Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

Dr. Slaa anajua anacho kifanya.... ccm ni shida kwa Watanzania kuzidi fisadi lowasa kama wanavo iaweka japo ccm wote ni mafisadi.... aje na abanwe ndani ya chekeche la chama kama mbowe alivo mpa EL kubwa jana..
 
inaonekana hakuna mwenye habari sahihi juu ya Dr Slaa, hawa wanaosema wanajua na kwamba anaendelea na majukumu yake kama kawaida hawana taarifa, mimi ninayo ambayo ni tofauti na hiyo lakini sio mahali pangu pa kusema, mtafuteni Dr wa uhakika kama mnataka kujua kinachoendelea kwa upande wake na kama mmeshamaliza kusherehekea habari ya vimbwanga vipya


Mimi najua Mkuu ila sisemi kitu
 
Dr.Slaa bado yupo Chadema kwa kuwa hana pa kwenda, kushoto kuna Zitto kulia yupo Bin Mrisho sasa aende wapi? Huyu Mzee anafanana sana na Mzee Mangula, kwenye Maadili na misingi ya Kazi hawana mchezo kabisa, kazi yao ni kuimarisha Vyama kwenye Mafanikio hata jina hatajwi. Mzee Mangula alifukuzwa Ukatibu Mkuu Dakika 45 baada ya Jakaya kupewa Uenyekiti wa Ccm Taifa 2006 Dodoma, akagombea Uenyekiti wa Mkoa Iringa wakamnyima wakampa Yule Jah People eti ndo awe Mwenyekiti wa Mkoa mtu kaishia la sita C!,2010 baada ya kutangazwa washindi kwa Mbinde sana pamoja na Magoli ya mikono na Makalio ndo wakaenda kumchukua Mzee wa watu Iringa kwenye Mashamba ya Nyanya ili aje awasaidie . Slaa nae yatamkuta Muda si Mrefu, bora ukutane na Shetani kuliko hawa watu wanaoitwa wanamtandao!

What a waste kupoteza muda wote huu kuandika upuuzi
 
dr.slaa atambue kwamba lengo la chama chochote ni kushika madaraka. nje ya hapo hakuna haja ya kuwa na chama cha siasa. ccm iondoke kwanza madarakani. mengine baadae..
 
Asante mkuu. Najua viongozi wa chadema ni makini na wenye msimamo wa pamoja. Kabla ya kumkaribisha lowassa kulikuwa na vikao vya kutosha. Na mtu aliezingatiwa zaidi ushauri wake ni Dr. Apewe hata uwaziri mkuu

Mwekezaji ndo sasa ataamua pa kumuweka!
 
Jamani mnaoipenda Tanzania . Nimepokea a personalmessage from my friends na Mzee Dr. Salaa . Baada ya message yake I called him we spoke for about 12 minutes . Kanieleza yake lakini naomba apewe muda . Mzee Slaa hana shida na Urais maana he is a leader . Mzee amechukizwa a watu kufungua Twitter account using his name . Yote ambayo yamekuwa yanasemwa na kumhusisha ni uzushi . Yes mzee anaona tatizo lakini hajaamua kuondoka Chadema . Mzee anatafakari akiwa within Chadema . Mzee Slaa is a philosopher sote tunakubaliana akiongea ama kuandika one need to take time kumwelewa . Matatizio yaliyopo na yeye ni Mzee atakabiliana naye . Kweli kuna shida na siwezi kusema hapa ila moja kasema acheni kumwekea maneno mdomoni . Account za twitter si zake na anachukia ujinga wa watu wachache kuendeleza ujinga wao mtandaoni . Mwenye kuelewa na aelewe na punguzeni uchonganishi .

Heshima kwako Lunyungu na heshima kwa Dr Slaa.

Japo nipo tofauti naye kisiasa lakin nina heshima kubwa kwake, Dr Slaa Mungu akutangulie na fanya uamuzi wa mgumu kwa imani yako, amani ya Bwana ikuongoze, lakin jitahidi pia kukisitiri chama, maana ikitokea wanachama wakajua kuwa haukubaliani na haya na ukizingatia kuwa watu wengi ndani ya Chadema wewe ndiye ulikuwa jicho lao basi Chama kitapotea.

Mungu akubariki sana Dr Slaa.
 
Ccm kilichojili ni hofu ya kukosa ikulu walioshikilia kwa takriban miaka 45 ila muda umefika mtanzania hata mim aliopo mbali nifurah kusika kwamba inch yangu imeokolewa
 
Kuna habari zinazovuma kutoka kwa watu mbalimbali wasiokua na taarifa sahihi kua Dr. Slaa. Habari. Sahihi nikua Dr. Slaa yupo Chadema na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Chadema Kwanza
Mungu akubariki sana Kamanda .
 
Heshima kwako Lunyungu na heshima kwa Dr Slaa.

Japo nipo tofauti naye kisiasa lakin nina heshima kubwa kwake, Dr Slaa Mungu akutangulie na fanya uamuzi wa mgumu kwa imani yako, amani ya Bwana ikuongoze, lakin jitahidi pia kukisitiri chama, maana ikitokea wanachama wakajua kuwa haukubaliani na haya na ukizingatia kuwa watu wengi ndani ya Chadema wewe ndiye ulikuwa jicho lao basi Chama kitapotea.

Mungu akubariki sana Dr Slaa.
Maneno ya busara sana Mkuu, kweli Dr.anahitaji utulivu mkubwa.
 
Ukweli ni kwamba viongozi wengi walipinga ndani ya chadema lakini ilimchukua muda mrefu kwa mbowe kuwa convince wengine walitaka awe mwanachama tu,lakini baada ya kuona vitu anavyoweza kuchangia walikubaliana pamoja na wengine kukubali kwa shingo upande.
 
Back
Top Bottom