klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
wangu mimi yupo safi kuliko mji mkuu wa dubei. tena nje na insaidi. intanashinali eapoti anaishuhulikia ipasavyo, ndege haipati ajali wakati wa kutua. aaaakh! simsifu sana asije akateki adventeji.Fidel,
Hali hiyo haipaswi kuwa kero maana kuna vifaa - pads, tampons, douches, Femine-deo sprays, udi, vyote vikilenga kumweka mwanamke msafi tena na kunukia vizuri.Lakini usafi wa kawaida pia wa kuoga mara kwa mara, hata kunawa na kubadilisha angalau mara nne kwa mchana mmoja kutegemeana na uzito wa hali ni lazima.Nguo za ndani zibadilishwe na kufuliwa mara moja na kuanikwa, na siyo kuvundika au kuanika uvunguni mwa kitanda!
Kama kuna wenye kuwapeni kero basi hawako makini wao wenyewe.
Natumaini haya masomo tunayoyatoa hapa akina kaka/baba mtawapa wake zenu kama mnaona wanaupungufu kwenye hili eneo.