Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
mtoa hoja ana chuki binafsi au anatumiwa na washindani wa hii biashara kuichafua precision air. Mimi ni mtumiaji mkubwa wa huduma zao, ndege zao ziko katika hali nzuri sana. Nyingi ni bado mpya na hata huduma zao ndani ni za kuridhisha. Tatizo lao ni ucheleweshaji (si mara zaote) na pia ukizidisha hata kilo moja wanakulipisha.....ie hawana uhusiano mzuri na wateja ktk mzani.
watake radhi wana jf
uliza ile mpya iliokuja juzi imepelekwa nairobi kufanya nini wiki sasa niisje zaidi??