Hali ya usalama wa watembea kwa miguu ni changamoto hasa kutokana na wafanyabiashara ndogondogo kufanya biashara zao katika njia za watembea kwa miguu. Hii imefanya watembea kwa miguu kupita pembezoni mwa barabara. Hali inayopelekea usalama wao kuwa mashakani.
Kinachoshangaza zaidi wafanyabiashara hao wanatoa ushuru kwa mamlaka husika. Pamoja na wafanyabiashara hao kusababisha changamoto ya foleni lakini wanahatarisha usalama wa watembea kwa miguu na hata wafanyabiashara wenyewe.
Kutokana na haya mamlaka za usalama zipo likizo au mpaka itokeea ajali ndio wachukue hatua?
Kinachoshangaza zaidi wafanyabiashara hao wanatoa ushuru kwa mamlaka husika. Pamoja na wafanyabiashara hao kusababisha changamoto ya foleni lakini wanahatarisha usalama wa watembea kwa miguu na hata wafanyabiashara wenyewe.
Kutokana na haya mamlaka za usalama zipo likizo au mpaka itokeea ajali ndio wachukue hatua?