hawa ndio waliokuwa nyuma ya kifo cha air tanzania na sisi tukashangilia sasa tunalalamika ndivyo sivyo!
Tulalamike air tanzania tunaitaka au tulalamike precision air inavuja? Labda tuna tatizo la kutokujuwa nini tunatakiwa kudai kwa nguvu zetu na sauti zetu zote, au wakati watu wanadai vitu vya msingi tunawaona ni wapiga kelele na wanachodai hakina uhusiano na mambo yetu kabisa.
Haya ni watunda ya ujinga wetu kuachia air tanzania ikatokomea bila kuhoji na bado tutagonga glass na kunywa whisky, wine na bia kwa kuwa hayakuwa yanatuhusu.
ndugu zanguni binafsi nina ka idea sio kidogo cha airline
kwa ukweli ulio wazi wakija inspector kutoka nje ya nchi akuna ndege itakayoruka tanzaniaa else hizi mpya zilizokuja
anyway sitaki kulalalia kwa precision maana sio tatizo lao tatizo ni tcaa..kumekuwa na kuhongana na kuandika wrong report kufurahisha airline bila kujali afya za watu...nakupa mfano tu nenda kaulize ile meli iliodondoka miezi minne iliopita imefanyiwa chks na sumatra na wamesema iko sawa leo wanadai ilikuwa na matatzo kibao so mpaka ndege zianguke ndio utasikia tcaa .....,,kama mnakumbuka kuna aliejua soln ya tatizo liliotokea ile ndege ya mwanza kuanguka nothing wamekaa kimya....na hiki ndicho kilichofanyika mv bukoba leo imehamia bahari ya zanzibar wameunda kamati ambayo tunatumia kod za wanchi tunaishia kupata laana....,,
labda nikusaidie kuna vitu vingi vinachangia kuharibika kwa ndege ikiwemo matengenezo..sasa kinachofanyika ma engineer wengi wa tanzania wamekuwa na dharau hasa wakishajua wakicancel ndege mkubwa wao atawauliza mlikuwa wapi...hili linafanya kumtia majaribuni ruban wa ndege huku sheria zikiwa wazi kuna matatizo haya inabidi ndege isiruke...m nakumbuka kuna siku rubani wa precision alishuka alipoangalia ndege ikiwa na matatizo na ma engineer wakadai inaweza kuruka ikirudi inarekebishwa ...akashuka akaondoka ceo akapigiwa akasema apelekwe ruban mwingine akaingia mkenge akairusha abiria walipofika mwanza wakarusha malalamiko ikiwemo na jf,,,ile ndege iliondoka baada ya siku 3...so unaweza jua nani wanaoua watu.....kama umesikia leo kuna ruban alishuka alipokataa kuendesha meli akaitwa mwingine akamwambia bosi wake anaileta pemba ...leo anachezea jela akisubiri kuhukumiwa kwa mauwaji
vitu vingine ni spareparts,,tumekuwa tukiwa tumia used mara kwa mara na vinapochakaa vinapelekwa mjini vinachongwa..ndugu ni shida hapa hili sio precission tu atc, na kampuni nyingi..sasa vinapochoka vikiwa juu lazima rais aende kutoa pole hapo...na afadhali meli unapatikana ndege uonekani ngo,,ndege ya precission mpya imeletwa hapa dar aikurukaa wiki iko sasa nairobi zaidi ya wikimbili ...ni aibu kusema loh!!!huko nairobi wanabadilisha spare wakirusha vinaamka vingine wamebaki management wanajiuliza ...sasa hapa ni story ndefu kuna ten percent unakuta mnaleta ndege ili mradi watukadhaa wakokwenye payroll za malipo ya ndege...sitaki kusem kaulize vituko vya atcl airbus ilipo na imekuwaje iko huko
upya wowote msidanganyike jamani..kuna watu wako huko nje kusubiri watwaahadaa vipi waafrika...ndege ya