Usafiri Dar - Mtwara, King Yassin Tours hongera

Usafiri Dar - Mtwara, King Yassin Tours hongera

King Yassin bado ni kampuni changa kusini, Inabembeleza wateja waiamini,

Kuna kitu Maning ning, Maning Nice huyu ndiyo mwamba wa kusini, Gari hata iwe na abiria watano muda wa kuondoka ukifika Haina kulemba Pira linawashwa linatembea.

Hasa root ya Mtwara Morogoro. Braza hizi siyo enzi za kusifia chai Bali muda. King Yassin, Bado Bora hata Buti la zungu , Ila Maning Nice Babalao.View attachment 1680672 Cheki pira Hilo kibati kiasi chake mchawi tochi.
Gari zake zimechoka kusini buti la zungu na baraks ndo gari za maana full ac
 
Mkoa wa Lindi wenyewe bado hauna basi direct kutoka stand yake kuu, wanategemea mabasi ya mtwara, newala, masasi tunduru nachingwea na songea .
Hata uwe na mishe zako za mjini huwezi kupata Basi la saa kumi na mbili asubuhi kutoka Lindi , itabidi usubirie basi la kwanza kutoka mtwara amabalo linafika Lindi kuanzia saa moja asubuhi
Abiria bado wachache sana lindi
Lindi pa hovyo sana yaani napachukia sana ingawa ndo napoishi kwa sasa
 
Gari zake zimechoka kusini buti la zungu na baraks ndo gari za maana full ac
Huu ni uongo, basi za King Yasin ni mpya kabisa, na alichokisema mtoa mada ni kweli tupu, I can confess ingawa ninachofaham kuhusu vinywaji ni soda/maji pamoja na bites, chai hapo katia chumvi unnecessarily!
Hiyo kampuni nyingine kule Mtwara haifanyi vizuri sana na ndiyo maana inapeleka wilayani.
I can tell you, Mtwara mjini kwa mfano, gari likianza kuchoka, sahau kupata abiria. King Yasin gari zake zote ni mpya, the same with Buti, Machinga and Baraka
 
Gari zake zimechoka kusini buti la zungu na baraks ndo gari za maana full ac
Wewe utakuwa unaongelea vitu pasipo na latest information, kifupi una kariri maisha. Maning Nice ameingiza Gari sita njia ya kusini mwezi novemba 2020 mpaka rangi amebadilisha, Braza hata picha niliyoiipost hapo juu huiyoni hizo namba za Gari au aina ya Gari?!! Acha kukurupuka au unajifunza kureply message!??
 
King Yassin bado ni kampuni changa kusini, Inabembeleza wateja waiamini,

Kuna kitu Maning ning, Maning Nice huyu ndiyo mwamba wa kusini, Gari hata iwe na abiria watano muda wa kuondoka ukifika Haina kulemba Pira linawashwa linatembea.

Hasa root ya Mtwara Morogoro. Braza hizi siyo enzi za kusifia chai Bali muda. King Yassin, Bado Bora hata Buti la zungu , Ila Maning Nice Babalao.View attachment 1680672 Cheki pira Hilo kibati kiasi chake mchawi tochi.
Aseee si kwa kusifia huko, sasa ofisi zenu zipo ofisi namba ngapi pale ubungo au Mbagala?.
 
Uzuri wa hotel wanazokula kule nyingi Zina escape route , mfano nangurukuru Basi likisimama unavuka tu bara bara utakutana na bites vinywaji Bei za kawaida
Unanikumbusha mabasi ya Arusha to Dodoma, hotel wanayosimama pale babati nje ya mji hakuna escape route aseee, hata muuza karanga akisogea nje ya hotel wanamkamatisha kwa mgambo, alafu uliza bei yao ya chapati kwa chai mh!, utarudi kimya kimya kwenye basi na kutafuta usingizi 😬!.
 
Kila siku napanda hzo gari ila cjawahi kuona wakigawa chai. Apa umeongopa

Suala la kutangaza kila kituo ni kweli ila kuhusu chai uongo
niliwah kupanda mwkaa jana.ninkweli chai na mandanz na yai la kuchemsha.uache uongo.kwamza wananifurahisha makonda wao ni waschana wasafi.sio bas kupanda na makonda wa kiume ananuka gris na hajaoga
 
hata mim nawapongeza. ni kwel vitafunwa chai juis biskut mayai ya kuchemsha wanagawa.hii ni mbinu huenda mwenye magari ni msom au anajua mbinu inawesa kukucost kidogo lakin bila kujua unazidi kujitangaza.
zuri zaidi makondakta wake kampun nzima ni wanawake kwanza ajira pili wasafi.

magari yenye makonda wa kiume huwa humtofautish na taniboi anadamkia wala hajaoga.giirisi tupu na wala hana lugha nzuri.

hawa jamaa wapo vzuri waingeze usafi na dawa zipigwe za wadudu bas mamb mengine saf kabisa
 
Huu ni uongo, basi za King Yasin ni mpya kabisa, na alichokisema mtoa mada ni kweli tupu, I can confess ingawa ninachofaham kuhusu vinywaji ni soda/maji pamoja na bites, chai hapo katia chumvi unnecessarily!
Hiyo kampuni nyingine kule Mtwara haifanyi vizuri sana na ndiyo maana inapeleka wilayani.
I can tell you, Mtwara mjini kwa mfano, gari likianza kuchoka, sahau kupata abiria. King Yasin gari zake zote ni mpya, the same with Buti, Machinga and Baraka
no right to speak i f no research mim niliwah kupanda ya saa moja na nusu asubh nikapata chai,mandaz na yai la kuchemsha wakat narud nikapnda la saa kum n mbil asubh.nikapewa juis biskut.nikauliz chai leo vip wakasema chai ni la saa moja na nusu asbuh masaa nengine ni aina nyingine ya bites.ukiwa huna hakika ya jambo usiwe mkaidi
 
yan wana makondakta wadada wazuri wasafi sipend kupitiwa pitiwa na konda amejaaa girisi
 
Zamani Buti La zungu alijitahidi sasa hivi utopolo tu.
 
Basi niliwahi kupanda na kupewa chainamaandazimara nyingiilikua ni Selous zile za Choklate Higer 2016-2018 baada ya hapo hakuna kitu.
Kila siku napanda hzo gari ila cjawahi kuona wakigawa chai. Apa umeongopa

Suala la kutangaza kila kituo ni kweli ila kuhusu chai uongo
 
Zamani Navilalikua anaanzia Lindi ila inaonekana alikua anapata hasara
Mkoa wa Lindi wenyewe bado hauna basi direct kutoka stand yake kuu, wanategemea mabasi ya mtwara, newala, masasi tunduru nachingwea na songea .
Hata uwe na mishe zako za mjini huwezi kupata Basi la saa kumi na mbili asubuhi kutoka Lindi , itabidi usubirie basi la kwanza kutoka mtwara amabalo linafika Lindi kuanzia saa moja asubuhi
Abiria bado wachache sana lindi
 
Baraka ya Dom-Mtwara iko njema
Wapuuzi hawa Maning Nice, tulishawahi kutoka Morogoro saa 12 alfajiri, kwanza wanapakia maasai wote wanaoenda kuchunga vijiji kati ya Dar na Mlandizi, Ubungo tukafika saa 4-5,
Tukapelekwa garage Tandika sijui Temeke, wakachomelea weeh, walipochoka, wakatubadilishia gari, Mbagala saa 8, kudadadeki niliapa NEVER again, Ikwiriri saa10-11, Mtwara sijui walifika saa ngapi!

Bora kuunga Moro Dar BM, Abood saa 3 Korogwe unadandia mwendokasi saa 4 unusu uko Mbagala, stendi ya Shamba, gari za Muhoro, dk 0 zinajaa, Ikwiriri 7-8 ulishafika!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Habari wana JF,

Moja kwa moja nijikite kwenye mada.

Hivi karibuni nilipata safari ya kwenda Mtwara kutokea Dar. Nilifurahishwa na huduma za kampuni ya mabasi ya King Yassin Tours.

Kila kituo tulichosimama abaria tulitangaziwa kupitia kipaza sauti kilichopo ndani ya basi. Tulipewa huduma ya chai, vitafunwa pamoja na vinywaji humo humo ndani ya basi. Wafakazi waje wanaamini abiria na hata tulipofika mwisho wa kituo (Mtwara) abiria tuliombwa radhi endapo tuliona mapungufu yeyote.

Abaria tulipata huduma nzuri kwa nauli sawa na mabasi mengine. Hili ni fundisho kwa kampuni za mabasi mengine. Waache kufanya kazi kwa mazoea. Waige kampuni mpya ya King Yassin Tours.

MUHIMU: Sina maslahi yeyote na kampuni hiyo bali kama abiria nimefurahishwa na huduma zao. Hongera King Yassin Tours mnajua kufurahisha wateja
Salama mkuu!

Kiukweli ukiwa mteja kwa mara ya kwanza unaweza sema kwa usafiri wa Mtwara to Dsm basi ni moja tu King Yasin, ila rudia mara ya pili au na ya tatu utajuta nakuambia.

Umeshawahi kuona basi inapakia abiria mpaka wengine wanakaa kwenye Corridor pale ndani na kusababisha kero kwa abiria waliokaa kwenye siti kama wakati uke Prnces Muro ya Tunduma to Dsm! Basi King Yasin wana huo utaratibu.

Umeshawahi kuona basi huwa inasimama njiani kuulizia abiria utafikiri ni daladala? King Yasin wanafanya hivyo.

Wanachoweza na ambacho naona kwa wageni kinawashangaza sana ni kutangaza pale mkifika daraja la Mkapa na pia kutangaza gharama za ujenzi wa daraja basi.
 
hata mim nawapongeza. ni kwel vitafunwa chai juis biskut mayai ya kuchemsha wanagawa.hii ni mbinu huenda mwenye magari ni msom au anajua mbinu inawesa kukucost kidogo lakin bila kujua unazidi kujitangaza.
zuri zaidi makondakta wake kampun nzima ni wanawake kwanza ajira pili wasafi.

magari yenye makonda wa kiume huwa humtofautish na taniboi anadamkia wala hajaoga.giirisi tupu na wala hana lugha nzuri.

hawa jamaa wapo vzuri waingeze usafi na dawa zipigwe za wadudu bas mamb mengine saf kabisa
Mwenye magari kaishia darasa la 5B tu.
 
Mkoa wa Lindi wenyewe bado hauna basi direct kutoka stand yake kuu, wanategemea mabasi ya mtwara, newala, masasi tunduru nachingwea na songea .
Hata uwe na mishe zako za mjini huwezi kupata Basi la saa kumi na mbili asubuhi kutoka Lindi , itabidi usubirie basi la kwanza kutoka mtwara amabalo linafika Lindi kuanzia saa moja asubuhi
Abiria bado wachache sana lindi
kwa iyo baraka classic haiishi lindi kumbe...maana yeye kaandika kabisa dar lindi
 
Back
Top Bottom