USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

20190629_wom945.png
 
Iran alivyojipanga anaweza sumbua huo upande wa pili kupitia vikundi vyake anavyo support vilivyopo Yemen ndio maana Saudi Arabia huwa anamshutumu Iran meli zake zikipigwa upande wa pili na Suez Canal mafuta yanafika kupitia pipe ambalo mara kadhaa watu washalipasua.

Iran wamejipanga kwenye proxy war.
 
Hujanielewa,nimesema wewe umetuletea habari na ku-acknoledge source zako za habari.

Ila jana mpuuzi Mkuu na Kiongozi maqawama alileta taarifa hizi na kudai "eti kwa taarifa alizonazo ni kuwa...."

Hahahaha
Asante ndugu na unisamehe nilifahamu vingine.
 
Kamulize Natanyahau drone yake iluangusha au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.

Hebu tazama aibu hij sijui Trump ataificha wapi.


Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zike fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran kashindwa kuijam. Naonagopo kusogeza pua missile ikamripua.
Ni kweli maneno yako mstaafu wa JWTZ, USA ni super power lakini mara nyingi sana si kila super power wanashinda vita wako wapi ma super power wazamini.

Ukweli USA anaweza mpiga Iran lakini hasara ngapi watazipata, afu lazima ufahamu wa Iran ni Mashia nakatika kamusi yao wanajiita wajukuu wa Mtu wale Hassan na Hussein na wao wanasema ni wafuasi wa Hussein, yani wao kumwaga damu wanaona ni sifa na kufa ni sherehe kama sikukuu za Eid vile.

Kwa hio Mshia huwa haogopi kufa na hapo USA anajua wazi kabisa.

Vita si lelemama haijui haijui huyu Shia wala Sunn wala haijui huyu ni Muhabiya pia vita haijui wewe unaogopa kufa au huogopi vita ni mbinu na kumuwahi adui yako kabla yeye hajakudhuru wala vita si kudungua ndege wala drones vita ni kumiliki adui na eneo lake hiyo ndiyo falsafa ya vita!!!!!
 
Labda niseme sipendi utawala wa Marekani maana wamesababisha Iraq isikalike,libya isikalike. In short siwapendi wanavyosababisha vita middle east. Kwa kugombanisha majirani. Angalia Saudi Arabia hapatani na Iran.
Hakika na muisraeli pia,wamefanya dunia isiwe sehemu salama.Ila anguko lao ata vitabu vitakatifu vimeandika nadhani ndo umeanza
 
Labda niseme sipendi utawala wa Marekani maana wamesababisha Iraq isikalike,libya isikalike. In short siwapendi wanavyosababisha vita middle east. Kwa kugombanisha majirani. Angalia Saudi Arabia hapatani na Iran.
Kwa mbali naanza kuona kwa nini unasema hupendi Marekani na huipendi kwa sababu ya mambo inayofanya Middle -East hasa kwa ndugu zangu waarabu wakati huohuo huoni chochote kinachofanyika kwa waafrika wenzako,Kwa haraka haraka chuki zako zimegubikwa na UDINI pole sana kwa hilo!!!!
 
Kwa mbali naanza kuona kwa nini unasema hupendi Marekani na huipendi kwa sababu ya mambo inayofanya Middle -East hasa kwa ndugu zangu waarabu wakati huohuo huoni chochote kinachofanyika kwa waafrika wenzako,Kwa haraka haraka chuki zako zimegubikwa na UDINI pole sana kwa hilo!!!!
Mimi ni mkristo. Sina udini wala u race. To me i always see humans regardless of their religion,color of their skin,where they come from.
 
Back
Top Bottom