Weka maswali hapa vipanga tuyasolve..sio unalia lia hovyo tu hapa.
Dah wadau mtihani wa assistant custom officer tra ulikua mgumu balaa... Yaani hawa jamaa wamevunja rekodi....
Unataka kuniambia mtihani ulivuja? yaani watu walikuwa na maswali kabla?Aisee mi nahisi hata watu kufeli watakuwa wamechangia. .halafu hw on earth tumain wanavujisha mtihani. ...
Unataka kuniambia mtihani ulivuja? yaani watu walikuwa na maswali kabla?
Wamekera sana yaani nimesimama hadi nimechoka... Watu tumefika saa 1 asubuh wanaosimamia mtihan wamefika saa 2... Interview wanaingia mmoja mmoja kero sana hii serikali iangalie jinsi tunavyonyanyaswa na hawa watu.. Huu ni udhalilishaji wa wasomi
Unaonaje ukiondoka maana humu ndani hatuchezi ukiondoka utatupunguzia kazi
Aisee mi nahisi hata watu kufeli watakuwa wamechangia. .halafu hw on earth tumain wanavujisha mtihani. ...
Mmetuita saa moja had saa saba bado hatujafanya intrvew... mnaita watu watatu akat nje kuna watu zaidi ya 500 maana yake nini!!! are u guys really serious???
This is not fair wengne wafanye intrvw saa3 asbh wengne tufanye saa8 mchana.... mmetia aibu.,alot of people hav been unproductive today because of your disorganised arrangements.
Watu wametoka mikoani wameingia cost kubwa na wanategemea kurudi mkoani leo hii hii,wengne wameaga maoffcn mmewaweka had saiv..what the heck were you guys thinking !
Mmetuita wenywe how come hamkujipanga kuAccomodate this huge group of people...
MMEKERA SANA TUUU,