Usanii mpya wajitokeza Tanzania

Usanii mpya wajitokeza Tanzania

Hivi ndugu yangu una ubongo kweli wewe?! au una tunda la ubuyu tu hapo kichwani?! Kina kushangaza nini hasa huyo jamaa kwenda kujichanganya na wananchi katika kipindi hiki?! Huu ndio muda wake, kipindi cha uchaguzi, watu wanafanya nini katika kipindi cha uchaguzi? Sio kunadi tu sera za chama isipokuwa na kuyasikiliza matatizo ya wananchi, si rahisi huyu jamaa kuyafanya anayoyafanya akichukua ofisi ila atleast ataingia kule akiwa na picha halisi ya nini kipo mtaani.

Tuache kuendekeza siasa za kipuuzi za kupondana na kukashifiana kila mara. Ifike pahala watanzania tutulize vichwa na kuanza critical judgment ya mambo ya msingi na tusiendeshwe na mihemko ya kisiasa.

Watanzania tunateseka sana! Maisha magumu, hatuhitaji ilani ya chama ili tuendelee (huu ni mtazamo wangu) maana for the last 53 years ilani ya chama imetusogeza mbele kuelekea maendeleo ni kama kilomita 1 hivi kwa safari ya kilomita 10000, naomba nitoe rai, tusipoteze muda mwingi kutafuta ya kukosoa tu kutoka kwa hawa wagombea, tuyatafute na mazuri pia. Aluchokifanya Lowassa ni kitu kizuri, si busara! Kuja na kuanza kumpaka tope! After all, huu ndio muda wake muafaka!

Mimi ni mtanzania ambaye niko huru ni vifungo vya kisiasa!

Yani mpaka unatia huruma,DNA imebaini jamaa anachembechembe za ufisadi kwenye damu,hata ujieleze vp mwalimu nyerere alishawahi sema hatuwezi kabidhi mbwa nchi
 
Acha ushamba nakushauri ufanye utafiti kidogo nje ya nchi uone wenzetu wanafanyaje kampeni. Bahati nzuri kuna kampeni zinaendelea marekani kwa sasa na kuna wagombea matajiri wakubwa duniani (kama Donald Trump) wanajichanganya na wananchi bila kujali utajiri wao na wanapanda mabasi ambayo huwa wa hawatumii katika shughuli zao kawaida. Lengo la kampeni ni kufikisha ujumbe kwa wapiga kura na njia yoyote inayokufikisha kwa ufanisi inatumika.
 
Mimi nadhani MSANII huyu angaaenza na wamasaki wenzie kabla ya kuja kwa wananchi wa kawaida

Mtanzania wa Leo asiye lofa sidhani Kama anaweza kudanganyika kwa bei kirahisi hivi.

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa amekuja mbagala Au gogo la mboto ila Leo kaja , mwenye picha YAKE aiweke hapa .

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akiwa katika Gari ambayo sio tinted Leo katembea na daladala . mpeni na jembe akalime pia basi .

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akipiga stories na watu wa kawaida , Leo urafiki huu wa miezi miwili unatoka wapi?

Kulikoni Leo? Kulikoni mtu mfalume aache kasiri lake Masaki aje mbagala ? Kulikoni mtu anaye tembelea v8, karibia nusu ya mda tinao mjua sisi leo atembelee dalala Kama sio maigizo na kuwadharau watembea kwa usafiri huu?
Kulikoni mtu tunaye mjua katika msafara wake ni wa ma vx na V8 Leo ajitese hivi?
Kulikoni hasa?

MTU amekuwa Waziri , tena Waziri wa offisi ya mazingira na kupambana Na umasikini chini ya makamu wa Rais hakuwahi kufika nadhani aliwahi kuwa anapaona kwenye TV , kulikoni Leo ndo awe jamaa yetu ghafla hivi? Amekuwa Waziri mkuu , Waziri wa MAJI aliwahi kuja? Kulikoni?

Mimi nadhani nadhani ana wadharau Sana tena Sana muulizeni alikuwa wapi?

Kuna watu nawaona wana lia lia eti kwa nini tunamjadili Mh Lowassa , jamani hapa anaye tafutwa ni Rais wa nchi yetu sote , hivyo ni haki na wajibu wa kila rai kiwajadili viongozi hawa na kwa wakati huu ni ajenda.

Wageni wa siasa mtuwie radhi kwa hili , nenda duniani kote nje ya ajenda ya ilani wagombea ni ajenda pia
Ninacho weza kusema ukisikia wanao lia lia asijadiliwe mgombea wao Au ni wageni katika siasa Au mgombea wao ana Makonda konda hawataki wananchi wayajua kwa mgongo huo .

Safari hii Tanzania imepata msanii Na Dr wa physician Na chemistry kufika October tutaona Mengi Sana
Eti wa naenda kutafuta simpathy ya kuwa wameitw lofa .

Ukiwa RAIA unaye jitambua na ukadanganywa na pipi Kama hizi ili utoe kura wewe ni lofa tu hata wazunguke dunia nzima ni lofa .

Maghufuli tuna lala nae kwenye madaraja, tunakesha nae kwenye Barabara wakati wa mvua Masikini, tunakula nae chakula cha mama ntilie .Hana haja ya kufanya mbwembwe Kama hizo , daladala amepanda Mara kibao ili kushutukiza watendaji kazini .

Alfu unasemaje Ni mkutano wa ghafla mna vipaza sauti navyo means Vya ghafla?

Nakumbuka wapinzani ndio walioanza kuona usanii wa msee wa kuwa watu wa naenda kumshawishi mnakuta viti na vipaza sauti tiyari?

Leo naona wameamua kujiunga sasa kutengeneza movie .

Sisi sio malofa kataa kudanganyika.
Na huyu mgombea mwenza ni msanii,alitembelea wagonjwa huko same jana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1440515372716.jpg
    FB_IMG_1440515372716.jpg
    21.8 KB · Views: 98

Hili ndilo tatizo la kusimamisha mgombea asiyekubalika, UKAWA sasa badala ya kujenga hoja wanapambana kumsafisha Lowasa muda ni mfupi sana namuona Magufuli anapita kila WILAYA tena kwa gari anafanya mikutano 12 leo atafanya mikutano 11 anawafikia wapiga KURA nyie Je?
 
Acha ushamba nakushauri ufanye utafiti kidogo nje ya nchi uone wenzetu wanafanyaje kampeni. Bahati nzuri kuna kampeni zinaendelea marekani kwa sasa na kuna wagombea matajiri wakubwa duniani (kama Donald Trump) wanajichanganya na wananchi bila kujali utajiri wao na wanapanda mabasi ambayo huwa wa hawatumii katika shughuli zao kawaida. Lengo la kampeni ni kufikisha ujumbe kwa wapiga kura na njia yoyote inayokufikisha kwa ufanisi inatumika.

Hata kuhonga makundi ya raia kuja kwake kuigiza kwamba wanamkubali ni sawasawa?
Mifano kibao point 0!
 
Tunasema ni usanii kwa sababu tujiulize,amekuwa kiongozi kwa muda zaidi ya miaka 20 alikuwa wapi siku zote kutembelea hao walalahoi anaodai, au wakati akiwa waziri mkuu shida hizo hazikuwepo,kama Mtanzania mzalendo unapaswa kutafakri hilo na si kufurahia hayo maigizo.

ujinga tu hakuna chamaana mnacho jadiri,siasa zina badirika Lowassa anacho kifanya sio kujipendekeza Alisha fanya haya kipindi ni waziri mkuu japo hakufika Tandale au wapi lakini alikuwa ni mtu wa field,tatizo ni ugeni wa siasa nakukataa kuutafuta ukweli..kawa wauliz wamarekani door to door campaign .endeleeni na matusi na keji sisi tunakusanya kura tu.mngekuwa na busara mkendeleta apa sera za magufuli na kuzinadi
 
Tunasema ni usanii kwa sababu tujiulize,amekuwa kiongozi kwa muda zaidi ya miaka 20 alikuwa wapi siku zote kutembelea hao walalahoi anaodai, au wakati akiwa waziri mkuu shida hizo hazikuwepo,kama Mtanzania mzalendo unapaswa kutafakri hilo na si kufurahia hayo maigizo.
Kamuulize Mh: JP Magufuli maswali kama hayo. Alikuwa wapi kuhusu migogoro ya Ardhi kati ya wakulima na wafugaji? Alikuwa wapi miaka yoto juu ya ukosefu wa madawa hospitalini na kupatikana maduka binafsi? Ni kwa nini MSD ILIGOMA KUSAMBAZA DAWA KATIKA HOSPITAL ZA SERIKALI? Hakujua kuwa vijana wanahitaji bodaboda? Atawakopesha vijana wangapi na watazifanyia kazi wapi iwapo wanazuiliwa kufika mijini? Viwanda vimehubiriwa tangu lini na ufufuliwaji wake na ni serikali ipi iliyoviua? Waliyoviua wako wapi? Wamechukuliwa hatua gani? Hakujua kuwa wananchi hawana maji? Hayo machache ukiyajibu kwa unaga ubaga utakuwa umepata majawabu kuwa ni kwa nini Mh: Lowassa anawatembelea wanyonge wa nchi hii.
 
Nafikiri USANII mkubwa ni wanasiasa wetu hasa wa serikali ya CCM kutoa AHADI za uongo kwa wananchi,kama sikosei raisi wetu mpezi ametoa AHADI zaidi ya mia moja kwa watanzania lakini ahadi hizo nyingi hazitekelezwi...

Inawezekana Magufuli ni mchapa kazi lakini ujue kuwa tatizo la CCM sio la mtu binafsi ni la mfumo mfumo(system),,mfumo wa sera CCM ni za kubeba mabaya,ni za kulindana ni za kuwaona watanzania malofa hii yote inasababishwa na kuwa CCM imekaa sana madarakani,Serikali ya CCM imejisahau...

Now its too late watanzania wameshaamka,,,nikisikia Samia na Magufuli wakitoa ahadi zao za kampeni nakuwa najiuliza kwani haya matatizo yamesababishwa na nani,,,,kwani wao si wako kwenye serikali kwanini hawayatatui haya matatizo wanayoyazungumza wakati wao ndio watawala...

Hata kama Magufuli ni mchapa kazi atanyooshwa tu na mfumo CCM,ataingizwa katika mfumo wa ufisadi,na mabaya mengine....
 
Hata kuhonga makundi ya raia kuja kwake kuigiza kwamba wanamkubali ni sawasawa?
Mifano kibao point 0!
Wewe pia Umehongwa? Mh: JP Magufuli wananchi wanavyomjalia pia huwa wanahongwa? Kama ndiyo ni kiasi gani? Kama siyo wanafikaje kwake?
 
ujinga tu hakuna chamaana mnacho jadiri,siasa zina badirika Lowassa anacho kifanya sio kujipendekeza Alisha fanya haya kipindi ni waziri mkuu japo hakufika Tandale au wapi lakini alikuwa ni mtu wa field,tatizo ni ugeni wa siasa nakukataa kuutafuta ukweli..kawa wauliz wamarekani door to door campaign .endeleeni na matusi na keji sisi tunakusanya kura tu.mngekuwa na busara mkendeleta apa sera za magufuli na kuzinadi

UKAWA kweli kazi mnayo na huyu jamaa.Mtarukaruka na kumsafisha huyu jamaa mpaka Magufuli huyooo magogoni,
Siku hizi ufisadi kimyaaaaa kweli malofa,
yani mmemtosa Slaa mkachukua oil chafu sasa kazi mnayo safisheni kwanza engine ndipo muanze safari huku tingatinga likichanja mbuga
 
Kwa style hii ya kufikiri basi watanzania wa namna yenu mna safari ndefu sana kuifikia nchi ya asali na maziwa.
Endelea kujichelewesha

Watanzania lazima tubadilike tuwe kama wenzetu wazungu kwani wao hugundua vipaji mapema sana tofauti na hapa kwetu.
Hapa kwetu si jambo la ajabu kukuta mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira akawa anahimizwa kusoma mambo tofauti kabisa huku kipaji chake kikiwekwa kando.
Baada ya utafiti wa muda mrefu mtakubaliana na mimi kwamba EL ni nguli wa sanaa ya maigizo na kunaumuhimu mkubwa kwa vikundi vya sanaa kulitizama hili hasa ndugu zangu wa Kaole.
Jamaa anabadilika kutokana na mazingira kiasi ambacho inashangaza hiki kipaji kuonekana kwenye utuuzima ilihali kipindi chote hicho alikua akifanya mambo tofauti kabisa.Umri si kigezo kwani mzee Ojuang wa Kenya alizeeka na kazi yake ya maigizo mpaka umauti ulipomfika.
Mtakubaliana na mimi wapo watu walishwahi kulia kwakutizama filamu kama za ki nigeria kutokana na umahiri wa waigizaji jinsi wanavyo fikisha ujumbe kwa hadhira.
Hili si jambo geni kwa EL ambae tunamshuhudia mara anakunywa maji ya viroba ambayo kimsingi anaigiza tu kwani akishaondoka tu pembeni ya kamera mwendo ni Kilimanjaro,Mara anapanda daladala,mara anaandaa vikundi hewa vije nyumbani kumshawishi awanie uraisi.Zote hizi ni harakati zakisanii kazini.
Lakini kutokana umahiri wake wa maigizo wapo watu wanaamini kabisa kwamba jamaa ndio mfumo wake wa kunywa maji ya viroba.
Watu wanaomuamini EL hawanatofauti na watu wanaolizwa kwakutizama filamu.
Jamani huyu jamaa hana kipaji cha uongozi ni muigizaji ni vema kaole wakachangamkia hiki kipaji kinapotea bure.
 
UKAWA kweli kazi mnayo na huyu jamaa.Mtarukaruka na kumsafisha huyu jamaa mpaka Magufuli huyooo magogoni,
Siku hizi ufisadi kimyaaaaa kweli malofa,
yani mmemtosa Slaa mkachukua oil chafu sasa kazi mnayo safisheni kwanza engine ndipo muanze safari huku tingatinga likichanja mbuga

ndomana nawambia hoja hamna mnaleta majingambo,hatuko ngomani hapa,hapa tunajadiri mustakabali wataifa anyway magufuli wako kaingia huko magogoni what is next..ujue nyie ccm inawapumbaza sana hizo elfu sabasaba na maisha ya upambe na udananda yana wacost hamna future zaidi ya kuishi maisha ya kugongea sigara na kupiga mizinga kwa hao wanaccm ndomana hamtaki challenge..October ndio jibu mbwembwe zote hzi zita wa ghalimu
 
Wewe pia Umehongwa? Mh: JP Magufuli wananchi wanavyomjalia pia huwa wanahongwa? Kama ndiyo ni kiasi gani? Kama siyo wanafikaje kwake?

Qui qui qui eti vijana wa bodaboda wameendesha pikipiki kutoka simiyu kuja dodoma kumshawishi fisadi awanie urais huku micro4n za waandishi wa habar zikiwa zimeshaandaliwa,hongo hadharani!!!!
 
Mimi nadhani MSANII huyu angaaenza na wamasaki wenzie kabla ya kuja kwa wananchi wa kawaida

Mtanzania wa Leo asiye lofa sidhani Kama anaweza kudanganyika kwa bei kirahisi hivi.

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa amekuja mbagala Au gogo la mboto ila Leo kaja , mwenye picha YAKE aiweke hapa .

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akiwa katika Gari ambayo sio tinted Leo katembea na daladala . mpeni na jembe akalime pia basi .

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akipiga stories na watu wa kawaida , Leo urafiki huu wa miezi miwili unatoka wapi?

Kulikoni Leo? Kulikoni mtu mfalume aache kasiri lake Masaki aje mbagala ? Kulikoni mtu anaye tembelea v8, karibia nusu ya mda tinao mjua sisi leo atembelee dalala Kama sio maigizo na kuwadharau watembea kwa usafiri huu?
Kulikoni mtu tunaye mjua katika msafara wake ni wa ma vx na V8 Leo ajitese hivi?
Kulikoni hasa?

MTU amekuwa Waziri , tena Waziri wa offisi ya mazingira na kupambana Na umasikini chini ya makamu wa Rais hakuwahi kufika nadhani aliwahi kuwa anapaona kwenye TV , kulikoni Leo ndo awe jamaa yetu ghafla hivi? Amekuwa Waziri mkuu , Waziri wa MAJI aliwahi kuja? Kulikoni?

Mimi nadhani nadhani ana wadharau Sana tena Sana muulizeni alikuwa wapi?

Kuna watu nawaona wana lia lia eti kwa nini tunamjadili Mh Lowassa , jamani hapa anaye tafutwa ni Rais wa nchi yetu sote , hivyo ni haki na wajibu wa kila rai kiwajadili viongozi hawa na kwa wakati huu ni ajenda.

Wageni wa siasa mtuwie radhi kwa hili , nenda duniani kote nje ya ajenda ya ilani wagombea ni ajenda pia
Ninacho weza kusema ukisikia wanao lia lia asijadiliwe mgombea wao Au ni wageni katika siasa Au mgombea wao ana Makonda konda hawataki wananchi wayajua kwa mgongo huo .

Safari hii Tanzania imepata msanii Na Dr wa physician Na chemistry kufika October tutaona Mengi Sana
Eti wa naenda kutafuta simpathy ya kuwa wameitw lofa .

Ukiwa RAIA unaye jitambua na ukadanganywa na pipi Kama hizi ili utoe kura wewe ni lofa tu hata wazunguke dunia nzima ni lofa .

Maghufuli tuna lala nae kwenye madaraja, tunakesha nae kwenye Barabara wakati wa mvua Masikini, tunakula nae chakula cha mama ntilie .Hana haja ya kufanya mbwembwe Kama hizo , daladala amepanda Mara kibao ili kushutukiza watendaji kazini .

Alfu unasemaje Ni mkutano wa ghafla mna vipaza sauti navyo means Vya ghafla?

Nakumbuka wapinzani ndio walioanza kuona usanii wa msee wa kuwa watu wa naenda kumshawishi mnakuta viti na vipaza sauti tiyari?

Leo naona wameamua kujiunga sasa kutengeneza movie .

Sisi sio malofa kataa kudanganyika.

hata hivyo hakuna anayetaka wewe udanganyike ispokuwa hisia zako ndizo zinakutuma uamini hivyo.
 
lakini tumpe tu tuibinue CCM, Ukawa tutamnyoosha atufanyie kazi yetu. Angegombe CCM ange tembelea V8 kama siku zote!!
 
Join Date : 20th August 2015
Posts : 7
Rep Power : 302
Likes Received14
Likes Given0

TATIZO LAKO LIKO HAPO JUU,MULTIPLE ACCOUNTS
 
ndomana nawambia hoja hamna mnaleta majingambo,hatuko ngomani hapa,hapa tunajadiri mustakabali wataifa anyway magufuli wako kaingia huko magogoni what is next..ujue nyie ccm inawapumbaza sana hizo elfu sabasaba na maisha ya upambe na udananda yana wacost hamna future zaidi ya kuishi maisha ya kugongea sigara na kupiga mizinga kwa hao wanaccm ndomana hamtaki challenge..October ndio jibu mbwembwe zote hzi zita wa ghalimu

Mkuu unazungumzia CCM ipi hio inayotupumbaza?
CCM A au CCM B?
 
Back
Top Bottom