mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,858
Kwa idadi ya job seekerz ilivokua ,kwa nchi za wenzetu wangeamka palepale kuisulubu serkari ili ilete majibu ya tatzo la ajira nchini, sasa wasomi wetu hawajitambui .sjui nani ataikomboa nchi hii.