Njiwa mpole 1997
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 235
- 287
Nimeliona leo likirudi kumbe kunaboma imeunganishwa kwa kuizungusha kwenye rejeta na gudulia, humo ndimo wanatengeneza chai, ni ubunifu mzuri.
Nimeliona leo likirudi kumbe kunaboma imeunganishwa kwa kuizungusha kwenye rejeta na gudulia, humo ndimo wanatengeneza chai, ni ubunifu mzuri.
Nimepanda mara moja, toka Dar, Mtwara, ni kweli huduma ya chai ipo, ni ile ya kustua tumbo.Kila siku napanda hzo gari ila cjawahi kuona wakigawa chai. Apa umeongopa
Suala la kutangaza kila kituo ni kweli ila kuhusu chai uongo
Vikombe hutumika vile kama wauza Allikasusu, hutumia kuuzia allkasusu.Nimetafakari kweli hizo chupa za chai, vikombe na vitafunwa huku Bus likikatiza mapori ya Ikwiriri, Marendego, Namatungutungu, Njianne, Mtandango, Mavuji....
Hao jamaa wanajitahidi kwa huduma , kusini mikoa ya mtwara na Lindi bado kunahitaji ukombozi mkubwa sana kwa biashara ya abiria maana ni kama ndo wanaaanza.
Abiria kule hana haki zake za msingi , kumbuka hawana hata Miaka 10 ya mabasi mazuri ,kwa sababu njia ilisumbua sana kule,
Usishangae unapanda Basi halafu konda anakuomba pesa ya begi ulilobeba Kama mzigo mbali na nauli .
hamjui maning nice huyo na iyo ndio idadi ya basi anazoagizaga hajawahi agiza basi mojaWewe utakuwa unaongelea vitu pasipo na latest information, kifupi una kariri maisha. Maning Nice ameingiza Gari sita njia ya kusini mwezi novemba 2020 mpaka rangi amebadilisha, Braza hata picha niliyoiipost hapo juu huiyoni hizo namba za Gari au aina ya Gari?!! Acha kukurupuka au unajifunza kureply message!??
Niliwahi panda ABC ya DAR-SINGIDA.Hata ABC ya Dar-Dodoma wana huduma kama hiyo wako vizuri kwa kweli,ingawa hiyo ya chai hawana...
That's no moreKuna Baraka ilikua inaanzia Lindi to Dar na kurud Lindi the same same day.
Pale Babat wanapokula mabasi i pana balaa , nimewahi kusafiri na njaa Siku moja nikitokea dodoma ,Unanikumbusha mabasi ya Arusha to Dodoma, hotel wanayosimama pale babati nje ya mji hakuna escape route aseee, hata muuza karanga akisogea nje ya hotel wanamkamatisha kwa mgambo, alafu uliza bei yao ya chapati kwa chai mh!, utarudi kimya kimya kwenye basi na kutafuta usingizi !.
Hakuna Basi ya Lindi dar ! Baraka alijatibu kwa kuwa ni kwake pale Lindi nasikia , lakini amechemkakwa iyo baraka classic haiishi lindi kumbe...maana yeye kaandika kabisa dar lindi
Mwaka 2000 barabara ya Lindi ilikuwa ni mbaya sana , tena muda wa masika ilikuwa inafunga kabisaMabasi mazuri kusini yapo muda tu sema labda huduma mbovu maana nakumbuka miaka ya 2000 kulkuwa na basi kampuni ya NAJMA mbona lilikuwa bomba tu kwawaki ule??
Pale nangurukuru chakula ovyo kabisa na gharama juu.Hawaja wapeleka kwnye hotel zao zenye chakula. bei ghari na chakula kibovu hahahha
Mwaka 2000 barabara ya Lindi ilikuwa ni mbaya sana , tena muda wa masika ilikuwa inafunga kabisa
Lindi Kama ukombozi.miaka ya 2013 14 na mabasi mazuri yalianza 2015 Kama sikosei
kwa iyo baraka classic haiishi lindi kumbe...maana yeye kaandika kabisa dar lindi
Weka record zako vizuri , 2008 barabara ya Lindi bado ilikuwa mbovu, nimelala Siku mbili kipande cha nyamwage, mohoro kilikuwa na madimbwi ya kufa mtuMwaka 2006 vipande vingi ndio vilikuwa vinaunganishwa hadi 2008 barabara tayari, na ukizungumzia mabasi mazuri unamaanisha ya kichina? Lakni hayo makampuni buti la zungu, wifi nae, najma yote yalikuwa na mabasi mazuri kwa wakati ule maana ukiondoa Scandinavia sehemu nyingi basi zilikuwa zafanana
Weka record zako vizuri , 2008 barabara ya Lindi bado ilikuwa mbovu, nimelala Siku mbili kipande cha nyamwage, mohoro kilikuwa na madimbwi ya kufa mtu
Halafu buti wifi nae na najma kwa Miaka hiyo walikuwa na Basi mbovu sana ,
Mabasi mazuri njia hiyo labda kuanzia mwaka 2013
Inawezekana tunatofautiana namna ya ku define Basi nzuri , Basi kuwa 2x2 sio kigezoBasi hazikuwa mbovu ila barabara ndio zilikuwa mbovu usiwe mbishi, NAJMA alikuwa na mabus mazuri tu tena enzi zile ilikuwa najma 2x2 hakuwa na basi mbovu