Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

lowasa atakuwa msafi CDM kwa sababu alipokuwa CCM alibanwa na mfumo wa chama chake cha zamani but sasa atafanya kazi kwa uhuru
 
Hivi chato kule maisha yakoje??au umepaona monduli tu,,,,kwa vigezo vyako magufuli hafai pia,,,

magufuli hajawahi kusema anauchukia umaskin lakn lowasa anatamka anauchukia umaskin wakat kuna wamasai kule wanakunywa maji ya bwawa pamoja na ng'ombe wao wakat yeye huku anamwaga mabilion kwenye vyama ili aingie ikulu. Kama kweli anauchukia umaskin kwann ameshindwa kuwajengea hata shule au kuwachimbia kisima watu wake kwa kutumia hayo mapesa anayowapa akina mbowe?
 
Umesoma gazeti la leo lakini?
Raia
Kuna habari zinazovuma kutoka kwa watu mbalimbali wasiokua na taarifa sahihi kua Dr. Slaa. Habari. Sahihi nikua Dr. Slaa yupo Chadema na anaendelea na majukumu yake kama kawaida.

Chadema Kwanza

~~~~~~~~~~~~
HAKUNA SINTOFAHAMU YOYOTE KATI YA YANGU MIMI Dr. Slaa, Mbowe, Mnyika, Tundu Lissu na wengineo kwa ujio wa mgeni Mhe. Lowassa wala hakuna chochote kilichoharibika ndani ya chadema, nccr, nld, cuf wala kwa wanachama, wafuasi na wapenzi wa ukawa. Myaonayo na myasikiayo kwenye mitandao ya kijamii ni kauli za wafa maji. Tulichokifanya UKAWA ni kuunganisha dhamira zetu pamoja. Narudia tena; tulichokifanya kama ukawa ni kuunganisha dhamira zetu pamoja. Zaidi sana napenda kusisitiza jambo hili kwa umma kwamba NDANI YA VYAMA VINAVYOUNDA UKAWA HAKUNA MWENYE DHAMANA WALA MAMLAKA YA JUU ZAIDI YA MWINGINE HATA KWA KWA YULE MSHABIKI"

By. Dr. Wilbroad Slaa (katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo-chadema)
 
Huu ni uzandiki wa kuzima moto wa mafuta kwa maji. Tamko la kihuni hata sahihi hakuna.mtu yeyote anaweza kujiandikia tu ivo
 
Baba Baba Dr Slaa Waziri Mkuu wa Tanzania ,Mbatia Elimu Na Sayansi Lipumba fedha Na mipango
 
Duuuuuuh uuuuuwiiiiii nilikuwa nimesha baaa Mungu inusuru Chadema katika ukombozi wa hii nchi
 
Mungu Ibariki Tz, Mungu ibariki UKAWA, Mungu wabariki Lowassa, Slaa, Mbowe, Lipumba, Mbatia, Makaidi hata na Zitto Kabwe akijiunga ni vyema tuu, Hata Cheyo tusimwache ni mpenda mabadiliko.

natamani usajili unaofuata wawemo Warioba, Mwandosya, Kingunge, Zitto, Cheyo, Saim A. Salim, Nchimbi, Simba, NK. Mungu fungua njia, wape ujasiri kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu
 
Issue kama hii ya kuandika,Dr.slaa anatakiwa azungumze,kuandika si ata mimi naweza.
 
Back
Top Bottom