jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Hebu kitafute hicho kitabu afu utoe balance lol!Kwa the above ujumbe.... I concur with red...
Hebu kitafute hicho kitabu afu utoe balance lol!Kwa the above ujumbe.... I concur with red...
ahahahaaaaaaaa!..mkuu hili neno wanawake hawapendi kwa saana,unafiki kwenye ndoa muhimu kaka,hivi mkeo unaweza kumwambia 'ona ulivyojinenepea?' si patachimbika mzee?
mkuu,kwenye ndoa sera ni kuishi kwa mashaka!
inamaana akisema ametmbea na wanaume zaidi ya 20 utamwacha.
Mbona unatuchanganya. Usalama upi mbona mnaoa mwanamke aliyekwisha zaa na ana watoto. Huwa mnajiuliza huyo aliyezaa naye amemkamulia mara ngapi, na bado mnaoa. Hapo si unakuwa umeshajua wanaume zako waliokutangulia
si utakufa kwa vidonda vya tumbo? Kama sio presha?
of course kwenye ndoa presha kibao,hapo juu kuna thread inarindima ya Russian Roulette na nyumba ndogo,kuna mtu kasimulia kisa cha mwanamke aliyedondoka akafa baada ya mumewe kukiri amelamba nje,usome huo uzi very interesting ,una mipasho ya hatari,Aspirin vs kinamama wote wa mmu,kawakaba kweli kweli!
Haya mambo ni magumu, kila mtu na namna anavyojisikia kuoa, wapo waliooa wanawake ambao wamewakuta kwenye madanguro makubwa, hawa kuna suala la kuulizana, umekutana na wanaume wangapi? au poda kapakaje, au akifika ndani umhesabie finyango za nyama, si mapenzi motomto kwenda mbele...Mi haya uliyoyatoa mzee banana nadhani yamepitwa na wakati kinachoangaliwa sasa ni aina ya service's tu mtu anafika bei ya jumla huko ndani kitaeleweka tu, kama kumbadilishia namba ya simu na kumweka ndani tu inatosha.