kivipi ?Ni hatari...
Ndio nchi yetu hiyo viongozi wanajua kuiba tu,
Maskini...usikute post zenyewe zishapata watu miezi mingi iliyopita
Nakubalina na wewe..Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
Interview ya leo 90% wana kazi zao. So siyo tatizo la ukosefu wa ajira bali ni tatzio la kutoridhika na ajira walizonazo
Nilikua mmojawapo kune hyo interview.ila nimetoka bila bila naada ya kusubiri masaa yote toka saa moja mpska satisa afu nkazinguliwa provision wakati wenzangu wa mwanzo walifanya paper kutumia hizo provision.alesema vyeti inategemea na mkaguzi alivyoamka alikua sahihi kiaina.maana mwngne anaruhusiwa mwingine anatolewa na mgambo yule sijui polisi.unaongozwa nje kama mhalifu flani ivi.leo ilikua kiboko.sina ham na TRA i say.