JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Barabara ya kuelekea sokoni hapo imeanza kufanyiwa marekebisho ya kuwekewa vifusi, ambapo awali kulikuwa na matope mengi, mazingira yaliyokuwa na taka nyingi nayo yamefanyiwa usafi.
Soko hilo lipo katika Jimbo la Kawe ambalo Mbunge wake ni Joseph Gwajima.
Pia soma > Dar es Salaam: Hali ya mazingira Soko la Kawe siyo nzuri kwa afya za watumiaji na wakazi