Usahihi wa taarifa toka Nkasi

Usahihi wa taarifa toka Nkasi

[QUOTE="Zanzibar-AS

3/Taarifa hii ya ufafanuzi imetolewa na upande wa mkuu wa wilaya ambayo ndio inayodaiwa kutesa watu. Nini maana ya story kuwa balanced?

4/Kama shughuli ilikuwa ni ya kujitolea, kwanini watu wasakwe, warushwe rushwe kichura, wakimbizwe masokoni, Wahukumiwe kwa kwenda kilabuni?

?[/QUOTE]

we nawe acha ukuku na ujuaji...tangu lini kanusho likawa balanced? hujui kutofautisha kati ya taarifa/habari na kanusho ...kaaa kimya!

Hivi tangu lini askari ambaye yuko on duty akufuate we we ambayw unatambua majukumu yako bila kukupa adhabu kidogo? acha upulizi
 
Mkuu DC kwa namna yoyote ile hamkuwa na mamlaka yoyote KUWASWAGA WANANCHI MITHILI YA MIFUGO NA KUWALAZIMISHA KUSHIRIKI UJENZI CHINI YA MTUTU WA BUNDUKI , kiongozi mzuri ni yule anayetumia ushawishi .

Nimekudharau sana .
 
Mbunge wa Nkasi ipi? Kumbuka kuna Nkasi Kaskazini ambako Mbunge ni Ally Kessy (nahisi unamaanisha huyu sababu ndio maarufu sana) pia kuna Nkasi Kusini ambako kuna mbunge mwingine na Kijiji cha Ntuchi (kilichotajwa) kinapatikana huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanashindwa kuelewa kwamba kuna Desderius Mipata...wanamfahamu Ally Keissy tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba ipo hivi
8.-(1) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayofuata misingi ya demokrasia na haki ya kijamii, na kwa hiyo -

(b) lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi; (c) Serikali itawajibika kwa wananchi;

wache wale bata wana nchi ilimradi wanalipa kodi ,Mkuu wa wilaya na timu yake watafute fund huko hazina wajenge
Asante sana mkuu , Hawa MA DC wafahamu kwamba hakuna kifungu chochote cha katiba kinachowaepusha na kukamatwa ama kushitakiwa , wasije kumlaumu yeyote , hatupingi maendeleo lakini kutumia mbinu ya wajerumani kujenga Reli ya kati na kuiingiza kwenye maisha ya sasa haikubaliki .
 
Hapa Kazi Tu,huyo Mwananchi Alipe Kodi Ajenge Dispensary Yake Ajenge Shule Ajenge Hosp Ajenge Secondary Yake,sasa Nini Kazi Ya Serikali?Nn Kazi Yakodi Yetu?Km Maendeleo Tunafanya Kwa Nguvu Zetu Na Pesa Yetu?
 
Ikiwa wewe ambaye hata jiografia ya nchi yako huijui unasemaje mbunge hamuelewi. Yani ukisikia Nkasi unadhani Mbunge ni Ally Kessy pekee, kumbe Nkasi ni wilaya na ina majimbo Mawili, Nkasi Kusini (huko mleta uzi anakozungumzia) na Nkasi Kaskazini kwa Ally Kesy huyo unayemaanisha wewe.

Ku-conclude jambo usilolijua huoni kama kutojielewa pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kujua tu wilaya anayotoka ni ishara tosha, huoni hata wewe mwenyewe hujielewi kutaka kunifosi mimi nikalili hayo majimbo utafikiri mimi ni mpiga kura wao.
BTW mimi kujua wabunge wote nchi nzima ni subsidiary na sio compulsory kama unavyodhani.



brain is the beautiful part of the body.
 
Ikiwa wewe ambaye hata jiografia ya nchi yako huijui unasemaje mbunge hamuelewi. Yani ukisikia Nkasi unadhani Mbunge ni Ally Kessy pekee, kumbe Nkasi ni wilaya na ina majimbo Mawili, Nkasi Kusini (huko mleta uzi anakozungumzia) na Nkasi Kaskazini kwa Ally Kesy huyo unayemaanisha wewe.

Ku-conclude jambo usilolijua huoni kama kutojielewa pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje mbunge tajwa ni Ally Kesy? Au Ally Kesy hajielewi kweli?
Mkuu hii nchi ina vituko, unaweza ukaona huyu kaleta taarifa ya usahihi kumbe ni muwamba ngoma.

Usishangae mwingine akaja na kusema taarifa sahihi zaidi, kwamba vijana walikwenda kunywa pombe kwa hela zao na hawakuona umuhimu wa kwenda kwenye huo ujenzi kwani hela za ujenzi zimeshatolewa na kuliwa na viongozi.

Hii ni nchi yetu na udhaifu wetu tunaujua, ila kama ni kweli lilikuwa ni zoezi la kujitolea na watu wakakwepa basi kichura sio mbaya ni sehemu ya msisitizo wa kujali kazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu..inamaana kichura chura ni sawa na kupigwa?! Ndiyo tafsiri yako hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kutuambia nchi hii askari wanaweza kukurusha kichura chura kwa kukubembeleza na maneno? Usijitoe ufahamu hapa.

Siku zote kichura chura cha kurushwa na Askari wa Kiafrika huwa kinakwenda sambamba na viboko, mateke na Vibao.
 
Mazoezi ni adhabu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilijua umetumwa tu kutoa ufafanuzi, lakini kumbe umekuja kutetea.
Hongera sana Adrian.

Huenda nawe ukakumbukwa na mheshimiwa, maana Godwin Gongwe alipewa uDC kule Tanga, na Harrison Kamogaa akapewa DED kule Tanga kwa kutetea tetea na kupotosha kama hivi, sasa zamu inayokuja huenda bahati ikakuangukia wewe kama sifa zileee za msingi unazo (Ukada wa CCM, Ugalatia na Ungosha)
 
Wakuu,

Kuna Uzi umepandishwa jukwaani ukiwa na taarifa kwamba Mkuu wa Wilaya ya Nkasi amewaamuru askari kuwaadhibu wananchi.

Ufafanuzi wa taarifa hiyo ni kama ifuatavyo:

Jana, Wananchi, Mbunge na Mkuu wa Wilaya hiyo Ndg Said Mtanda walikubaliana kufanya kazi ya kujenga zahanati ya kijiji iliyokwama kwa takriban miaka 5 huku wananchi wakitembea umbali wa Km 20 kufuata huduma za afya.

Wakati huo huo kwenye kijiji cha Ntuchi (siku ya jana Jumamosi) kulikuwa na mnada ukiendelea hivyo baadhi ya vijana walitajwa kwenda kunywa pombe kinyume na makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja (Songambele).

Askari wa JKT ambao ni mafundi walikuja kusaidia ujenzi wa zahanati hiyo kwakuwa zana zote ( Mbao, bati, misumari) kwa miaka miwili vimekuwa vikioza.

Vijana waliokuwa wamekwenda mnadani walifuatwa wakaletwa ili kushiriki zoezi hilo (songambele).

Askari waliwaleta wananchi ili kufanikisha zoezi hilo na waliokaidi walirushwa kichura chura!

Wananchi kwa pamoja wamefurahi kwakuwa kazi iliyopangwa imefanyika.

Mpaka kufikia muda huu ( Leo jumapili 13, August) wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi kuendelea kushiriki zoezi hill.

Hakuna wanajeshi waliokuja kushiriki Bali ni service men waliojitokeza kujenga zahati kwa kushirikiana na wananchi.

Pia askari hao hao (service men) walishiriki shughuli za maendeleo katika kijiji cha Kasu.

Mtoa taarifa aliyejitanabaisha kama mwanahabari anapaswa kufuata misingi na weledi wa taaluma ya habari.

Ofisi ya mkuu wa wilaya Nkasi imesikitishwa na taarifa zilizotolewa mtandaoni za upotoshwaji!
Who are you by the way ?
Na kwanini tukuamini wewe na sio ile habari ya Mwanzo ?
 
Back
Top Bottom