Wana jf,
Katika siku.za hivi karibuni usafiri wa anga kwa kutumia kampuni ya precion air umekuwa kama kituko kutokana na kubadilisha ratiba za usafiri mara kwa mara .Sio siri ni afadhali kusafiri kwa basi kwenda mikoa ya kaskazini kuliko kutumia precion air
Kuna mtu anasema najaribu ku fool watu....hiyo hapo kipande ya ticket yao....
Acha utani mkuu KLM ipi unazungumzia?MENDE MBONA WAPO KWENYE klm
Pole Nyati....................we have to live with it i think hadi Serikali hii itakapotoka madarakani................au sio?
klm hiyo hiyo unayoijua wewe ya kuja afrika to amsterdamacha utani mkuu klm ipi unazungumzia?
lol but huwezi ukafananisha na Precision Air bhana.klm hiyo hiyo unayoijua wewe ya kuja afrika to amsterdam
Mi ambako 540 inaenda it is my flight of choice na wenyewe wakileta za kuleta napiga chini![/QUOTE Tatizo huwa wanaanza vizuri wakishaona wamekamata soko wanajisahau, hata hao 540 utaona huduma zao baada ya kipindi kifupi kijacho kama zitakuwa hivyohivyo.
Lazma kuna air hostess ambae ni bibi mifugo . Hamkunyunyiziwa dawa ya josho mkiingia?
Wana jf,
Katika siku.za hivi karibuni usafiri wa anga kwa kutumia kampuni ya precion air umekuwa kama kituko kutokana na kubadilisha ratiba za usafiri mara kwa mara .Sio siri ni afadhali kusafiri kwa basi kwenda mikoa ya kaskazini kuliko kutumia precion air