Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Nilifika Rwanda siku kadhaa zilizopita.. Rwanda vitu ni pricey..yaani expensive bila hata sababu kila kitu bei yake ni ghali tu.
Wanahusudu saana mchele wa Tanzania.
Wana kiswahili kibovu saana, akitaka kusema ninunulie embe..yeye atasema "niuzie embe" akimaanisha anaomba kununuliwa embe.
Mapishi yao ni ovyo..hawajui mapishi ukienda mgahawani ukaagiza ugali na nyama usishangae kuletewa ugali na kongoro..loh!
Rwanda ni kawaida ukiwa unabugia primus mtu a naweza kuja akatia stori mbili tatu za kuzugia then akachukua chupa yako na kubugia funda kadhaa za pombe yako na kuaga na kuondoka afu peace tu.
Nilikaa Rwanda kuna mengi niliona
Wanahusudu saana mchele wa Tanzania.
Wana kiswahili kibovu saana, akitaka kusema ninunulie embe..yeye atasema "niuzie embe" akimaanisha anaomba kununuliwa embe.
Mapishi yao ni ovyo..hawajui mapishi ukienda mgahawani ukaagiza ugali na nyama usishangae kuletewa ugali na kongoro..loh!
Rwanda ni kawaida ukiwa unabugia primus mtu a naweza kuja akatia stori mbili tatu za kuzugia then akachukua chupa yako na kubugia funda kadhaa za pombe yako na kuaga na kuondoka afu peace tu.
Nilikaa Rwanda kuna mengi niliona
