Usajili CHADEMA Digital wapatikana nchi nzima, vibanda vya kusajili vyasambazwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,696
218,216
Hii ndio taarifa mpya kwenda kwa Watanzania, ukitaka kadi ya kidigitali ya CHADEMA, ambacho ni miongoni mwa vyama vichache vya kisiasa vya kisasa zaidi barani Afrika kwa sasa, huna haja ya kulipa nauli hadi kwenye miji mikubwa ili kupata huduma hiyo.

Huduma imesambazwa kila mahali hadi vijijini , ambako unaweza kujisajili bila wasiwasi.

Ikumbukwe kwamba Mtaji wa kwanza wa Chama cha Siasa ni Wanachama.

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Mawakala_wa_Chadema_Digital_Sasa_kuwepo_nchi_nzima.”%22_.jpg

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Chama_pendwa_Tanzania”%22_.jpg

Twaha__Mwaipaya_on_Instagram:_“Kumekucha_Chadema”%22_.jpg


No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Chadema_tupo_serious_Sana_na_Mambo_yetu.”%22_.jpg
 
Ikitokea nikachukiwa na sera za chama, ama sababu yeyote itayopelekea nikahama chama, je nitarudishiwa gharama zangu?
 
Safi sana. Ila mimi bado sijaviona. Niko kiti cha mbele kupata huduma hii. Hongera Chadema. Hongera makamanda. Mbele kwa mbele hadi kieleweke. Ninapayuka tena: KATIBA MPYA!!!!?
 
Back
Top Bottom