Mkuu acha kufuru kumbuka maneno ya komba kwa warioba usifanye kazi ya Mungu ohoooooo unajificha nyuma ya keyboard halafu unamkosoa muumba aliyekupa wewe akamnyima yeye ohoooooMkuu usipuuze ushauri,
sasa hizi sanaa nyingine jamaa akipata kipindupindu na afya yenyewe ndio ile shingo inageuzwa na mkono!
Kwamba Magufuli huwa unalala naye kwenye madaraja? Hii nayo kali! Hakuna guest house hadi ulale naye darajani?
Mimi nadhani MSANII huyu angaaenza na wamasaki wenzie kabla ya kuja kwa wananchi wa kawaida
Mtanzania wa Leo asiye lofa sidhani Kama anaweza kudanganyika kwa bei kirahisi hivi
Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa amekuja mbagala Au gogo la mboto ila Leo kaja , mwenye picha YAKE aiweke hapa
Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akiwa katika Gari ambayo sio tinted Leo katembea na daladala . mpeni na jembe akalime pia basi
Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akipiga stories na watu wa kawaida , Leo urafiki huu wa miezi miwili unatoka wapi?
Kulikoni Leo? Kulikoni mtu mfalume aache kasiri lake Masaki aje mbagala ? Kulikoni mtu anaye tembelea v8, karibia nusu ya mda tinao mjua sisi leo atembelee dalala Kama sio maigizo na kuwadharau watembea kwa usafiri huu?
Kulikoni mtu tunaye mjua katika msafara wake ni wa ma vx na V8 Leo ajitese hivi?
Kulikoni hasa?
MTU amekuwa Waziri , tena Waziri wa offisi ya mazingira na kupambana Na umasikini chini ya makamu wa Rais hakuwahi kufika nadhani aliwahi kuwa anapaona kwenye TV , kulikoni Leo ndo awe jamaa yetu ghafla hivi? Amekuwa Waziri mkuu , Waziri wa MAJI aliwahi kuja? Kulikoni?
Mimi nadhani nadhani ana wadharau Sana tena Sana muulizeni alikuwa wapi?
Kuna watu nawaona wana lia lia eti kwa nini tunamjadili Mh Lowassa , jamani hapa anaye tafutwa ni Rais wa nchi yetu sote , hivyo ni haki na wajibu wa kila rai kiwajadili viongozi hawa na kwa wakati huu ni ajenda ,
Wageni wa siasa mtuwie radhi kwa hili , nenda duniani kote nje ya ajenda ya ilani wagombea ni ajenda pia
Ninacho weza kusema ukisikia wanao lia lia asijadiliwe mgombea wao Au ni wageni katika siasa Au mgombea wao ana Makonda konda hawataki wananchi wayajua kwa mgongo huo
Safari hii Tanzania imepata msanii Na Dr wa physician Na chemistry kufika October tutaona Mengi Sana
Eti wa naenda kutafuta simpathy ya kuwa wameitw lofa
Ukiwa RAIA unaye jitambua na ukadanganywa na pipi Kama hizi ili utoe kura wewe ni lofa tu hata wazunguke dunia nzima ni lofa
Maghufuli tuna lala nae kwenye madaraja, tunakesha nae kwenye Barabara wakati wa mvua Masikini, tunakula nae chakula cha mama ntilie .Hana haja ya kufanya mbwembwe Kama hizo , daladala amepanda Mara kibao ili kushutukiza watendaji kazini
Alfu unasemaje Ni mkutano wa ghafla MNA vipasa sauti navyo means Vya ghafla?
Nakumbuka wapinzani ndio walioanza kuona usanii wa msee wa kuwa watu wa naenda kumshawishi mnakuta viti na vipaza sauti tiyari?
Leo naona wameamua kujiunga sasa kutengeneza movie
Sisi sio malofa kataa kudanganyika
hewala baba au mama, aliyekupa wewe Uwezo wa kugeuza shingo yako electronically ndo aliyemnyima yeye
Mkuu acha kufuru kumbuka maneno ya komba kwa warioba usifanye kazi ya Mungu ohoooooo unajificha nyuma ya keyboard halafu unamkosoa muumba aliyekupa wewe akamnyima yeye ohooooo
Watanzania lazima tubadilike tuwe kama wenzetu wazungu kwani wao hugundua vipaji mapema sana tofauti na hapa kwetu.
Hapa kwetu si jambo la ajabu kukuta mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira akawa anahimizwa kusoma mambo tofauti kabisa huku kipaji chake kikiwekwa kando.
Baada ya utafiti wa muda mrefu mtakubaliana na mimi kwamba EL ni nguli wa sanaa ya maigizo na kunaumuhimu mkubwa kwa vikundi vya sanaa kulitizama hili hasa ndugu zangu wa Kaole.
Jamaa anabadilika kutokana na mazingira kiasi ambacho inashangaza hiki kipaji kuonekana kwenye utuuzima ilihali kipindi chote hicho alikua akifanya mambo tofauti kabisa.Umri si kigezo kwani mzee Ojuang wa Kenya alizeeka na kazi yake ya maigizo mpaka umauti ulipomfika.
Mtakubaliana na mimi wapo watu walishwahi kulia kwakutizama filamu kama za ki nigeria kutokana na umahiri wa waigizaji jinsi wanavyo fikisha ujumbe kwa hadhira.
Hili si jambo geni kwa EL ambae tunamshuhudia mara anakunywa maji ya viroba ambayo kimsingi anaigiza tu kwani akishaondoka tu pembeni ya kamera mwendo ni Kilimanjaro,Mara anapanda daladala,mara anaandaa vikundi hewa vije nyumbani kumshawishi awanie uraisi.Zote hizi ni harakati zakisanii kazini.
Lakini kutokana umahiri wake wa maigizo wapo watu wanaamini kabisa kwamba jamaa ndio mfumo wake wa kunywa maji ya viroba.
Watu wanaomuamini EL hawanatofauti na watu wanaolizwa kwakutizama filamu.
Jamani huyu jamaa hana kipaji cha uongozi ni muigizaji ni vema kaole wakachangamkia hiki kipaji kinapotea bure.
Mie wananiboa kinyama sema basi tu.
Toa ulofa wako hapa. Magufuli hakuzaliwa jana wala juzi. Kama Kikwete na Mkapa na wapumbavu wengine kama wewe mnaosema Magufuli ni mchapa kazi tokea zamani kwanini Kikwete asingempisha mwaka 2010. Au huu nao ni usanii majukwaani?
Ratiba ya lowasa;
Trh 24/08/15-kupanda daladala kukutana na wananchi
Trh 25/08/15-kupata chai kwa mama ntilie walioko mtaani
Trh 26/08/15-kwenda Tandale kubeba magunia.
Trh 27/08/15-kukutana na wachimbaji wa kunduchi na kufyatua Matofali
Trh 28/08/15-kwenda karume kuuza mitumba
Trh29/08/15-kufanya usafi kwa kusafisha mitalo na bararbara zilizopo
dsm
Tar 30/08 KULALA MWANANYAMALA WARD YA WAJAWAZITO.
31.8 Segerea kulala na wafungwa ajifunze shida zao
Aliyekupa uzima ndiye aliyemnyima yeye kesha hapa ukikejeli maradhi uone mwisho wakeKumbe mnalitambua kwamba huyu fisadi ni mgonjwa?Dua la kuku hilo,ni upumbavu na ULOFA kuendekeza hongo mkauza chama kwa fisadi wakati chama kina watu kibao,huku mkiendelea na hiz filamu zenu,shame!
Aliyekupa uzima ndiye aliyemnyima yeye kesha hapa ukikejeli maradhi uone mwisho wake
Watanzania lazima tubadilike tuwe kama wenzetu wazungu kwani wao hugundua vipaji mapema sana tofauti na hapa kwetu.
Hapa kwetu si jambo la ajabu kukuta mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira akawa anahimizwa kusoma mambo tofauti kabisa huku kipaji chake kikiwekwa kando.
Baada ya utafiti wa muda mrefu mtakubaliana na mimi kwamba EL ni nguli wa sanaa ya maigizo na kunaumuhimu mkubwa kwa vikundi vya sanaa kulitizama hili hasa ndugu zangu wa Kaole.
Jamaa anabadilika kutokana na mazingira kiasi ambacho inashangaza hiki kipaji kuonekana kwenye utuuzima ilihali kipindi chote hicho alikua akifanya mambo tofauti kabisa.Umri si kigezo kwani mzee Ojuang wa Kenya alizeeka na kazi yake ya maigizo mpaka umauti ulipomfika.
Mtakubaliana na mimi wapo watu walishwahi kulia kwakutizama filamu kama za ki nigeria kutokana na umahiri wa waigizaji jinsi wanavyo fikisha ujumbe kwa hadhira.
Hili si jambo geni kwa EL ambae tunamshuhudia mara anakunywa maji ya viroba ambayo kimsingi anaigiza tu kwani akishaondoka tu pembeni ya kamera mwendo ni Kilimanjaro,Mara anapanda daladala,mara anaandaa vikundi hewa vije nyumbani kumshawishi awanie uraisi.Zote hizi ni harakati zakisanii kazini.
Lakini kutokana umahiri wake wa maigizo wapo watu wanaamini kabisa kwamba jamaa ndio mfumo wake wa kunywa maji ya viroba.
Watu wanaomuamini EL hawanatofauti na watu wanaolizwa kwakutizama filamu.
Jamani huyu jamaa hana kipaji cha uongozi ni muigizaji ni vema kaole wakachangamkia hiki kipaji kinapotea bure.
Gimmys, hakika umenena la ukweli,washikaji wamekosa pumzi,sasa ni mwendo wa maigizo,na hapa EL anatafuta sababu ya kuumwa ili aseme jamani mimi natoa Poo,na sinto shangaa wakisema kapewa maradhi na ccm,,kama ni ni mziki basi umewaingia
Tunasema ni usanii kwa sababu tujiulize,amekuwa kiongozi kwa muda zaidi ya miaka 20 alikuwa wapi siku zote kutembelea hao walalahoi anaodai, au wakati akiwa waziri mkuu shida hizo hazikuwepo,kama Mtanzania mzalendo unapaswa kutafakri hilo na si kufurahia hayo maigizo.