Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,216
Hii ndio taarifa mpya kwenda kwa Watanzania, ukitaka kadi ya kidigitali ya CHADEMA, ambacho ni miongoni mwa vyama vichache vya kisiasa vya kisasa zaidi barani Afrika kwa sasa, huna haja ya kulipa nauli hadi kwenye miji mikubwa ili kupata huduma hiyo.
Huduma imesambazwa kila mahali hadi vijijini , ambako unaweza kujisajili bila wasiwasi.
Ikumbukwe kwamba Mtaji wa kwanza wa Chama cha Siasa ni Wanachama.
Huduma imesambazwa kila mahali hadi vijijini , ambako unaweza kujisajili bila wasiwasi.
Ikumbukwe kwamba Mtaji wa kwanza wa Chama cha Siasa ni Wanachama.