Usalama na maendeleo ya Rwanda chini ya Rais Kagame

Usalama na maendeleo ya Rwanda chini ya Rais Kagame

Asante mkuu Konda wa bodaboda kwa kunialika.
ndugu Charles Mkubya,

Kuhusu Rwanda mimi siko "negative" wala "positive" huwa niko objective. Na ndio maana wewe mwenyewe umenisifia kuwa huwa nakuja na data. Mtu anayeongea na data (jumlisha na experience ya kukaa huku na kufanya kazi kwa miaka kadhaa) hawezi kuwa biased hata siku moja. Tofautisha na mtu aliyepita pita kigali kama mtalii.
Kwa bahati mbaya na Tanzania huyu nanihii kaanza kuiga system ya uongozi wa Rwanda. Kwa hiyo siku hizi wala sina maneno mengi sana ya kumuelezea mtu kama wewe juu ya the lie which is Rwanda kwa kuwa hayo "maendeleo" unayoyatamani huyu wa kwetu atatuletea kabla ya 2020!
Kwa mfano serikali inasema HAKUNA NJAA, mapolisi wakadakia kuwa atayesema kuna njaa atatiwa ndani! watu wakiwa objective kwa kutumia data za chakula kuonyesha kuna njaa watapewa kesi za uchochezi! Ndio maana watu pekee mnaotumia real IDs ni watu wenye habari "positive" tu kama wewe ambao njaa mtaita "upungufu wa chakula". Sasa tuje kwenye reality ambayo mtu yoyote anayeishi bongo anajua je tuna njaa hatuna njaa? Zingatia kuwa sheria ya Takwimu hairuhusu takwimu zingine zisizo official kwa hiyo officially HAKUNA. Njoo kwenye chanjo basic kabisa za wajawazito mahospitalini, nenda kwenye mikopo ya elimu, rudi kwenye bajeti ya maendeleo n.k vitu vyote hivyo, ukweli halisi on the ground unapishana na maelezo "positive" ya serikali. Ukishabana uhuru wa media, uhuru wa expression/free speech, utapata "maendeleo" tu lakini ni maendeleo hewa!
sasa huu "uchwara" ambao sisi ndio tunaletewa sasa hivi huko Rwanda Kagame kawaletea toka 1994, kwa hiyo wenzetu hawa ni experts kwenye huu ubashite! Ndio maana kila siku nauliza swali lisilo na majibu kutoka kwa watu kama wewe, kuwa wanyarwanda wanakimbiaga nini huko? Same thing in Ethiopia, ukienda huko utakutana na "maendeleo" makubwa sana ambayo hata rais wetu atatuletea, shirika la ndege ethiopian airlines, mabarabara ya juu na chini, usalama, usafi n.k, lakini haipiti wiki unasikia wamekamatwa waethiopia bongo wanakimbilia sauzi. Why?
Ni kweli kigali ni safi, but ni safi kwa sababu wanataka usafi au ni safi kwa sababu ya show off? Usafi wa kupiga marufuku watu wasiopendeza wasikanyage mjini ndio usafi unaoutaka? Kuna barabara moja jina limenitoka ilipigwa lami watu (commoners) wakawa wanaogopa wanapita pembeni. Ni kwa sababu moyoni mwao wanajua hivi vitu ni kwa ajili ya international community kama sisi na sio wao.
Uhalifu kigali upo tena ule wa kishamba ambao sisi tulishavuka siku nyingi, ule wa kuvamia nyumba kuja kuiba makochi na redio! Of course mimi na wewe most likely tunakaa neighborhood nzuri utasema hakuna crime kabisa! Hata bongo ukifikia masaki hutasikia panya road!
Pita huku kwa hayo:
Hao wanajeshi wanaomwaga kigali kuanzia jioni ni kwa ajili ya kulinda Kagame asipinduliwe na sio kwa ajili ya wanyarwanda. Kama wewe unaona kuna amani katika nchi ambayo kila siku wanajeshi wako mtaani na masilaha mazito basi sawa.
My friend kiufupi sisi wageni ndio tunaopiga hela hapa Rwanda na kuona maisha ya Rwanda ni mazuri (lakini expensive), wenyewe wanapata shida lakini hawana pa kusemea. Ni mtazamo tu lakini.
Nimejifunza vingi sana kutokana na uchambuzi wako uliotukuka.....Asante sana, na ubarikiwe mkuu.
 
Vizuri sana jMali. Kama nilivyosema awali, tuweke mambo ya siasa pembeni, tulitazame hili ktk mtazamo huru.....je kuna effort zozote unaziona kwa Rais Kagame katika kujenga uchumi wa Rwanda?! Na je, kama zipo, unaziunga mkono?
Ni vigumu kuweka siasa pembeni kwani ndio msingi wa kila kitu. Madikteta kama Kagame hawawezi kujenga uchumi kwa sababu yeye peke yake ndio anaamua nini maana ya maendeleo.
Kwa mfano Kagame anapukutisha "nssf" ya huku kwa kuamuru iwekeze kwenye miradi yake ya ajabu ajabu kama mahoteli ambayo hayana wateja, barabara zisizohitajika n.k, Na kwavile amebana uhuru wa kuongea, wageni wanadanganyika kwa kudhani ni maendeleo kumbe ni ubashite tu. Soma hapa jinsi hoteli ya vyumba karibu 300 inapata wateja 16 (link: Kagame’s Kigali Convention Centre Is Dying – Daily Occupancy Of Radisson Hotel As Low As 16 Guests In 292 Room Hotel)
Mfano hapa kwetu chukulia kama tusingekuwa na uhuru wa kuongea kuhusu majengo ya machinga complex pale kariakoo. Yalivyo mazuri mgeni akija atadhani ni maendeleo kumbe hamna wapangaji mle! Sasa Rwanda miradi tata kama hii ndio imejaa Kagame anauzia sura.
Fikiria Kenya airways iko hoi, Uganda shirika lao liko hoi, ATCL ndio hivyo tena, lakini Rwanda Air inaonekana poa tu, ukiwa hauko makini utaisifia Rwanda kuwa mbona inaweza kuendesha shirika la ndege lakini EAC nzima haiwezi! Lakini kumbe Rwanda Air ingawa ni shirika la serikali halichapishi mahesabu yake kokote kule sio bungeni wala wapi, isipokuwa kwa kagame mwenyewe personally! Hata chizi anajua jamaa anakata bajeti za kwingine anarusha ndege ili ajisifu Rwanda ina ndege. Na sisi tunaelekea huko huko tumenunua ndege kwa cash za mabilioni lakini chanjo za wajawazito ni ishu. Maendeleo ni mjadala mpana sana mkuu.
 
Screen-Shot-2017-03-06-at-3.53.12-PM.png
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Waoneeni huruma wanyarwanda chini ya fashist Paulo kagame. Maisha wanayoishi ni ya taabu kuliko mnavyofikiri. Ukienda mara moja hata iwe kwa mwezi huwezi jua kwa undani jinsi wanavyoumia. Jaribu kumtafuta mnyarwanda hasahasa muhutu umuulize kama anafurahia kuishi chini ya dikteta Paulo usikie majibu yake. Taarifa zote za kukua kwa uchumi,maendeleo au siasa zinazochapishwa na vijarida au magazeti ya Rwanda huwa ni uongo na uzushi tu. Mimi naamini,siku moja wanyarwanda watamuondoa huyo mwizi Paulo kama ambavyo wakongo walivyoanza kumtimua mnyarwanda hyporite kanambe nyinyi mnamwita Joseph kabila. Rwanda haina raha wala amani wala maendeleo kama mnavyojidanganya.
 
Ni vigumu kuweka siasa pembeni kwani ndio msingi wa kila kitu. Madikteta kama Kagame hawawezi kujenga uchumi kwa sababu yeye peke yake ndio anaamua nini maana ya maendeleo.
Kwa mfano Kagame anapukutisha "nssf" ya huku kwa kuamuru iwekeze kwenye miradi yake ya ajabu ajabu kama mahoteli ambayo hayana wateja, barabara zisizohitajika n.k, Na kwavile amebana uhuru wa kuongea, wageni wanadanganyika kwa kudhani ni maendeleo kumbe ni ubashite tu. Soma hapa jinsi hoteli ya vyumba karibu 300 inapata wateja 16 (link: Kagame’s Kigali Convention Centre Is Dying – Daily Occupancy Of Radisson Hotel As Low


Nyie wenye uhuru hapo Tz mmefanya nin miaka 50+ bado mnalia lia njaa kichiz Rwanda wamepiga hatua Hyo KCc hujui ilijengwa kwa sabab gani ndio mana mnaleta siasa wabongo chenga sana hyo link umeweka hapo kama hakuna uhuru wa habari we umeitoa wap .???nyie enz zile 1967 mlkua na ndege za maana mbona ki shirika kinapumulia machine [HASHTAG]#KAGAMEFor2017[/HASHTAG] na kama anaiba mali Kongo we kama mswahili yanakuhusu nini america anaiba mafuta Middle east mbona husemi.Tz jeshi lake kule East congo wanafanya nin.???? MONUSCO TOKA 2000 kongo wanafanya nin zaid ya wanajeshi 20,000....!!!
 
Waoneeni huruma wanyarwanda chini ya fashist Paulo kagame. Maisha wanayoishi ni ya taabu kuliko mnavyofikiri. Ukienda mara moja hata iwe kwa mwezi huwezi jua kwa undani jinsi wanavyoumia. Jaribu kumtafuta mnyarwanda hasahasa muhutu umuulize kama anafurahia kuishi chini ya dikteta Paulo usikie majibu yake. Taarifa zote za kukua kwa uchumi,maendeleo au siasa zinazochapishwa na vijarida au magazeti ya Rwanda huwa ni uongo na uzushi tu. M.

Unaisema Rwanda na hujawaifika ile nchi mbona husemi tuwaonee huruma wazimbabwe chini ya kile kibabu nchi kaharibu hali n mbaya au kwanin usiwaonee huruma waswahili chini ya chama cha mboga mboga miaka 50 hospitali haina panadol.au kwanin usiwaonee huruma Burundi au Uganda chin ya viongoz vinganganizi wale
 
Stralis aliyetembea mwenzako jMali kaja nadhani ss mnaweza kwenda sawa kihoja

Hawa rwanda wanaiona kwnye magazeti au ITV sisi wengine tumekaaa kule tunaona mambo yalivo na wako smart sana wale pipo sio hapa mnaanza kutafutana juu ya vyeti na nchi n maskini....nenda Boda rusumo jiulize kwanin Hawatumii jengo walijengewa na Japani bado wako kwnye kikontena ndio ofis wakat rwanda wao wanatumia lile jengo upande wa rwanda Tanzania ndio wezi wakubwa.
 
Unaisema Rwanda na hujawaifika ile nchi mbona husemi tuwaonee huruma wazimbabwe chini ya kile kibabu nchi kaharibu hali n mbaya au kwanin usiwaonee huruma waswahili chini ya chama cha mboga mboga miaka 50 hospitali haina panadol.au kwanin usiwaonee huruma Burundi au Uganda chin ya viongoz vinganganizi wale
Rwanda hakuna sehemu hata moja siyoijua,hivi tunavyozungumza nipo kahama nimetoka Rwanda. Kila kinachoendelea Rwanda nakifahamu. Iwe Tanzania , Rwanda ,Burundi ,Congo ninapajua vizuri mno. Warundi wanahangaishwa na Watusi wanaojiita sindumuja wakiongozwa na Pierre buyoya, Alexis sinduhije ,Pacific nininahazwe na Watusi wengine wenye msimamo mkali kwa kuamini hakuna muhutu anayeweza kuongoza kwa ufanisi. Yaani Watusi wanaamini wao tu ndio wanaweza kuwa viongozi,wahutu nao sasahivi wameamka wanajitetea na kujipigania. Zimbabwe hakuna tatizo la ukabila,Rwanda ukabila ndio dira ya maendeleo ya Watusi.
 
Rwanda hakuna sehemu hata moja siyoijua,hivi tunavyozungumza nipo kahama nimetoka Rwanda. Kila kinachoendelea Rwanda nakifahamu. Iwe Tanzania , Rwanda ,Burundi ,Congo ninapajua vizuri mno. Warundi wanahangaishwa na Watusi wanaojiita sindumuja wakiongozwa na Pierre buyoya, Alexis sinduhije ,Pacific nininahazwe na Watusi wengine wenye msimamo mkali kwa kuamini hakuna muhutu anayeweza kuongoza kwa ufanisi. Yaani Watusi wanaamini wao tu ndio wanaweza kuwa viongozi,wahutu nao sasahivi wameamka wanajitetea na kujipigania. Zimbabwe hakuna tatizo la ukabila,Rwanda ukabila ndio dira ya maendeleo ya Watusi.

Ubongo wako utakua mweusi kama tairi za Michelin tu hyo zimbabwe kibabu kile kimekaa pale chenga tupu sasa we unaongelea ukabila au maendleo kama n ukabila burundi maskini kichiz rwanda iko mbali sana fanya comparison Uganda M7 kakaa pale kajisahau angalia Ethiopia wako mbali sana we mbongo una kila kitu ila huna hata panado hospitali.[HASHTAG]#Kagamefor2017[/HASHTAG].kaifikisha rwanda pale ilipo either kwa kuiba kongo au Tz lakin nchi iko mbali....Huo ukabila unaosema Rwanda haupo
 
Ubongo wako utakua mweusi kama tairi za Michelin tu hyo zimbabwe kibabu kile kimekaa pale chenga tupu sasa we unaongelea ukabila au maendleo kama n ukabila burundi maskini kichiz rwanda iko mbali sana fanya comparison Uganda M7 kakaa pale kajisahau angalia Ethiopia wako mbali sana we mbongo una kila kitu ila huna hata panado hospitali.[HASHTAG]#Kagamefor2017[/HASHTAG].kaifikisha rwanda pale ilipo either kwa kuiba kongo au Tz lakin nchi iko mbali....Huo ukabila unaosema Rwanda haupo
Unachokijua wewe ni matusi tu,nina imani kwa safari unazozifanya nchi mbalimbali kazi yako ni utingo. Maana watu hao hawana lugha za heshima kama zako. Kila anaekulea hoja badala ya kuijibu wewe unatukana kwanza.
 
Unachokijua wewe ni matusi tu,nina imani kwa safari unazozifanya nchi mbalimbali kazi yako ni utingo. Maana watu hao hawana lugha za heshima kama zako. Kila anaekulea hoja badala ya kuijibu wewe unatukana kwanza.

Gari ya msouth africa hainaga Tingo kushoto inakaa midoli au reflector sasa nyie watoto wa bibi gari zenu za kibongo mnataka mkae ukoo mzima.
34867a2fb29fb5092b75ade9486f8723.jpg
04984da7884cdd2ee9801d80f5321830.jpg
e2401f6364358df1fc87ea39321daafd.jpg


Tingo sasa kakabidhiwa gari wapambe lazima mfiche sura.kama unaenda rwanda utani PM twende wote nikupe Lift tupige stori zaidi.
 
Rwanda ndiyo nchi pekee ninayoweza ishi kwa furaha na nikaenjoy maisha! Hakuna blaaah blaaah kama kwa hawa kijani na njano

Kule mambo yamenyooka sie washinda barabarani ukifanya kosa askari hawana EFD kama za wale wa nchi ya Kule n mwendo wa akaunti ya Benk kalipe benk pesa ndo uje kuchukua gar ako na wanakulindia Pale Boda wanakagua marufuku kwenda na mifuko ya Rambo wa smart sana wale jamaa nchi safi mazingira hata vijijin n kusafi haswa hakuna nyumba za Nyasi.
 
Kweli aisee, nipo hapa nasoma masters, aisee hali ni ngumu hawawezi hata kutaja jina la Kagame, ukitaja tuj kwa ubaya unakula kitanzi, yaani wananchi wanaishi kwa woga sana, na jamaa wanaamini kuwa Kagame akitoka madarakani kutatokea tena mauaji ya kimbari ndio maana hawataki atoke.

Acha gahawa wewe hyo rwanda uliopo labda ya Kisangani au Masisi.
 
Asante mkuu Konda wa bodaboda kwa kunialika.
ndugu Charles Mkubya,

Kuhusu Rwanda mimi siko "negative" wala "positive" huwa niko objective. Na ndio maana wewe mwenyewe umenisifia kuwa huwa nakuja na data. Mtu anayeongea na data (jumlisha na experience ya kukaa huku na kufanya kazi kwa miaka kadhaa) hawezi kuwa biased hata siku moja. Tofautisha na mtu aliyepita pita kigali kama mtalii.
Kwa bahati mbaya na Tanzania huyu nanihii kaanza kuiga system ya uongozi wa Rwanda. Kwa hiyo siku hizi wala sina maneno mengi sana ya kumuelezea mtu kama wewe juu ya the lie which is Rwanda kwa kuwa hayo "maendeleo" unayoyatamani huyu wa kwetu atatuletea kabla ya 2020!
Kwa mfano serikali inasema HAKUNA NJAA, mapolisi wakadakia kuwa atayesema kuna njaa atatiwa ndani! watu wakiwa objective kwa kutumia data za chakula kuonyesha kuna njaa watapewa kesi za uchochezi! Ndio maana watu pekee mnaotumia real IDs ni watu wenye habari "positive" tu kama wewe ambao njaa mtaita "upungufu wa chakula". Sasa tuje kwenye reality ambayo mtu yoyote anayeishi bongo anajua je tuna njaa hatuna njaa? Zingatia kuwa sheria ya Takwimu hairuhusu takwimu zingine zisizo official kwa hiyo officially HAKUNA. Njoo kwenye chanjo basic kabisa za wajawazito mahospitalini, nenda kwenye mikopo ya elimu, rudi kwenye bajeti ya maendeleo n.k vitu vyote hivyo, ukweli halisi on the ground unapishana na maelezo "positive" ya serikali. Ukishabana uhuru wa media, uhuru wa expression/free speech, utapata "maendeleo" tu lakini ni maendeleo hewa!
sasa huu "uchwara" ambao sisi ndio tunaletewa sasa hivi huko Rwanda Kagame kawaletea toka 1994, kwa hiyo wenzetu hawa ni experts kwenye huu ubashite! Ndio maana kila siku nauliza swali lisilo na majibu kutoka kwa watu kama wewe, kuwa wanyarwanda wanakimbiaga nini huko? Same thing in Ethiopia, ukienda huko utakutana na "maendeleo" makubwa sana ambayo hata rais wetu atatuletea, shirika la ndege ethiopian airlines, mabarabara ya juu na chini, usalama, usafi n.k, lakini haipiti wiki unasikia wamekamatwa waethiopia bongo wanakimbilia sauzi. Why?
Ni kweli kigali ni safi, but ni safi kwa sababu wanataka usafi au ni safi kwa sababu ya show off? Usafi wa kupiga marufuku watu wasiopendeza wasikanyage mjini ndio usafi unaoutaka? Kuna barabara moja jina limenitoka ilipigwa lami watu (commoners) wakawa wanaogopa wanapita pembeni. Ni kwa sababu moyoni mwao wanajua hivi vitu ni kwa ajili ya international community kama sisi na sio wao.
Uhalifu kigali upo tena ule wa kishamba ambao sisi tulishavuka siku nyingi, ule wa kuvamia nyumba kuja kuiba makochi na redio! Of course mimi na wewe most likely tunakaa neighborhood nzuri utasema hakuna crime kabisa! Hata bongo ukifikia masaki hutasikia panya road!
Pita huku kwa hayo:
Hao wanajeshi wanaomwaga kigali kuanzia jioni ni kwa ajili ya kulinda Kagame asipinduliwe na sio kwa ajili ya wanyarwanda. Kama wewe unaona kuna amani katika nchi ambayo kila siku wanajeshi wako mtaani na masilaha mazito basi sawa.
My friend kiufupi sisi wageni ndio tunaopiga hela hapa Rwanda na kuona maisha ya Rwanda ni mazuri (lakini expensive), wenyewe wanapata shida lakini hawana pa kusemea. Ni mtazamo tu lakini.
hebu acha kujipa misifa usiyo stahiri! data gani unazotumia wewe? za mwaka 94 kabla Mheshimiwa Raisi Kagame hajawakimbiza na midamu yenu mikononi? ingawa tunapiga hatua ndefundefu haimaanishi tuko paradise bado tunachangamoto kibao na tunazifanyia kazi! una resources gani za kukufanya ufanye takwimu za Serikali! Interahamwe bana, Duh! jMali pleeease mi naomba uniambie ukweli, wewe taaluma yako ni ipi? maana naona hakuna unachokijuwa kabisa zaidi ya siasa za kikabila ambazo si ndugu zako tushazitokomeza, vilevile inaonyesha dhahiri kabisa tokea ukimbie Rwanda hakuna kwingine ulipofika zaidi ya bongo! umekalia story za kizushi ambazo mtu mwenye akili timamu hawezi kukuamini labda hao wachovu wenzako! hebu tutajie hiyo barabara tunayoiogopa basi, wizi hata marekani upo wenye akili wanajali vipimo na kama unapiga kelele kuhusu hao wanajeshi barabarani basi nenda kaangalie ndugu zako wabelgiji na wafaransa leo hii alafu ndio uje kupiga kelele hapa! Ubelgiji na ufaransa walikuwa na kelele kama hizo zako hoo Rwanda sijuwi nini mara nini kumbe wenzenu tulikuwa tunajilinda yale mabomu mliyokuwa mkitutupia raia wema wa Rwanda, ya Mungu mengi waarabu walivyokoroga kidogo tu wakaona watumie njia ya Rwanda, tena wao wamepitiliza yani kila baada ya atua wazee hao, hivi kimyaa hawasemi tena! tembea uone wewe!
 
Kweli aisee, nipo hapa nasoma masters, aisee hali ni ngumu hawawezi hata kutaja jina la Kagame, ukitaja tuj kwa ubaya unakula kitanzi, yaani wananchi wanaishi kwa woga sana, na jamaa wanaamini kuwa Kagame akitoka madarakani kutatokea tena mauaji ya kimbari ndio maana hawataki atoke.
nyie ndio wale infiltrators mnaotumwa kuja huku kutega mabomu, yani utafurahi ukisikia watu wakimtaja Raisi kwa ubaya hata bila sababu? we utafutwe kabisa, nahisi haujaletwa na masomo!
 
Pamoja na kuisifia Rwanda na Kagame wanyarwanda wamejazana Tanzania ukiwambia warudi kwao wanataka hata kulia
je over stayers wakichina mnaizidi nini nchi yao? mbona wamejazana huko na hawataki kurudi kwao? nyie endeleeni kusinzia na kujifungia tu, tutakuja tuwasaidie kujenga nchi
 
Back
Top Bottom