Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,383
- 10,951
Shortly nyie ni propagandist mnajifanya hamuelewi. Sikiliza hiyo clip uliyoweka Dr Slaa kaeleza kila kitu. I believe unajua ukweli ....sihitaji kuelezea jambo tulilokwishajadili sana ...
Kwa kuwa wewe ni mpiga zumari wa Slaa, unafikiri kila mtu yupo kama wewe. I don't give a dang bout none of them. My record is clear, Lowassa n Magufuli wote walistahili kuwa jela na siyo mtaani na ikulu.
Slaa ni msanii. He is a power monger, just like Lowassa. When he lost in CCM preliminaries, he jumped ship to CHADEMA. This tells you a lot about him.
Kama angekuwa principled kwenye suala la ufisadi, hata kuuliza Lowassa ni asset au liability hakupaswa. Kwa sababu any principled man angefahamu fika Lowassa ni liability, and I thought hili lilikuwa wazi. Kama ni liability why even lose your precious time to discuss a possibility of helping that 'liability' jump ship?
Yes, hiyo video nimeitazama na kuisikiliza kwa makini sana.
Msikie Slaa kuanzia dakika ya 6.07 akisema kwamba alishiriki katika majadiliano ya kumpokea Lowassa. Dakika ya 7.19 Slaa mwenyewe anasema wazi kwamba kwa msaada wa Gwajima, yeye Slaa ndiye aliyefikisha hoja ya Lowassa kuhamia CHADEMA. Dakika ya 8.05 anasema yeye, Mbowe na Gwajima wakaanza kujadiliana juu ya uwezekano wa Lowassa kuhamia CHADEMA. Kuanzia dakika ya 8.24 anasema kwamba akawa tayari kumsikiliza Lowassa anataka nini, kwa kuwa CHADEMA ni chama cha kisiasa ambacho hakikatai kumpokea mtu yeyote kwenye chama. Dakika ya 8.48 hadi 8.50 anasema wazi alishiriki kuweka msingi wa Lowassa kuhamia CHADEMA.
Hayo hapo juu tu yanatosha ku-question msimamo wa Slaa kwenye ufisadi. Na hoja zenu za kusema utaratibu hakufuatwa ndiyo maana angeondoka hazina ukweli. Mtu mwenye msimamo asingemruhusu hata kumpa nafasi mshenga Gwajima. Yaani unajua mtu anayezungumziwa ni mtu uliyemtuhumu kuwa ni fisadi na mwizi, then leo unatoa nafasi na muda wako kujadili uwezekano wa mtu huyo kuhamia kwenye chama ambacho kilikuwa mstari wa mbele kumtuhumu huyo mtu.
Chifu, najua huwezi kuona usanii na unafiki wa 'mungu' wako. Lakini hiyo video ilimu-expose sana Slaa.
Kuanzia dakika ya 9.44 anasema kwamba sharti mojawapo alilolitoa kwa Lowassa ni kujisafisha kwa tuhuma zote ambazo Slaa na CHADEMA kwa muda mrefu walimtuhumu. Sasa hapa unaweza kujiuliza, ina maana Lowassa angejisafisha, ufisadi wake ungekuwa umeisha? Yaani ufisadi unaisha kwa mtuhumiwa kujisafisha tu kwenye press conference? Does this make sense bro?