Usanii mpya wajitokeza Tanzania

Usanii mpya wajitokeza Tanzania

kaole hawana muda wa kuhangaika na vipaji vya wapumbavu afu waache werevu kama kina wema,shilole huyu mpumbavu ni sisi wapumbavu wenzie ndo tunajua thamani halisi ya kipaji chake tutakitumia ili upumbavu wetu ujaribu na wenyewe maake werevu wamezidi sana tunataka wapumbavu nao wawe wengi

Mkuu umesahau,"MALOFA".
Nimeona nikukumbushe hilo lingine.
Mnaemwani huyu muigizaji hamna tofauti na wanaolizwa na filamu.
 
ni mkakati mzuri lakini lowassa anafikiri watanazania wa sasa ni wa 95 < kiukweli kila mtu ukimuuliza anakwambia ni USANII watu sasa wameamka, wengi vijana wa town at least wana form four! hata akiondoka eneo la tukio ukafanya ka research tu kuuuliza eti jamaaa yuko serious au anaigiza, tisa ya kumi watakwambia anaigiza
 
Ukiona povu linakutoka hii ni ishara kwamba umemuelewa vizur ndugu EL

Ni kweli mkuu nimemuelewa ila zaidi niliwaelewa shilole na wale wanawake walivyowalekezea viuno mashabiki....teh teh teh....hivi mlitaka watanzanie tuelewe nini zaidi?
 
Tunasema ni usanii kwa sababu tujiulize,amekuwa kiongozi kwa muda zaidi ya miaka 20 alikuwa wapi siku zote kutembelea hao walalahoi anaodai, au wakati akiwa waziri mkuu shida hizo hazikuwepo,kama Mtanzania mzalendo unapaswa kutafakri hilo na si kufurahia hayo maigizo.
Eti alikuwa wapi? Hilo nalo swali? Jibu hili hapa alikuwa CCM kipindi hicho walikuwa hawataki kiongozi wa kuwa karibu na wanachi, sasa katoka huko yupo huru kujichanganya nao na wala si Ajabu kwani hiki ni kipindi cha kampeni anapaswa aende popote anapoona pamamfaa kwenda.
 
Ni kweli mkuu nimemuelewa ila zaidi niliwaelewa shilole na wale wanawake walivyowalekezea viuno mashabiki....teh teh teh....hivi mlitaka watanzanie tuelewe nini zaidi?

Mkuu usipuuze ushauri,
sasa hizi sanaa nyingine jamaa akipata kipindupindu na afya yenyewe ndio ile shingo inageuzwa na mkono!
 
ni mkakati mzuri lakini lowassa anafikiri watanazania wa sasa ni wa 95 < kiukweli kila mtu ukimuuliza anakwambia ni USANII watu sasa wameamka, wengi vijana wa town at least wana form four! hata akiondoka eneo la tukio ukafanya ka research tu kuuuliza eti jamaaa yuko serious au anaigiza, tisa ya kumi watakwambia anaigiza

Watanzania wajanja ndiyo wapo kwa Lowasa wale ambao mkapa kawaita wapumbavu na malofa, watanzania wa 2010 hawakuwahi kuona umoja wa vyama combinations sasa wanataka kuupa nchi ili waondokane na ukiritimba wote wa CCM.
 
Mkuu usipuuze ushauri,
sasa hizi sanaa nyingine jamaa akipata kipindupindu na afya yenyewe ndio ile shingo inageuzwa na mkono!

Hizi dharau zenu wanaCCM kwa watanzania ndizo zinazowaharibia,endeleeni tu.
 
Eti Watanzania na Akili zetu haswaa tukawape kura MACCM walioiba na kujilimbikizia mali ya nchi kwa miaka zaidi ya 50 huku wakitupa ahadi za uongo. KURA YETU NI KWA LOWASA NA WAGOMBEA WA UKAWA.
 
Mti mwenye akili timamu hawezi ipigia kura ccm hata siku moja!
!#@$#@ zenu kwanza mlikuja na Ari mpya nguvu mpya sjui spidi mpya....ikawa chengaaa a
Mkajaaa na maisha bora kwa kila mtz badala yake ikawa kinyume.....
Sisi tushawachokaaaa na longo longo zenu
 
kweli WAPUMBAVU HAWATOISHA DUNIANI..

KAWAIDA UKIMKUTA MWENDAWAZIMU ANAROPOKWA USIMJIBU, ASIJE KUPIGA NA TAKA. UKIMKUTA MLEVI ANABWABWAJA USIMSEMESHE ASIJE AKAKUTAPIKIA...

NILIPOMSIKIA YULE MHESHIMIWA NA JUA KALI LILE NILIELEWA KINACHOENDELEA... HATA WALE WALIOMSIFIA NILIWATAMBUA!!!

NDIO MAANA WANASEMA: NDEGE WAFANANAO HURUKA PAMOJA. HUWEZI KUTA MWEWE AKIRUKA NA KUKU.
 
Jamaa mmoja kaandika twitter kuwa wakati ccm wakiongea maneno matupu 'kazi tuu' Lowasa kawajibu kwa vitendo hivi akiwajibika kusikiliza kero za wananchi mbalimbali dar
 
Mkuu usipuuze ushauri,
sasa hizi sanaa nyingine jamaa akipata kipindupindu na afya yenyewe ndio ile shingo inageuzwa na mkono!

hewala baba au mama, aliyekupa wewe Uwezo wa kugeuza shingo yako electronically ndo aliyemnyima yeye
 
  • Thanks
Reactions: bht
Mimi nadhani MSANII huyu angaaenza na wamasaki wenzie kabla ya kuja kwa wananchi wa kawaida


Mtanzania wa Leo asiye lofa sidhani Kama anaweza kudanganyika kwa bei kirahisi hivi

Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa amekuja mbagala Au gogo la mboto ila Leo kaja , mwenye picha YAKE aiweke hapa
Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akiwa katika Gari ambayo sio tinted Leo katembea na daladala . mpeni na jembe akalime pia basi
Tangu nizaliwe sijawahi kumuona Mh Lowassa akipiga stories na watu wa kawaida , Leo urafiki huu wa miezi miwili unatoka wapi?
Kulikoni Leo? Kulikoni mtu mfalume aache kasiri lake Masaki aje mbagala ? Kulikoni mtu anaye tembelea v8, karibia nusu ya mda tinao mjua sisi leo atembelee dalala Kama sio maigizo na kuwadharau watembea kwa usafiri huu?
Kulikoni mtu tunaye mjua katika msafara wake ni wa ma vx na V8 Leo ajitese hivi?
Kulikoni hasa?
MTU amekuwa Waziri , tena Waziri wa offisi ya mazingira na kupambana Na umasikini chini ya makamu wa Rais hakuwahi kufika nadhani aliwahi kuwa anapaona kwenye TV , kulikoni Leo ndo awe jamaa yetu ghafla hivi? Amekuwa Waziri mkuu , Waziri wa MAJI aliwahi kuja? Kulikoni?
Mimi nadhani nadhani ana wadharau Sana tena Sana muulizeni alikuwa wapi?
Kuna watu nawaona wana lia lia eti kwa nini tunamjadili Mh Lowassa , jamani hapa anaye tafutwa ni Rais wa nchi yetu sote , hivyo ni haki na wajibu wa kila rai kiwajadili viongozi hawa na kwa wakati huu ni ajenda ,
Wageni wa siasa mtuwie radhi kwa hili , nenda duniani kote nje ya ajenda ya ilani wagombea ni ajenda pia
Ninacho weza kusema ukisikia wanao lia lia asijadiliwe mgombea wao Au ni wageni katika siasa Au mgombea wao ana Makonda konda hawataki wananchi wayajua kwa mgongo huo
Safari hii Tanzania imepata msanii Na Dr wa physician Na chemistry kufika October tutaona Mengi Sana
Eti wa naenda kutafuta simpathy ya kuwa wameitw lofa
Ukiwa RAIA unaye jitambua na ukadanganywa na pipi Kama hizi ili utoe kura wewe ni lofa tu hata wazunguke dunia nzima ni lofa


Maghufuli tuna lala nae kwenye madaraja, tunakesha nae kwenye Barabara wakati wa mvua Masikini, tunakula nae chakula cha mama ntilie .Hana haja ya kufanya mbwembwe Kama hizo , daladala amepanda Mara kibao ili kushutukiza watendaji kazini
Alfu unasemaje Ni mkutano wa ghafla MNA vipasa sauti navyo means Vya ghafla?
Nakumbuka wapinzani ndio walioanza kuona usanii wa msee wa kuwa watu wa naenda kumshawishi mnakuta viti na vipaza sauti tiyari?
Leo naona wameamua kujiunga sasa kutengeneza movie
Sisi sio malofa kataa kudanganyika

Safi sana...nazidi kujifunza na kuongeza knowledge base ya Tanzania politics, stay blessed boss..
 
Tunasema ni usanii kwa sababu tujiulize,amekuwa kiongozi kwa muda zaidi ya miaka 20 alikuwa wapi siku zote kutembelea hao walalahoi anaodai, au wakati akiwa waziri mkuu shida hizo hazikuwepo,kama Mtanzania mzalendo unapaswa kutafakri hilo na si kufurahia hayo maigizo.

Alikuwa amebanwa na mafisadi. Ameokoka na kujiunga na wanaukombozi inabidi afuate wafanyavyo wenzake. Yaani hakuna kulala mpaka kieleweke. M4C ni nyumba kwa nyumba ivyo anatekeleza sera ya chama chake kipya. Mtapwaya tu mwaka huu
 
umeandika vizuri sana, nakiri umenishawishi kumpigia kura magufuli 25.10.2015, anafaa sio msanii, huyo mwingine aajiriwe kaole

Hahahaha....naona jamaa anataka kuwaateka wananchi kwa kupanda nao daladala , kunywa Maji ya kandoro na mengineyo ili hali Magufuli alipanda daladala Mara kibao hata kabla ya haya maswala ya urais. Hanishawishi kumpa kura yangu, labda UKAWA ambako hata ukinda Leo ndani ya Sikh chache wanakuamini na kukupa chance. Kuichoka CCM isiwe sababu ya kuchagua MTU asiyeaminika. Afadhali nichague TLP kuliko UKAWA.
 
Back
Top Bottom