MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Bunge limejaa usanii mtupu na vilio vya mamba ndani yake, Spika ni Dhaifu katika Maspika wa Bunge kusini mwa jangwa la Sahara.
Report ya sasa sio ngeni sana, vipi ya kwaka jana? Vipi ya mwaka juzi? Kuna report na report za CAG ziko ofisini kwao hapo Dodoma, na hawa wasanii hawajahi zitolea maamuzi, wamejaa usaniii na kuigiza pale Dodoma kwamba wana uchungu na wako serious kumbe hakuna kitu pale, ni raia wajinga pekee wanao amini pale kuna Bunge.
Wabunge ni dhaifu plus uwezo mdogo wa kuwaza, that is why muda mwingi ni kusifia na kupongeza tu.
Hawa wabunge na vilio vyao vya Mamba wangezana kuuliza report ya kwaja jana ya CAG kama ilisha fanyiwa kazi au la na kama bado kwa nini?
Wanacho fanya sasa ni kucheza na akili za wajinga ili wajinga sisi tuwaone jamaa wako Serious sana na wana uchungu sana kumbe ni machozi ya Mamba tu.
Hao wakina sijui Msukuma wanacheza ba akili tu za wajinga, bunge ni dhaifu sana likiongozwa na Spika dhaifu sana, alaumiwe jiwe hapa.
Linapo fika swala la Udhaifu wa Bunge la sasa lawama asilimia 100 zimwendee jiwe au Mwenda zake huko aliko, yeye ndio alitaka Bunge dhaifu la kiwango hiki ili wawe wanamsifia tu pale Dodoma.
Hawa hakuna wanacho weza kuamua kwa sasa kwa masilahi ya nchi ziaidi ya hadaaa na machozi ya Mamba.
Report ya sasa sio ngeni sana, vipi ya kwaka jana? Vipi ya mwaka juzi? Kuna report na report za CAG ziko ofisini kwao hapo Dodoma, na hawa wasanii hawajahi zitolea maamuzi, wamejaa usaniii na kuigiza pale Dodoma kwamba wana uchungu na wako serious kumbe hakuna kitu pale, ni raia wajinga pekee wanao amini pale kuna Bunge.
Wabunge ni dhaifu plus uwezo mdogo wa kuwaza, that is why muda mwingi ni kusifia na kupongeza tu.
Hawa wabunge na vilio vyao vya Mamba wangezana kuuliza report ya kwaja jana ya CAG kama ilisha fanyiwa kazi au la na kama bado kwa nini?
Wanacho fanya sasa ni kucheza na akili za wajinga ili wajinga sisi tuwaone jamaa wako Serious sana na wana uchungu sana kumbe ni machozi ya Mamba tu.
Hao wakina sijui Msukuma wanacheza ba akili tu za wajinga, bunge ni dhaifu sana likiongozwa na Spika dhaifu sana, alaumiwe jiwe hapa.
Linapo fika swala la Udhaifu wa Bunge la sasa lawama asilimia 100 zimwendee jiwe au Mwenda zake huko aliko, yeye ndio alitaka Bunge dhaifu la kiwango hiki ili wawe wanamsifia tu pale Dodoma.
Hawa hakuna wanacho weza kuamua kwa sasa kwa masilahi ya nchi ziaidi ya hadaaa na machozi ya Mamba.