Inamaana mpaka sasa watu wa saa moja na nusu hamjafanya interview ni shida je SAA 7 na nusu tutafanya saa ngapijamani jamani., tra muwe mnafanya kama nao walivyofanya. Mambo ya kuja kutukusanya wengi hivi dar huku wote sio vizuri. Yaani tuko hapa tumezagaa tu, tuliambiwa tufike saa moja na nusu lakini hadi sasa hivi tupo tu. Mngefanya kama watu wa nao.