Usagaji sasa basi!

Haya nimekuelewa nitajitaidi kufanya hivyo ingawa najua kwa kuelezea tu hapa JF inaweza kuchukua hata miaka mitatu kwa sababu sintakuwa na muda wa kuwa nakuja hapa kila siku. Vinginevyo kama kuna mwandishi wa habari hapa JF ani pm naweza kufanya naye mahojiano kuhusu historia yangu then yakawa published hapa JF na kwenye blogs zingine.
 
kama ni KWELI umecha, hongera, hakikisha hurudii tena Maana Mungu hataniwi
 
Lete hiyo ripoti na utudadavulie na hao wa humu jamvini ni wakinani? Labda nao wataacha huo mchezo.
 
kwenye hyo cd usisahau kuonesha jinsi ulvyokua unawakoboa wenzako.
 

respect mkuu... thanks kwa kuniondoa wasiwasi

ila tunachangia mada inavyokuja, 90% ya mada humu ni za kutunga lakini zina shule yake
 
Konsolatha NDIYO yangu naamini ni ya arobaini (40), sasa fungukaa dada, jishebedue uwanja ni wako
 
Last edited by a moderator:
ulikuwa unasaga mahindi au nafaka ya aina gani ati
 

Hahahaaaa..... Ni kweli kabisaaa..!
 
Siamini na wewe umeingizwa mkenge na Kons. Na ujanja wako wote umeshindwa kukonekt dots ukajua abc za huyu binadamu?

Wajanja tulishastuka siku nyingi sana. Kusoma hatujui ila picha na miandiko haitushindi.
KonS nae !
af we supirini hv unavokaa kimya hiv bila kumtaka hali mwalimu manake nini?
 

kwa mungu yote yanawezekana as Jesus say if you as anything in my name,i will do it John 14:14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…