Usaili TRA

Usaili TRA

Kweli mkuu. Hakuna graduate ambae hana ajira. Wote wana ajira wanatuzingua tu

Kweli kabisa hapa Tanzania katika kila kundi la graduates 10 basi tisa na nusu wameajiriwa isipokuwa nusu tu ndio hana ajira! Sema Tanzaniaaaa!
 
huo mtihani wenyewe kaka ulikuwa haufai. Sijui wanapima professionalism ya mtu vipi.

wanazalilisha elimu kwakweli. Mimi nimefanya ila ya moto nimeiona

Hahahahahaha hata mimi moto nimeuona
 
ivi wasomi wote hao hawana ajira daa!

Hapo somo la ujasiliamali lazima lifunzwe katika ngazi zote za elimu ili kunusulu vitu kama hivyo

Somo linafundishwa sema issue mtaji. Utawapa watu elimu huwapi mtaji unategemea nini kama sio na wao wenye elimu ya ujasiriamali kujiunga na jopo la watafuta ajira?
 
attachment.php

Najiuliza tu..
Hivi hali ya ajira ndio tete kiasi hiki au ni matamanio ya WA TZ walio wengi kufanya kazi TRA?
 
Ramase@hivi majib watabandika pale diamond au wapi tena?

Wanabandika pale kuanzia saa tisa fika diamond hall.
Nasikia max za juu ni 21/35 assistant customs officer post

chanzo. cumba cha usahishaji. Mimi niliondoka zangu nipo mkoa na jamaa kanikaba huku nilikopa nauli. Kwa anae enda plz tuambiane hapa anichekie nilichokifanya waheshimiwa
 
Sure, akitokea mtu au kundi lenye ushawishi wa pesa vijana watajiunga tuu maana hawana kazi maalumu....hapo ndo kutakuwa na mvurugo wa amani..

Kenya vijana wanajiunga na alishababu koz wengi hajira hawana...so mtu anaona ni bora akalipwe na magaidi ili aweze pata mkate wake wa kila siku...

So mwakani tufanye maamuzi magumu ya kumchagua mtu na sio chama....

haitasaidia kama kila anaesoma anataka ajira serikalini,vyuo vikuu vinatema maelfu kila mwaka
 
Dah!kamaza juu ni hzi 21/35 basi namba za viatu ninyingi sanaaa
 
Dah!kamaza juu ni hzi 21/35 basi namba za viatu ninyingi sanaaa

Mkuu kwa mtihani wa multiple choice kuna watu wataalam wa kuotea tena unaweza kuta mtu ambaye hukumtegemea akafaulu zaidi kwa paper ile ya jana
 
Nilikua mmojawapo kune hyo interview.ila nimetoka bila bila naada ya kusubiri masaa yote toka saa moja mpska satisa afu nkazinguliwa provision wakati wenzangu wa mwanzo walifanya paper kutumia hizo provision.alesema vyeti inategemea na mkaguzi alivyoamka alikua sahihi kiaina.maana mwngne anaruhusiwa mwingine anatolewa na mgambo yule sijui polisi.unaongozwa nje kama mhalifu flani ivi.leo ilikua kiboko.sina ham na TRA i say.

asee na mimi yalinikuta hayo hayo tulikuwa na wenzangu 4 tukafukuzwa wakasema wanataka graduates wa 2012/2013 kurudi nyuma,niliondoka kwa hasira yani
 
asee na mimi yalinikuta hayo hayo tulikuwa na wenzangu 4 tukafukuzwa wakasema wanataka graduates wa 2012/2013 kurudi nyuma,niliondoka kwa hasira yani

Hahha.pole sana.bora ata wewe ulikua na hzo nguvu za hasira maana mi machungu ndo yalinikaba
Mimi nnachojiuliza ni kwann walituita na wakati tulivyoapply tuliandika kabisa tumemaliza mwaka huu?bora wangetunjia baharin mapemaa kuliko kusubiri mpaka siku na mda ufike ndo wazingue.
 
Mlio enda huko jamani tujuzeni. Kuna nini.
tunasubiria kwa hamu jamani. matokeo yamesha toka?
 
Hahha.pole sana.bora ata wewe ulikua na hzo nguvu za hasira maana mi machungu ndo yalinikaba
Mimi nnachojiuliza ni kwann walituita na wakati tulivyoapply tuliandika kabisa tumemaliza mwaka huu?bora wangetunjia baharin mapemaa kuliko kusubiri mpaka siku na mda ufike ndo wazingue.

haswaa nilitamani nimtukane yule mzee sema nkasema haina tabu,wangetuambia mapema kaam form tulijaza tumemaliza mwaka huu sasa sijui walitaka nini tena
 
Et wanahitaji watu wangapi maana hiyo nyomi ni sheeda
 
Kuna jamaa katoka huko sio mda mrefu anasema walinzi wa pale diamond wamewambia matokeo hawabandiki instead watayaweka kwenye web site yao TRA kuanzia saa 10 hii.
mimi nipo hapa live bt sioni kitu mpka nimeanza kuhisi hawa watu ni wababaishaji
 
Kuna jamaa katoka huko sio mda mrefu anasema walinzi wa pale diamond wamewambia matokeo hawabandiki instead watayaweka kwenye web site yao TRA kuanzia saa 10 hii.
mimi nipo hapa live bt sioni kitu mpka nimeanza kuhisi hawa watu ni wababaishaji

Hawa tumaini university uwezo wao wa kusail watu ni watu chini ya mia hawana uwezo kabisa wa kusaili watu wengi na wako disorganized kabisa usishangae kuona matokeo yakabandikwa saa mbl usiku
 
Back
Top Bottom