Mbona wanatufanyia hivi hawa watu? Walidanganya kule watahiniwa wasiondoke matokeo yatabandikwa baada ya masaa 24, mpaka sasa hawajui hatma yao ya leo either wamechaguliwa au lah.Watu wamevumilia kusubiri, halafu sasa zimekuwa hadithi mara ooh tutayaweka kwenye mtandao...mara sijui nini.... kuna watu hawana ndugu dar wamefikia hotel ni kwa vipesa labda wengine walivyo kopa kwa ajili ya nauli tu na matumizi yasiyo zidi siku 2 kwa kujibana, wengine wameacha kazi zao kuja kufanya interview wanatakiwa kurudi kazini, hata wale waliofikia kwa ndugu zao si watachokwa? Kwanini lakini TRA na Tumaini university yenu mnatesa na kunyanyasa watu kiasi hiki. MMEBOA SANA TENA SANA