technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Ninasema kila aliyesaliti Tanzania atapata majibu yake kabla ya kifo atateseka Sana!!
Kila msaliti wa mageuzi Tanzania atalipwa usaliti wake
Leo mbowe ni wa kusaliti mageuzi kuwa kiungo wa mafisadi na wanyonyaji ?
Mbowe ameenda kumtembelea Lissu keko wameshindwa kuelewana mpaka Lissu imebidi aamishwe gereza ili kulinda maisha yake dhidi ya wasaliti!!
Enyi watu wabaya enyi wasaliti Lissu ni mpango wa Mungu hamtakaa mpange mpango wowote gizani mfanikiwe!!
Wasaliti ni watu wabaya Sana
Kila msaliti wa mageuzi Tanzania atalipwa usaliti wake
Leo mbowe ni wa kusaliti mageuzi kuwa kiungo wa mafisadi na wanyonyaji ?
Mbowe ameenda kumtembelea Lissu keko wameshindwa kuelewana mpaka Lissu imebidi aamishwe gereza ili kulinda maisha yake dhidi ya wasaliti!!
Enyi watu wabaya enyi wasaliti Lissu ni mpango wa Mungu hamtakaa mpange mpango wowote gizani mfanikiwe!!
Wasaliti ni watu wabaya Sana