya. Mbona wananchi hatukuwashangaa walipokubali kuongozwa na vijana wadogo waliotoka chuoni.Mbona kila siku tunalalamika kuwa vijana wapewe nafasi ya uongozi? Wakiteuliwa tunalalamika bila hata sababu za msingi kupinga uteuzi huo. unapinga kwa kigezo kimoja tu kwamba kijana amemaliza chuo hivi karibuni.

Jambo la msingi ni kupata CV yote ya kijana huyo ndipo tunaweza kuchambua uwezo wake.
 
Back
Top Bottom